Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
haaaa hivi hizi sherehe za miaka 50 ni mwaka mzima
kama sio mbaya kwa nini anataka kubadilisha?Haya sasa anaongelea katiba....anasema katiba ya sasa si mbaya na anapigiwa makofi na hawa wazee
sasa hivi wanavaa nguo halafu wanasomea hapa..........hatua kubwa hiyo!!Anasema nchi hii imepiga maendeleo makubwa sana ndani ya miaka hii 50....anasema zamani watu walivaa kaniki