Elections 2010 Kikwete rais mteule asiye na watu wa kuwaongoza ni mwanzo wa misiba na taabu

Lalashe

Member
Nov 4, 2010
84
1
Ni ajabu, aibu, na kukosa uelewa kwa mtu anayesadikika kuwa na digrii ya uchumi (UDSM) (ambayo si amini kama aliwahi kupata) Kukubali kupewa urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania huku akijua ameshindwa katika uchaguzi. Leo hii Tume yake ya Uchaguzi imemtangaza kuwa raisi lakini akiwa HANA WATU WA KUWAONGOZA. Katika mjii huu wa Arusha kumepoa na watu wanaendelea na kazi zao kama vile kuna msiba uliotokea. Sijui kesho Tanzania itaamkaje na msiba huu laiti kama tungeanza kulia. Ushindi huu wa CCM ikulu ndio mwanzo wa misiba mingi kwa miaka mitano ijayo-Bora Arusha wameanza kujizoesha. LAKINI KAMA HATUTAKI MISIBA NA TAABU TUFANYE JAMBO WATANZANIA HATA KAMA NI GUMU
 
BusTZ


Ndani ya mwaka mmoja tutakuwa na by-election ya Rais....trust me....
 
AMeeeeeeeeeeeeen! mana we unataka kodi zet zitumike tena kununulia mabango!! kamshahara kenyewe haka
 
BusTZ


Ndani ya mwaka mmoja tutakuwa na by-election ya Rais....trust me....

Ha haaaaaaaaa, Safari_ni_Safari umenichekesha sana......... Ingawa wanasema "dua la kuku halimpati mwewe" mi nahisi kama linaweza mpata vile......... especially kwa hili
 
Amechaguliwa na 27% ya watanzania waliokata tamaa ya maisha. Wengine waliokata tamaa zaidi hawakupiga kura kabisa
 
sIKUBALIANI NA WEWE NIGHARAMA KULUDIA UCHAGUZI MUNGU AMLINDE JK!

Nasikia alianguka tena Zanzibar majuzi kwenye kuapishwa Shein....maximum kuanguka ni mara 100 na yeye tayari ameanguka mara 96 nadhani...bado 4 tunarudia uchaguzi
 
nasikia alianguka tena zanzibar majuzi kwenye kuapishwa shein....maximum kuanguka ni mara 100 na yeye tayari ameanguka mara 96 nadhani...bado 4 tunarudia uchaguzi
mkuu tumwombeee tuu jk any ndo kiongozi wetu! Tumsaidie kuongoza vyema nchi sasa!
 
Naomba huyo anayesimamia kuanguka kwake aje kwa speed ya haraka na kumalizia hizo nne (4) zilizobaki ili tupunguze asira zetu mimi nipo willing kutoa mishahara yangu midogo miwili kwa yule atakayeharakisha hiyo process ya kumalizia
 
Nani kasema wazungu hawata msikiliza Dr. Slaa kwa sababu, wamemkubali JK kwa nini usidhani kwamba sasa wazungu watajipendekeza kwa Dr. Slaa. isitoshe Slaa hakutaka kuwa rais wa wazungu?
 
Gharama utalipa zaidi ya ile ya uchaguzi kumbuka fedha nyingi zilichapishwa na kuingizwa kwenye mzunguko (economics principles too much money in circulation=inflation) kuna kitu kingine wanaita inflation tax itakukula namna gani whether yupo au hayupo itakula kwako lakini zaidi akiwepo kwa sababu unalipia kupitia inflation na kumsaidi kutengeneza nssf yake ambayo si official through ufisadi. Hujapiga mahesabu nini?
 
Ni ajabu, aibu, na kukosa uelewa kwa mtu anayesadikika kuwa na digrii ya uchumi (UDSM) (ambayo si amini kama aliwahi kupata) Kukubali kupewa urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania huku akijua ameshindwa katika uchaguzi. Leo hii Tume yake ya Uchaguzi imemtangaza kuwa raisi lakini akiwa HANA WATU WA KUWAONGOZA. Katika mjii huu wa Arusha kumepoa na watu wanaendelea na kazi zao kama vile kuna msiba uliotokea. Sijui kesho Tanzania itaamkaje na msiba huu laiti kama tungeanza kulia. Ushindi huu wa CCM ikulu ndio mwanzo wa misiba mingi kwa miaka mitano ijayo-Bora Arusha wameanza kujizoesha. LAKINI KAMA HATUTAKI MISIBA NA TAABU TUFANYE JAMBO WATANZANIA HATA KAMA NI GUMU


