Kikwete tumia helcopta kwenda Chalinze kutupunguzia adha za msongamano kila mara!

Tukiamua lini ? Usifikiri wanaota kama uyoga ? Nilichokusudia ni hizo Chopper na sio marubani ,hatuna uwezo wa kumiliki chopper kwa kiwango cha kusafiria raisi na si mtu wa kawaida ambae roho yake ni moja tu ,ila Raisi anabeba watu wengi nyuma yake ,hivyo ndio ukaona msusuru wake unakuwa si mdogo au convoy lake sio dogo ,halafu mnataka kumpandisha katika chopa zinazobeba mikungu ya ndizi ,wacheni utani.

swadakta!
basi ajenge reli metropolitan ili sie wadanganyika tubanane huko ili iwe rahisi kwake yy kuzurura ovyo barabarani anavyotaka !
 
swadakta!
basi ajenge reli metropolitan ili sie wadanganyika tubanane huko ili iwe rahisi kwake yy kuzurura ovyo barabarani anavyotaka !

Sasa hiyo itakuwa ni chuki na chuki haijengi,yaani kwa kasi ya maendeleo ambayo mnaitaka naona mtakufa haijatokea ,yaani vile mnataka mtafikiri ni wale wenye hadithi za kulala na kuamka matajiri ,jamani kusema kweli tunatoka mbali sana ,huko maulaya msifikiri alizuka tu mtu akawa Raisi kwa kipindi cha miaka mitanu akaitanua nchi ,agh mbona mna halaka hivyo,ikiwa mtailaumu CCM sina mgomo lakini kwa kusema Kikwete apande helikopta ,aloo mtakuwa mmeenda mbali sana ,yaani hivi mmokosa pa kumbamiza hadi apande helikopta ndio mpate la kusema mbona yapo mengi sana tu ,lakini hili la kupanda helikopta zinazobeba mikungu ya ndizi naona mnalazimisha kifo.
 
Sasa hiyo itakuwa ni chuki na chuki haijengi,yaani kwa kasi ya maendeleo ambayo mnaitaka naona mtakufa haijatokea ,yaani vile mnataka mtafikiri ni wale wenye hadithi za kulala na kuamka matajiri ,jamani kusema kweli tunatoka mbali sana ,huko maulaya msifikiri alizuka tu mtu akawa Raisi kwa kipindi cha miaka mitanu akaitanua nchi ,agh mbona mna halaka hivyo,ikiwa mtailaumu CCM sina mgomo lakini kwa kusema Kikwete apande helikopta ,aloo mtakuwa mmeenda mbali sana ,yaani hivi mmokosa pa kumbamiza hadi apande helikopta ndio mpate la kusema mbona yapo mengi sana tu ,lakini hili la kupanda helikopta zinazobeba mikungu ya ndizi naona mnalazimisha kifo.

mzee mwiba,
chuki iko wapi mzee ? kusema ajenge reli ? kwani nimetoa time line ya kujenga hiyo reli ? na je akijenga kwani lazima atumie yy akiwa madarakani ? mbona mzee mkapa kajenga uwanja ktk kipindi chake na ukaja kufunguliwa na kuanza kutumika ktk kipindi cha muungwana ? kwa nini tusiwe na mawazo positive saa nyingine ? NDIO ninatoa wazo sasa hivi kikwete aanze kufikiria kujenga reli leo hii ili ije kutumiwa baadae kwa manufaa ya taifa!
ina maana wale waliotoa wazo la kujengwa uwanja wa soccer kipindi kile walikosea ?

Mwiba, sikuwa na maana kwamba "lazima ajenge hiyo reli na ikamilike akiwa madarakani". bali ajenge ili vizazi vijavyo viweze kutumia na yeye atumie baadae.

Suala la kupanda helikopta ni juu yake yeye kama kiongozi! kama serikali inaweza kununua ndege na ikaendeshwa vizuri kabisa bila matatizo itakuwa hiyo helikopta ? na nani aliyekwambia rais wa marekani ndio "ana guarantee" kwamba akipanda helikopta "atarudi salama"? suala ni kujua nini unachofanya when flying, thats it, and whatever that comes in between lets call it karma! so hilo suala la usalama wa rais anapopanda helikopta its up to kwa marubani na timu ya mainjinia, HIYO NI FANI YA WATU BABU NA KAMA WATAALAMU KWA NINI NIWE NA HOFU NAO JUU YA KITU AMBACHO WANA UJUZI NACHO ? kwa mwenendo huu nadhani tutasema sasa rais pia asipande boti kwa maana zinabeba mikungu ya ndizi, lol !
 
Nyinyi mnataka kummaliza ,hizi helikopta ikiwa mapailoti wanazikwepa kuranda nazo mnataka akapande raisi ,hapandi mtu wala Kikwete usiwasikilize kabisa hawa wanaokutafutia mauti kwa helikopta za kubebea mikungu ya ndizi ,huu si ushauri bali ni uuwaji ,kabisa ,kuna nchi matajiri na hawatumii helikopta kumpandisha raisi wao ,jamani wacheni kulinganisha AirForce One kile chombo kingine kabisa ,msione vinaelea jamani vimeundwa ,nyinyi hapa Bongo angalau gari zinatakiwa zikae pembeni kuna nchi njia zinafungwa kabisa tena kwa masaa ,ndio maana yake Raisi anapita au atapita ,sasa mnataka mpishane kwa miendo ya kasi ,eti mnashindana na raisi halafu ukajisifu ,kuwa umempita ,wacheni hizo tafuteni jingine ,hapa simtetei Kikwete ,isije ikaeleweka kuwa namtetea hapana wandugu hapa namtetea Raisi wa Tanzania au kwa namna nyingine natetea njia ya usafiri kwa kutumia Raisi wa Tanzania (Kwa yeyote atakaekikwaa).
Tunaposema Kikwete asitumie Cheo cha Uraisi au Mkapa alitumia cheo vibaya hakuna maana ya kumlinda yeyote yule ,ila tunakizungumzia cheo ,hivyo ni vizuri kutumia Cheo kuliko kumuelekeza kidole mtu ,hiki cheo si urithi wa Kikwete wala yeyote yule ,ni mali ya WaTanzania wote hivyo kinahitaji heshima na kuheshimiwa na kila mtu ,unaposema Raisi atumie helikopta jua kuwa wewe humtakii awaye yeyote Raisi usalama ,kwa ufupi unahatarisha usalama wa Raisi kwa kumtaka apande helikopta ,vyombo ambayo matengenezo yake hayataki ubabaishaji ,na ikiwa kwa kutumiwa na Raisi ni kitu ambacho kinatakiwa kiwe uptodate uwezo wa kuviweka vyombo hivyo uptodate hatuna ,kila kitu ni spana mkononi na mapailot wenyewe wanalielewa hilo.

