wanajamvi nawasalimu:
Nimewaza mda mrefu nikaona niweke slide hii maana nimeona ipo sawa kuifikiria sisi kama great thinkers:
Kikwete ni Raisi bora kuliko wote waliomtangulia hapa tanzania kwa sababu zifuatazo ( upo free kuongeza )
1. Amepanua democrasia kwa kiasi kikubwa hadi sasa hadi kijijini wanaujua ubaya na udhaifu wa serikari yetu.
2. kila chombo cha habari chaweza kuandika tuhuma hata kama ya jinai inayoihusu serikari pasipo kuchukuliwa hatua
3. amewafanya watu kuipenda sana CDM kuliko CCM hata waliomo CCM wanapenda kuwa katika chama Makini CDM lakin ndo hivo matumbo yao bado yana njaa.
4. asilimia 80 ya Raia wa Tanzania wanachukizwa na utawala wake ila wengine hawana jinsi wanaogopa kutema Vibarua
Kwa kuwa Kikwete alikuta System ikiwa vile lakin wananchi hawaelewi hivo akaona hawez nyamaza wakati wananchi wanaumia kwa mda wote, niyafanye haya yote, nioneshe kuwa mie ni dhaifu sana ili watu waanze kugundua na kujua nini kilichokuwa kinafanyika Ikulu ya Tanzania miaka ya nyuma.
Kwa Point hizo nahis Kikwete ni Raisi Bora Kuwazidi akina Mkapa, Mwinyi na Nyerere.
Nimewaza mda mrefu nikaona niweke slide hii maana nimeona ipo sawa kuifikiria sisi kama great thinkers:
Kikwete ni Raisi bora kuliko wote waliomtangulia hapa tanzania kwa sababu zifuatazo ( upo free kuongeza )
1. Amepanua democrasia kwa kiasi kikubwa hadi sasa hadi kijijini wanaujua ubaya na udhaifu wa serikari yetu.
2. kila chombo cha habari chaweza kuandika tuhuma hata kama ya jinai inayoihusu serikari pasipo kuchukuliwa hatua
3. amewafanya watu kuipenda sana CDM kuliko CCM hata waliomo CCM wanapenda kuwa katika chama Makini CDM lakin ndo hivo matumbo yao bado yana njaa.
4. asilimia 80 ya Raia wa Tanzania wanachukizwa na utawala wake ila wengine hawana jinsi wanaogopa kutema Vibarua
Kwa kuwa Kikwete alikuta System ikiwa vile lakin wananchi hawaelewi hivo akaona hawez nyamaza wakati wananchi wanaumia kwa mda wote, niyafanye haya yote, nioneshe kuwa mie ni dhaifu sana ili watu waanze kugundua na kujua nini kilichokuwa kinafanyika Ikulu ya Tanzania miaka ya nyuma.
Kwa Point hizo nahis Kikwete ni Raisi Bora Kuwazidi akina Mkapa, Mwinyi na Nyerere.