Shukurani
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 253
- 11
Hii ilinigusa sana wakati wa hotuba ya JK wakati akitangaza baraza la mawaziri pale Dodoma. Moja kati ya statement aliyotoa ni kwamba nchi hii ikiongozwa na vijana itawaka moto.
Nikajiuliza,ina maana vijana hatuna uwezo na uzoefu wa kuongoza nchi? Tutaendelea mpaka lini kukumbatia hawa wazee wenye mawazo yale yale ambayo hayatusaidii?
Ina maana wakati ule akina Mungai,Kawawa na Mzindakaya wanakabidhiwa madaraka ya uwaziri na uwaziri mkuu wakiwa na miaka 29 na 31 walikuwa na uzoefu wowote?
Sipati majibu,nisaidieni kwa hili
Nikajiuliza,ina maana vijana hatuna uwezo na uzoefu wa kuongoza nchi? Tutaendelea mpaka lini kukumbatia hawa wazee wenye mawazo yale yale ambayo hayatusaidii?
Ina maana wakati ule akina Mungai,Kawawa na Mzindakaya wanakabidhiwa madaraka ya uwaziri na uwaziri mkuu wakiwa na miaka 29 na 31 walikuwa na uzoefu wowote?
Sipati majibu,nisaidieni kwa hili