Kikwete to USA (May 2009)

Wakuu,ni ukweli usiofichika kuwa Rais Kikwete anastahili kupewa credit kwa kuleta mahusiano mazuri na nchi za nje.ikiwemo Marekani. Rais Kikwete aliweza kuconvice jumuia ya Leon Sullivan Foundation kufanyia mkutano Arusha. Sullivan Summits are a bridge between America and Afica and the world serving as a forum for economic and cultural cooperation. Kikwete was able bring Mr Bush to Tanzania na kusaini mkataba wa misaada kupitia Millenium Challenge. . Haya mambo si rahisi. Kwa hiyo kwenda kukutana na Obama ni achievement ktk kuleta mahusiano mazuri na Marekani. Baadhi ya wachangiaji nadhani mnayo chuki na Rais Kikwete. Hata afanye zuri lipi hamlikubali.


sawa mzee lakini amezidi mno na ketembea ili hali hapa mambo yanakwama? mbona bandarini kashindwa na sioni kama patatengamaa namambo mengine chungu mzima!!
 
Kweli White House kiboko, yaani baada ya Obama kumaliza shughuli zake zote za siku mpaka kuchill na Pittsburgh steelers, ndio jioni wakati rush hour ikikaribia kuanza anakutana na JK ahahahahahahah

JK ebu kaa nyumbani uangalie uwezekano wa kukusanya kodi kutoka kwa mafisadi na kuondoa exemptions za kijinga ili tuweze kujenga shule, hospitals, barabara na kuwekeza kwenye kilimo kuwakomboa masikini karibu milioni 30 wa Tanzania.

GodBless Tanzania
 
Sidhani kama Obama amemwita JK, hakuna dalili zozote za kuashiria hilo.

  • Mkutano muhimu kihistoria kama huo kati ya two black presidents, the first US black president na an African head of state ungepigiwa mabango kitambo, huko US na TZ-Daily News kwa angalau wiki mbili hivi mfululizo. Lakini ni mpaka JK alipokuwa West Coast ndio tangazo likatolewa na White house hapo jana, ikionyesha kabisa hii ni kama mgeni asiyekuwa na mpango.
  • Umuhimu wa TZ kwa serikali ya Obama ni mdogo sana au haupo kabisa otherwise angeshateua balozi mwenye uzito kama alivyofanya Bush.
  • Obama hamhitaji JK ili aongee na ndugu zake Kenya, after all amekuwa anaongea nao kila siku directly au through dada yake ambaye alikuwa naye tokea kwenye kampeni.
  • Zaidi ya hayo, Odinga na Obama ni ndugu na wanafahamiana vizuri sana kabla hata Obama hajawa raisi. Kwa hiyo hakuna dalili zozote za Obama kumhitaji JK kwa ajili ya kuongea na Wakenya.
Obviously kwenye hii safari, ni JK aliyejipendekeza na ni kwa manufaa yake binafsi na wala sio kwa ajili ya Watanzania. JK amebembelezea mpaka White House wakampa nafasi ya kupiga picha na Obama ili akaitumie Mwakani kwenye uchaguzi.

Tell them Makaa! JK needs the pictures just to feel good. Members please monitor the duration of the meeting; will it be 5, 10 or 15 minutes?
 
Kweli White House kiboko, yaani baada ya Obama kumaliza shughuli zake zote za siku mpaka kuchill na Pittsburgh steelers, ndio jioni wakati rush hour ikikaribia kuanza anakutana na JK ahahahahahahah


GodBless Tanzania

Press release ya White House on JK's visit..



THE WHITE HOUSE

Office of the Press Secretary
____________________________________________________________
FOR IMMEDIATE RELEASE May 19, 2009

Statement by the Press Secretary on the visit of Tanzanian President Kikwete


The President looks forward to welcoming President Kikwete of Tanzania to the Oval Office on Thursday, May 21, 2009. Tanzania is a strong partner in sub-Saharan Africa, and the two leaders will meet to discuss a wide range of regional and bilateral issues, including how the United States can support sound governance, economic development, and stability throughout the continent. President Obama looks forward to working closely with President Kikwete to tackle shared challenges, including the global financial crisis and its impact on sub-Saharan Africa.




