Ndamwe
JF-Expert Member
- Jun 11, 2008
- 203
- 123
Asante sana mwanakijiji kwa mamala yako iliyotulia. Hakika Mungu lazime awe na wateule wake kama wewe ambao wako tayari kusema ukweli kwa ajili ya taifa lake. Mukngu akubariki na kukulinda. Wanajidangana, hata waibe vipi, hawataishi milele, na siku moja hesabu yake watalipa hata mbele za Mungu. Big up!