Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,272
Sasa kuna haja gani ya kuwa na kikao cha kamati kuu, wakati kuna utaratibu tayari?!Hasafishi njia, huo ndio utaratibu.....
Sasa kuna haja gani ya kuwa na kikao cha kamati kuu, wakati kuna utaratibu tayari?!Hasafishi njia, huo ndio utaratibu.....
NdiyoKwa wanaoijua vyema ccm, hivi hiki chama kilishapata Mwenyekiti toka Zanzibar?
Binafsi siombei wala kutamani kuwa tofauti na utaratibu ulokuwepoBasi Tusubiri
Aiseee kweli wewe kichwa debeAsante hayati rais Magufuli kwa kutuachia wosia wa kuacha hofu na kumtegemea Mungu kwa kila jambo.
Kimbunga Jobo na Corona wamekiona cha mtema kuni Tanzania.
Huu ni utaratibu ambao haujaandikwa sehemu yeyote, na hii ndio tatizo la kuacha gaps kwenye Katiba ya chama au nchi. Leo anaweza kutokea mtu akagombea hiyo nafasi hakuna wa kumpinga unless ashindwe kwenye kura za ndani.Ni wakati muafaka wa kutenganisha kiongozi wa chama cha siasa na rais wa nchi.
Ameyaongea haya katika mazingira gani? Yaani alikuwa anamwambia nani?Rias Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete amesema hatarajii kuona utaratibu tofauti katika CCM tofauti na ule uliozoeleka
Kawaida ndani ya CCM, Rais ndio huwa Mwenyekiti wa CCM ambapo Rais Kikwete amesema wanafanya hivyo kuepusha migongano inayoweza kutokea kwa mwenyekiti kutofautiana na Rais
Amesema hayo zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kuwa na Mkutano Maalumu wa CCM
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Magufuli amefariki Machi 17 kwa ugonjwa wa moyo
Ushajibiwa hapa mi mwenyew nasubiria jibuItakuwaje Mwenyekiti wa CCM akiwa tofuti na Rais?
Sasa kama mkimpa asilimia miamoja hayo mawazo kinzani yanatokea wapi?Na hata Samia atachaguliwa kwa kura zote kuwa mwenyekiti lakini haitaondoa kuwepo kwa mawazo kinzani
Kinzani kinzani! Kinzani kitu gani?! unaruka ruka tu, umesema wenye wazo moja laNa hata Samia atachaguliwa kwa kura zote kuwa mwenyekiti lakini haitaondoa kuwepo kwa mawazo kinzani
Hello Kinuju, amka kumekucha acha kuota. Magu is no more.Asante hayati rais Magufuli kwa kutuachia wosia wa kuacha hofu na kumtegemea Mungu kwa kila jambo.
Kimbunga Jobo na Corona wamekiona cha mtema kuni Tanzania.
Chama kinakosa uwezo wa kuihoji Serikali kwani. Ukitenganisha Chama na Serikali Chama kitakuwa na nguvu ya juu ya Serikali. Lakini hili linahitaji Serikali kama ya China ambayo hakuna vyama vingi.Rias Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete amesema hatarajii kuona utaratibu tofauti katika CCM tofauti na ule uliozoeleka
Kawaida ndani ya CCM, Rais ndio huwa Mwenyekiti wa CCM ambapo Rais Kikwete amesema wanafanya hivyo kuepusha migongano inayoweza kutokea kwa mwenyekiti kutofautiana na Rais
Amesema hayo zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kuwa na Mkutano Maalumu wa CCM
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. John Magufuli amefariki Machi 17 kwa ugonjwa wa moyo
Uko sahihiUshauri wangu kwa CCM tenganisheni Urais na uenyekiti wa Chama.
Pili mpeni mwenyekiti Rais au waziri Mkuu mstaafu, hi itapunguza mgongano na struggle for power. Lakini itaweka uwajihikjai
Kabisa kutenganisha vyeo kutasaidia uwajibikaji kwani chama kilichomuweka Raidi madarakani kitakuwa kinaweza kumuhoji pia kumtoa pale anapokiuka maelekezo ya Chama au Katiba ya Nchi kama alivyofanya Mwendazake.Kama kuna jambo zuri kabisa kwa Tanzania kutokea ni hili la kutenganisha kofia za rais na mwenyeketi wa chama. Tena hili linafaa kuwa kwenye sheria za vyama vya siasa ili i apply kwa vyama vyote hata huko mbeleni vikija kushika nchi.