The White House - Press Office - Statement by the Press Secretary on the visit of Tanzanian President Kikwete
 
Tell them Makaa! JK needs the pictures just to feel good. Members please monitor the duration of the meeting; will it be 5, 10 or 15 minutes?

Leo sio siku nzuri ya kwenda Ikulu hapo, Maana debate ya foreign policy kati ya obama cheney ita dominate the whole media.
 
I don't think this is a state visit, JK kajichomeka tu ndiyo maana watu wamemtafutia nafasi chap chap wakamuweka mwisho wa schedule huko.
 
"An al-Qaeda suspect is to become the first inmate at the Guantanamo Bay camp to stand trial in a US civilian court".

"Ghailani, a Tanzanian, was seized in Pakistan in 2004 and was one of 14 so-called "high-value detainees" transferred from secret CIA prisons abroad to Guantanamo in September 2006".

"The expected announcement comes as Tanzania's President Jakaya Kikwete is to hold talks with President Obama - the first African head of state to meet the new US leader in Washington".

Source: BBC
 
Ghailani, a Tanzanian, was seized in Pakistan in 2004 and was one of 14 so-called "high-value detainee"[/QUOTE]


Mimi nadhani JK amewekwa kwenye "schedule" ya kukutana na rais Obama whishono kwasababu ya issue ya huyo mTanzania atakayefikishwa mahakamani.

Kumbukeni kwawmba, JK anatafuta nchi za kuwapeleka hawa ma"detainees" ili afunge Guantanamo.

Kwahiyo JK anaweza akaombwa amchukue huyo "detainee" aje amalizie kifungo chake Tanzania.
 
"An al-Qaeda suspect is to become the first inmate at the Guantanamo Bay camp to stand trial in a US civilian court".

Tanzania's President Jakaya Kikwete is to hold talks with President Obama - the first African head of state to meet the new US leader in Washington".

...ahsante kwa kuunganisha 'vidoti!'
 
Wataenda kuongea basketball tu ndicho kilichobaki kama common ground, last time mtalii wetu alipewa viatu vya Shaq, sijui this time ataambulia nini wakati bailout ya Bush ndiyo kwanza kapewa juzi.
 
Wakuu kuna kitu kimoja ambacho hadi leo sijaelewa na ndio maana nashindwa sana kumlaumu Kikwete na hizi safari zake..Sielewi malengo yake lakini kama kweli anajaribu kuiuza Tanzania basi bila shaka hakuna njia nzuri kama rais wetu kuwafuata makwao hawa jamaa kwa sababu hatuwezi kujiuza kama wenzetu nchi za Asia..

Nasema hivi kwa sababu navyofahamu mimi Mataifa makubwa na all big corporates hawawezi hata siku moja kuingia ktk Tender za nchi maskini hasa tunapotaka kuuza mali au kutafuta wawekezaji. Tender zetu zote toka wakati wa Mkapa zimechukuliwa na mashirika mbuzi mashirika ya kifisadi vile vile kwa sababu mara nyingi uwekezaji inatakiwa nchi host ndio ijitangaze inacho offer badala ya haya mashirika kutuma maombi.
Tanzania bado kabisa haijafikia uwezo wa kujitangaza na masirika au mataifa makubwa kugombea nafasi za uwekezaji nchini isipokuwa tunatakiwa sisi kujitangaza kwao. Na ukweli utauona ktk mashirika yote ya Umma tuliyowahi kuuza.. tumewauzia matapeli, mashiurika yasiyokuwa na record ya kazi hizo zaidi ya tungo za resume ili kupita ktk Mchekecho wa Tender.

Hata siku moja huwezi kuwaona Amtrak wakiomba kuendesha reli yetu, Hata siku moja huwezi kuwaona Bell wakijipanga ktk tender za kusambaza nyaya za simu na mawasiliano nchi maskini. Hata siku moja huwezi kuona Intel au AMD wakifikiria kuwekeza Tanzania kutengeneza PC hardware pamoja na kwamba raw za vifaa vingi zinapatikana Afrika..

