Kikwete atakua Raisi wa vijijini tuu? Ili Raisi uheshimike lazima uwe na support kubwa ya wasomi na miji mikubwa ya nchi yako, kinyume chake unakuwa Raisi kivuli. Tumezoea kuona kwenye nnchi za wenzetu zenye vurugu serikali ikitawala miji mikubwa na midogo hutawaliwa na wapinzani, ajabu hapa kwetu ni kinyume, kwa mara ya kwanza Raisi aliye madarakani anajua fika miji mikubwa yote yenye maendeleo haiko mikononi mwake, hii ni aibu.
Arusha Mjini, Jiji la Mwanza, Dar es Salaam, Musoma Mjini, Iringa Mjini, Mbeya Mjini, hii ni fedheha na tunafahamu fika hata kwingine mlibwagwa vibaya lakini umeiba. Unaongoza nchi ipi mheshimiwa Kikwete? unaongoza vijiji huku miji umewaachia wapinzania wako? Hii ni fedheha iliyoje, na bado tutakuadabisha kila kukicha. Ukienda Mwanza na ndege unafahamu fika ukitua tu uwanja wa ndege umekanyaga ardhi ya CHADEMA, Ukienda Kilimanjaro vivyo hivyo, Mbeya pia, Iringa Pia,Musoma nako. Kweli kidonge ni kichungu lakini inabidi ukimeze tu
Arusha Mjini, Jiji la Mwanza, Dar es Salaam, Musoma Mjini, Iringa Mjini, Mbeya Mjini, hii ni fedheha na tunafahamu fika hata kwingine mlibwagwa vibaya lakini umeiba. Unaongoza nchi ipi mheshimiwa Kikwete? unaongoza vijiji huku miji umewaachia wapinzania wako? Hii ni fedheha iliyoje, na bado tutakuadabisha kila kukicha. Ukienda Mwanza na ndege unafahamu fika ukitua tu uwanja wa ndege umekanyaga ardhi ya CHADEMA, Ukienda Kilimanjaro vivyo hivyo, Mbeya pia, Iringa Pia,Musoma nako. Kweli kidonge ni kichungu lakini inabidi ukimeze tu