Kikwete: Niliumia sana kundi la TMK kuvunjika, nilimuita Juma Nature Ikulu akakataa kusuluhishwa

Sio siri jamani jk ukimsikiliza kwa makini huyu mzee ana maono mazuli anaona mbali mnoo

Maneno ya huyu mzeee kwa watu wenye akili kuna vitu tumejufunza kuhusu maisha ya kwamba "majuto ni mjukuuu" huyu juma nature kama angetulia Leo hiii angekuwa mbalii mnooo britanicca,
 
Sio siri jamani jk ukimsikiliza kwa makini huyu mzee ana maono mazuli anaona mbali mnoo

Maneno ya huyu mzeee kwa watu wenye akili kuna vitu tumejufunza kuhusu maisha ya kwamba "majuto ni mjukuuu" huyu juma nature kama angetulia Leo hiii angekuwa mbalii mnooo britanicca,
Kabisa
 
Back
Top Bottom