mwenye kujua anijuze mbona huu ukumbi umejaa alama za ccm hadi chemba ya mwenyekiti ina nembo ya ccm ni ukumbi wao?
Na kulikoni mdahalo huu unarushwa na both chanels, itv na eatv(chanel5)
si itv na eatv tu! Pia tbc,atn, channel ten,startv. I wonder
mwenye kujua anijuze mbona huu ukumbi umejaa alama za ccm hadi chemba ya mwenyekiti ina nembo ya ccm ni ukumbi wao?
Na kulikoni mdahalo huu unarushwa na both chanels, itv na eatv(chanel5)
Mh tayari wamekwishaanza...nilikuwa chumbani kwa mama yako.
Yaaani UPUPU Mtupu... Wewe Burn mtoto wa Oysterbay...
Anazungumzia wizi wa kula , ina maana anatufanya hatujui kuwa wapiga kura hewa huwa ni wanajeshi na polisi ambao hawaruhusiwi kupiga kura, sio kwamba kunakuwa na kura bandia ila huwa kuna wapiga kura wasioruhusiwa. Kama wana akili wanaweza mnyima vilevile. Hizi kazi anazoelezea hapa ni kazi ya Kiravu!!!!
I can bet my five cents that hakuna atakayeuliza... wauliza maswali walishapangwa na wakapewa maswali ya kuuliza na majibu yalishaandaliwa. Angalia jinsi alivyohesabu hatua zilizochukuliwa kwenye kilimo, inaonekana kabisa n jibua l kuandaaHivi hakuna mtu wa kumuuliza kwa nini Lowassa na kina Karamagi (Richmond) hawa kufikishwa mahakamani?
Kwa jinsi BIlal alivyokaa anaonekana kama anaswali huyu bwana asianguke tena hadharani
Mh tayari wamekwishaanza...
Usanii mtupuNaona anapekua daftari kutafuta desa...tehe tehee
David Ramadhani-Chennel ten- Srikali imechukua hatua kuboresha elimu, unaahidi nini katika kuboresha sekta ya elimu miaka mitano ijayo? Kuna mapungufu gani uliyoyaona utakayoyashughulikia>
Kuboresha, sekta ya elimu,
ANAJIBU KISIASA KWA kutumia takwimu, hajui kuwa watu wameongezeka