Ni ajabu ( SLAA AMEBWAGWA ), aibu (KWA SLAA) , na kukosa uelewa kwa mtu anayesadikika kuwa na digrii ya uchumi ( WEWE UNA YA NINI?) (UDSM) ambayo si amini kama aliwahi kupata ( NENDA UDSM KAULIZE) Kukubali kupewa (AMESHINDA KWA KURA ) urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania huku akijua ameshindwa (LETA USHAHIDI) katika uchaguzi (ULIKUWA HURU NA WA HAKI ) . Leo hii Tume yake ya Uchaguzi imemtangaza kuwa raisi (ALIYESHINDA ) lakini akiwa HANA WATU WA KUWAONGOZA (WATANZANIA TUPO 40M SIO WATU ?) . Katika mjii huu wa Arusha kumepoa (WALIKUWA MAJUMBANI ) na watu wanaendelea na kazi zao (VIZURI SANA ) kama vile kuna msiba (MAZISHI YA CHADEMA LINI ?) uliotokea. Sijui kesho (NI JUMAMOSI MKUU WA NCHI ANAAPISHWA) Tanzania itaamkaje (LALA KWANZA ) na msiba huu (WA CHADEMA KUSHINDWA URAIS ) laiti kama tungeanza kulia (MBONA SIONI MACHOZI?) . Ushindi huu wa CCM ikulu (WA HURU NA HAKI ) ndio mwanzo wa misiba mingi (KWAKO TU SIO KWANGU ) kwa miaka mitano (YA MAISHA BORA ) ijayo-Bora Arusha wameanza kujizoesha. LAKINI KAMA HATUTAKI MISIBA NA TAABU TUFANYE JAMBO WATANZANIA HATA KAMA NI GUMU (ANZIA NYUMBANI KWAKO)
 
Ukweli ni ukweli kaka, raisi anatangazwa nchi imepooza kama mgonjwa wa polio?

Tafakari, wangapi wangekuwa barabarani kushangilia angetangazwa mtu wanayempenda?

Sauti ya watu ni sauti ya mungu
 
Ni ajabu ( SLAA AMEBWAGWA ), aibu (KWA SLAA) , na kukosa uelewa kwa mtu anayesadikika kuwa na digrii ya uchumi ( WEWE UNA YA NINI?) (UDSM) ambayo si amini kama aliwahi kupata ( NENDA UDSM KAULIZE) Kukubali kupewa (AMESHINDA KWA KURA ) urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania huku akijua ameshindwa (LETA USHAHIDI) katika uchaguzi (ULIKUWA HURU NA WA HAKI ) . Leo hii Tume yake ya Uchaguzi imemtangaza kuwa raisi (ALIYESHINDA ) lakini akiwa HANA WATU WA KUWAONGOZA (WATANZANIA TUPO 40M SIO WATU ?) . Katika mjii huu wa Arusha kumepoa (WALIKUWA MAJUMBANI ) na watu wanaendelea na kazi zao (VIZURI SANA ) kama vile kuna msiba (MAZISHI YA CHADEMA LINI ?) uliotokea. Sijui kesho (NI JUMAMOSI MKUU WA NCHI ANAAPISHWA) Tanzania itaamkaje (LALA KWANZA ) na msiba huu (WA CHADEMA KUSHINDWA URAIS ) laiti kama tungeanza kulia (MBONA SIONI MACHOZI?) . Ushindi huu wa CCM ikulu (WA HURU NA HAKI ) ndio mwanzo wa misiba mingi (KWAKO TU SIO KWANGU ) kwa miaka mitano (YA MAISHA BORA ) ijayo-Bora Arusha wameanza kujizoesha. LAKINI KAMA HATUTAKI MISIBA NA TAABU TUFANYE JAMBO WATANZANIA HATA KAMA NI GUMU (ANZIA NYUMBANI KWAKO)

Nakupa zawadi hii kwa ujuha wako

wish_you_were_here_girl.jpg
 
Back
Top Bottom