Kikwete shujaa wa Demokrasia na Katiba Mpya

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Feb 19, 2021
3,086
4,879
Hakika rais mstaafu awamu ya 4 Jakata Kikwete atabaki katika historia ya tanzania kama baba wa demokrasia aliyethubutu kuwapatia watanzania katiba mpya licha ya ndoto yake kutokutimia kutokana na mahafidhina ndani ya chama chake waliotaka ashindwe ili waendelee kutumikia nafasi zao.

Pamoja na Jakaya kikwete kuwaanzishia mchakato bado utawala wa awamu ya 5 ulishindwa na bado umeishindwa kuwapatia watanzania katiba mpya. Tunakumbushana rais samia katiba mpya ni muhimu kwa uchumi wa Watanzania.
 
Ukweli Kikwete alijaribu ingawa alikosoa ujasiri wa kushikilia msimamo wake.

Naamini Katili mwingine Mkapa aliingilia mchakato na kuvuruga.

Lakini baadae alipokua pandikizi lake akashindwa kumdhibuti akajuata akatamani katiba mpya ingekuwepo,akatoa hoja Chache ili zirekebishwe kwenye tume ya uchaguzi,akafa ghafla sasa hivi Yuko kuzimu na pandikizi lake Yuko kuzimu.

Wote wako kuzimu.

Hawakutuachia legacy yoyote.

Wametuachia vijitabu vya majuto tu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom