Profesa wa Maliasili
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 632
- 1,892
Mkuu tuko pamoja MimiAsante Mh.Rais Kikwete nilipata maisha zama zako.Mola akuhifadhi daima.
Pia namuombea huyu Mzee miaka mingi yenye furaha na amani yeye ndiye aliyenipa maisha mwishoni kabisa ya awamu yake ya pili Leo hii nalea ukoo mzima kwa kipato nachokipata...course niliyosoma ajira ya mwisho serikalini ni kipindi cha huyu mzee