Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Rias Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete amesema hatarajii kuona utaratibu tofauti katika CCM tofauti na ule uliozoeleka
Kawaida ndani ya CCM, Rais ndio huwa Mwenyekiti wa CCM ambapo Rais Kikwete amesema wanafanya hivyo kuepusha migongano inayoweza kutokea kwa mwenyekiti kutofautiana na Rais
Amesema hayo zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kuwa na Mkutano Maalumu wa CCM
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Magufuli amefariki Machi 17 kwa ugonjwa wa moyo
Kawaida ndani ya CCM, Rais ndio huwa Mwenyekiti wa CCM ambapo Rais Kikwete amesema wanafanya hivyo kuepusha migongano inayoweza kutokea kwa mwenyekiti kutofautiana na Rais
Amesema hayo zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kuwa na Mkutano Maalumu wa CCM
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Magufuli amefariki Machi 17 kwa ugonjwa wa moyo