TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
[h=6]"watatusema sana kila zuri letu kuwa baya ,tuendelee kutumia maoni yao mazuri kuijenga tanzania ya wote..,
Sasa mgao wa umeme umepungua sana,gesi inapatikana mjini kama nilivyohaidi ILI KUPUNGUZA MATUMIZI YA MKAA..,
Zile meli tatu zimeshawasili na SASA zinaungwa..,
Daraja la kigamboni na kilombero yanajengwa..,
Tunapunguza foleni Dsm kwa upanuzi wa barabara na barabara za juu kama muonavyo..,
Ahadi zangu zote ninazo na hakuna hata moja ambayo mpaka sasa sijaanza kuigusa hata ya matrekta ya bei nafuu ishafika, na hapa mbeya mnakumbuka niliahidi kutatua shida ya maji sasa leo nazindua mradi na maji..,
Kidumu CHAMA CHA MAPINDUZI.."
JAKAYA KIKWETE _ AKIZINDUA MRADI WA MAJI JANA-MBEYA.[/h]
Sasa mgao wa umeme umepungua sana,gesi inapatikana mjini kama nilivyohaidi ILI KUPUNGUZA MATUMIZI YA MKAA..,
Zile meli tatu zimeshawasili na SASA zinaungwa..,
Daraja la kigamboni na kilombero yanajengwa..,
Tunapunguza foleni Dsm kwa upanuzi wa barabara na barabara za juu kama muonavyo..,
Ahadi zangu zote ninazo na hakuna hata moja ambayo mpaka sasa sijaanza kuigusa hata ya matrekta ya bei nafuu ishafika, na hapa mbeya mnakumbuka niliahidi kutatua shida ya maji sasa leo nazindua mradi na maji..,
Kidumu CHAMA CHA MAPINDUZI.."
JAKAYA KIKWETE _ AKIZINDUA MRADI WA MAJI JANA-MBEYA.[/h]