Tutazaana sana kama yeye alivyo na team kubwa
Na yule wa Mnyakyusa je?
Nigeria wapo milioni 250 mbona wako vizuri tuu mnataka muendelee kufaidi wenyewe rasilimali za hii nchi kwa ufisadi wenuHivi unataka kusema nini?.
Usemi wako ni sawa na kusema kwa vile wazazi wangu hawakuenda shule basi na mimi nisiende ili niwe kama wao. It's absolutely farcical
Nigeria wapo milioni 250 mbona wako vizuri tuu mnataka muendelee kufaidi wenyewe rasilimali za hii nchi kwa ufisadi wenu
Eight....according to International sources
Mpuuzi, dhaifu, mwizi wa raslimali za taifa, mhongwa suti, mchochea udini Tanzania, kiongozi nazi, mwuaji wa elimu yetu, mpumbavu na mwuwaji wa raia wasio na hatia, mtesaji wa Dr. Ulimboka, mwoga, na mvuraji wa amani iliyodumu Tanzania miaka yote isipokuwa chini ya utawala wake ana cha kusema? Unahesabu watu uwachekee na kuwaambia wasozaliane? Yeye ana wake na watoto wangapi? Sensa ni kwa ajili ya maendeleo. huyu kilaza hastahili kabisa kuiongoza nchi. Tanzania inadidimia chini ya utawala wake. vijana wamekata tamaa. Slimy, afya, safari, kila kitu kinatisha. tunalipa kodi mjinga akashangae mananasi, mihogo, na majumba ya majirani. demi la taifa linatisha. tumekaa tu tunaliangalia jinga hili likituchekea man's mtoto mdogo na kututolea kauli as kijinga kama hizi. je buy ndio uongozi? Huu ndiyo urais? Yaani mtu mzima hata cha kusema hakuna ila eti msizaliane?
Eight....according to International sources
Mbona hawatoshi hawa? Kwa kipato chake wote wanakula goood time na change inabaki, tatizo ni wale wa akina kajamba nani..!mtwara watoto 4,singida 3, dar 4, bagamoyo 5, mwanza 1,iringa 2
If you can't do it teach it!
Nakubaliana na rais, kasi ya kuzaliana ni kubwa mno. Pengine tuweke sheria mwisho watoto wawili -kwa kila mwanamke. Ikiwa kwa kila familia ni ngumu maana kuna wenye wake wengi.
... Labda ndo maana police wameanza kazi ya kupunguza idadi ya waliopo.
Hao wa mama Salma, vipi wale wa mama nanihii, na yule dada wa pale wapi paleee, mmmh, nimechoka kuwataja mama zao.