Ni muhimu sana sisi Watanzania kusoma wakati, kufahamu tamaduni ya biashara ya nchi hizi.. lazima tujitangaze na tuwe mbele kutoa offer kwao kwani hawa jamaa ni kama wahindi.. Mke ndiye hutafuta mchumba na kutoa mahalai sii sawa na utamaduni wetu ambao kila siku tunatangaza tender ktk magazeti na wanaokuja kutuchumbia ni mfano wetu.. Matapeli!

Hivyo nafanya subira, sidhani kama Kikwete ni mjinga kiasi hicho cha U Vasco tuuu kivinjari dunia..Naomba Mungu isiwe hivyo, ila uwe ni mtazamo mpya wa kutafuta wawekezaji kutokana na imani ya wana CCM - Progressive. Siupendi mfumo huu na sintapendelea nchi yetu kuuzwa kwa wageni lakini sina budi kukubali ndio mbinu bora za wana Progressive kuvuta wawekezaji wenye uwezo mkubwa na kwamba naelewa nini malengo ya misafara hii badala ya kumlaumu Kikwete. Pengine yawezekana miaka mitano ijayo tutaweza kuona matunda ya kukoloniwa, ndipo tutakapo shika adabu na kuelewa tofauti ya mirengo hii.
 
Mkandara,
Njia bora pekee ya kuvutia wawekezaji Tanzania ni kuboresha miundombinu na kupunguza urasimu. Hizi safari hata Mheshimiwa asafiri mara ngapi hazitasaidia kitu. Waswahili wanasema chema kinajiuza. Tukishaboresha miundombinu yetu hata uwekezaji wa ndani utachapuka. Umesoma lile tamshi justifying safari zake stock market na wapi na wapi, as long as umeme wetu ni wa mashaka na hata haukidhi mahitaji ya asilimia 10 ya watu wetu hakuna mwekezaji serious atakayefikiria kuja Tanzania, hata kama Mwungwana atasafiri nje mara ngapi matokeo yatakuwa yale yale. Leo huu ni mwaka wake wa nne madarakani, na wawekezaji pekee tunaoweza kujivunia ni Dowans na sasa Wasaudi wanaotaka kujilimia mchele? Baada ya miaka minne angekaa chini ajiulize how come mbinu zake hizi za safari mara kwa mara hazijafanikiwa?
 
Jasusi,
Mkandara,
Njia bora pekee ya kuvutia wawekezaji Tanzania ni kuboresha miundombinu na kupunguza urasimu. Hizi safari hata Mheshimiwa asafiri mara ngapi hazitasaidia kitu. Waswahili wanasema chema kinajiuza.
Mkuu nakukubali naelewa fika hakuna njia bora kama kuboresha miundombinu lakini jaribu kutazama upande wao hawa kina JK wanafikiria nini!. Pengine wanafikiri kwamba kama huna mwekezaji ya nini kuboresha Miundombinu..ya nini kununua mbeleko mwana hajazaliwa!..ndivyo tunavyofikiria na kuweka haramu ktk kufanya hivyo.

Na kutokana na jinsi tulivyoingia Ubepari hata hiyo Miundombinu inatakiwa kujengwa na Wawekezaji labda ndicho anachokitafuta. Umeme, maji, barabara, mawasiliano na vingine vyote tunategemea mashirika ya nje..Hakuna hata barabara moja tuliyoijenga kwa nguvu zetu (fedha yetu) tunasubiri misaada, sasa ili tupate hiyo misaada unafikiria Kikwete afanye kitu gani.. Nchi haiuziki ni sawa na mwanamke asiyekuwa na kisomo kuuzika kwa Jasusi!..Itabidi aende shule kwanza uwezo hana hivyo kinachotakiwa ni kumpata Chefa kwanza apate hiyo elimu pengine utakuja mtazama kesho.

Pamoja na yote haya mkuu wangu nchi za Magahribi kuitazama Afrika ktk uwekezaji ni ndoto!.. Hata kama tutaweka vipi miundombinu yetu bado kabisa tunapwaya sehemu nyingi sana ikiwa ni pamoja na urasimu..Utamaduni ambao hatuwezi kuuacha ila ktk makabrasha kama tulivyoweka sheria dhidi ya Ushoga lakini unakubalika kiutendaji.
 
