posa,Kikwete aliahidi mwaka 2010 kuwa tatizo la maji Dar Es Salaam lingemalizika kuanzia mwaka 2011. Sasa ni 2015 hajatekeleza wakati yeye ndiye Serikali yake inakusanya kodi zetu. Kumbe ndio maana Mnyika amekuwa akimbana!
Nimefungua post haraka haraka ili nione hiyo mipango ya kumaliza tatizo la maji Dar kumbe ni usanii wa mkulu wakati akitafuta tiketi ya kuongezewa muda wa ulaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.