nashindwa kufahamu nini kimemsibu JK mbona hatoi jina la mbadala wa Andrea Chenge'vijisenti',au anaandaa major reshuffle miezi miwili tu baada ya kufanya mabadiliko yale yaliwaondoa baadhi ya mafisadi kama Kingunge,Mungai na Ngasongwa.Kuna mwana JF yoyote mwenye kufahamu kulikoni jikoni huko kwa mzee JK?