Wakuu kuna kitu kimoja ambacho hadi leo sijaelewa na ndio maana nashindwa sana kumlaumu Kikwete na hizi safari zake..Sielewi malengo yake lakini kama kweli anajaribu kuiuza Tanzania basi bila shaka hakuna njia nzuri kama rais wetu kuwafuata makwao hawa jamaa kwa sababu hatuwezi kujiuza kama wenzetu nchi za Asia..

Nasema hivi kwa sababu navyofahamu mimi Mataifa makubwa na all big corporates hawawezi hata siku moja kuingia ktk Tender za nchi maskini hasa tunapotaka kuuza mali au kutafuta wawekezaji. Tender zetu zote toka wakati wa Mkapa zimechukuliwa na mashirika mbuzi mashirika ya kifisadi vile vile kwa sababu mara nyingi uwekezaji inatakiwa nchi host ndio ijitangaze inacho offer badala ya haya mashirika kutuma maombi.
Tanzania bado kabisa haijafikia uwezo wa kujitangaza na masirika au mataifa makubwa kugombea nafasi za uwekezaji nchini isipokuwa tunatakiwa sisi kujitangaza kwao. Na ukweli utauona ktk mashirika yote ya Umma tuliyowahi kuuza.. tumewauzia matapeli, mashiurika yasiyokuwa na record ya kazi hizo zaidi ya tungo za resume ili kupita ktk Mchekecho wa Tender.

Hata siku moja huwezi kuwaona Amtrak wakiomba kuendesha reli yetu, Hata siku moja huwezi kuwaona Bell wakijipanga ktk tender za kusambaza nyaya za simu na mawasiliano nchi maskini. Hata siku moja huwezi kuona Intel au AMD wakifikiria kuwekeza Tanzania kutengeneza PC hardware pamoja na kwamba raw za vifaa vingi zinapatikana Afrika..

Ni muhimu sana sisi Watanzania kusoma wakati, kufahamu tamaduni ya biashara ya nchi hizi.. lazima tujitangaze na tuwe mbele kutoa offer kwao kwani hawa jamaa ni kama wahindi.. Mke ndiye hutafuta mchumba na kutoa mahalai sii sawa na utamaduni wetu ambao kila siku tunatangaza tender ktk magazeti na wanaokuja kutuchumbia ni mfano wetu.. Matapeli!

Hivyo nafanya subira, sidhani kama Kikwete ni mjinga kiasi hicho cha U Vasco tuuu kivinjari dunia..Naomba Mungu isiwe hivyo, ila uwe ni mtazamo mpya wa kutafuta wawekezaji kutokana na imani ya wana CCM - Progressive. Siupendi mfumo huu na sintapendelea nchi yetu kuuzwa kwa wageni lakini sina budi kukubali ndio mbinu bora za wana Progressive kuvuta wawekezaji wenye uwezo mkubwa na kwamba naelewa nini malengo ya misafara hii badala ya kumlaumu Kikwete. Pengine yawezekana miaka mitano ijayo tutaweza kuona matunda ya kukoloniwa, ndipo tutakapo shika adabu na kuelewa tofauti ya mirengo hii.

Nathani Ukirejea kwenye ile mada ya Rais mwenye mawazo ya ombaomba tutajikumbusha mengi sana.Mimi nilikuwa na msimamo sawa na unaousema sasa Mkandara.

Sometime business Risk inapungua unapokuwa na assurance with the prospectus country High level administration na ndio maana nchi kama uganda political risk imekuwa burden kubwa sana kwa investors than even the infrastructure,juzijuzi tu uganda Imeruhusu product mpya ya Insurance kupitia kampuni ya African Trade Insurance Agency ili ku protect investors against political and credit risks ili kucover risks arising from political violence, civil disturbance, terrorism and sabotage.

But kwa stutus tuliyonayo sasa tanzania Jk anweza kusaidia kupunguza Political Risk kwa kutoa assurance kama hizo anapotembelea huko. Ujue hata mikopo yetu ya Biashara kutoka nje ya nchi inakuwa bei poa kama Business risk inakuwa chini so I do agree with u mzee on this
 
Back
Top Bottom