Mwiba uwe Muungwana na maneno yako yasiwe kama jina lako!!Mbona wakati wa kampeni wanapanda helkopta hizo hizo?Raisi tunayemzungumzia ni huyu mzaliwa wa Chalinze anayetumia barabara ya Morogoro ambayo ina traffic kubwa kuliko barabara zote nchini Tanzania(Hilo hulijui!).Kusalimiana na wanafunzi na kuhatarisha maisha yao ni kipi bora?Hujui kati ya hao ndiko tutawapata viongozi wajao?Sasa kwanini mtu mmoja tu ahatarishe maisha ya watu wengi.Helcopta siyo usafiri wa mashaka kama unavyousema,Utakuwa bado uko karne ya kina Adolph Hitler.Helcopter za karne hii ni za kisasa kuliko upeo wako wewe ambaye umedhihirisha upeo mdogo sana katika kuelewa alama za nyakati.Yamkini wewe ungepewa nafasi ya kumshauri basi ndo ungemshauri vibaya zaidi.Kwani ushauri uliotolewa ni wqa kumsaidia walau arudi Ikulu 2010.Hakuna mtu aliyezungumzia maraisi wajao, wala hiyo siyo mada bali wanamzungumzia Jakaya Mrisho Kikwete anayeenda Chalize kwa njia ya barabara.Bado hoja imeungwa mkono na wengi wenye nia ya kumtakia heri Mkuu wa nchi.
 
kikwete fisadi fulani ukiona hayo magorofa aliyojenga pale kwao lugoda..utasema kweli mwalimu fufuka uone..,hapo bado bagamoyo anajenga kasiri...na pale ursino street....linajengwa kwa kasi....achilia mbali nyumba aliyopewa oysterbay na vigogo ili aondokane na lile wazo alilokuwa nao la kuwanyanganya nyumba ...amempa rizwani anakaa pale....

hujaongelea hoteli ...VIP lounges anazojenga mbugani....

kikwete fisadi//

Hili ndilo alilosemea yule Padri kule Zanzibar wakati wa Pasaka. Utajiri usichukuliwe kuwa ni ufisadi mpaka pale itakapothibitika kuwa utajiri huo umepatikana kwa wizi.
Hivyo kuwa masikini ndio uongozi bora?
 
Hili la kero kwa misafara ya Wakuu halipo tu kuelekea Chalinze lakini njia zote zinazoelekea Ikulu. Nahisi ule mtindo wa kuzifunga barabara kwa wakati mrefu zinasababisha hata wagonjwa kukimbizwa hospitali na wasafiri kukosa safari walizokwishapanga.
 
Inakera,inasumbua,tena inaudhi sana pale Rais Kikwete anapoenda kwao Chalinze mara kwa mara siku za mwisho wa juma kama leo asubuhi kwa msafara mkubwa wa magari,Acha kuwa ni gharama kubwa kwa Taifa ,muda ,na ujumbe anaoenda nao lipo hili jambo la kutusumbua sana sisi watumiaji wa barabara ya Morogoro.Kwanza ,magari yale yanaenda kwa kasi kubwa hatari hata kwa waenda kwa miguu.Pili,Traffic jams,magari kuwekwa pembeni na wakati mwingine watoto wadogo wanaokatiza barabara.Huu ni usumbufu usiohitajika kusababishwa na kiongozi wa juu kama Kikwete ,kwani ni gharama nafuu kuchukua helkopta ya jeshi au hata polisi kwenda mahali kama Chalinze.Sina maana ya gharama kifedha tuu bali hata usumbufu anaowapa watu wengine kama wananchi waishio kando kando mwa barabara ,askari polisi ,askari wa usalama barabarani,UWT nk nk.Si jambo geni kwa rais kutumia helkopta hata kule Marekani hutumika kumbeba rais badala ya kusumbua wananchi

Tatizo ni kuwa hawaziamini hizo helicopters kwani wao ndiyo wanajua walizinunua zikiwa katika hali gani, wananunua mitumba kila kitu, ndege ya rais helicopter za jeshi halafu wana overstate prices kuonesha ni mpya matokeo yake wanaogopa kuzipanda zisiwaue.
 
JK na serikali yake wangehamia Dodoma ili Dar ipumue!

Brilliant idea Mzalendohalisi.

Dodoma iwe administrative capital kama Washinton D.C. Hata Serikali ya Nigeria ilipoona Lagos hapakaliki ikahamia Abuja. Tusisubiri mpaka mambo yaharibike kabisa afu ndo tuanze kuzima moto.

Nyerere aliona mbali.

Move out now!
 
Back
Top Bottom