magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 7,277
- 12,671
Kijana tukikuita hapa ofisini kwetu unaweza thibitisha madai yako?Kama yeye hakuwa anatemea urais tu, alikuwa na biashara nyingine ya kuuza twiga. Safi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana tukikuita hapa ofisini kwetu unaweza thibitisha madai yako?Kama yeye hakuwa anatemea urais tu, alikuwa na biashara nyingine ya kuuza twiga. Safi sana.
John utakuwa wewe
Tunataka Chibu Dangote arudi kwa hewa mapema iwezekanavyo!
Kwa kweli.Kikwete huwa hazeeki. Ila huyu baba, Mungu ambariki sana...
Kijana tukikuita hapa ofisini kwetu unaweza thibitisha madai yako?
Ataendeleza yeye kwa speed zaidNimeleta Chuma Hiki Na Sasa Kimeanza Kutema Cheche Nilipochoka Mimi.......
Walisema Miye Mpole Sasa Dawa Kuleta MkaliAtaendeleza yeye kwa speed zaid
Mzee wewe ulikuwa unanyota ya pesa nakumbuka nilikuwa napata pesa sanaKuna siku nilimsihi MwanaFA na wanamuziki wengine kufanya shughuli nyingine badala ya muziki pekee.
Nimefarijika leo kunitembelea na kutambulisha bidhaa yake mpya 'body spray'. Hii ni hatua kubwa na nzuri kwa vijana watu. Tuwaungishe!
Ameandika Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete katika ukurasa wake wa Twitter.View attachment 972296View attachment 972297
Kijana tukikuita hapa ofisini kwetu unaweza thibitisha madai yako?
Ilikua Lumumba hiyo ha ha ha hatari sanaWalisema Miye Mpole Sasa Dawa Kuleta Mkali
Jiwe Alikuwa Mpole Watu Hawakujua Mchezo Kumbe Ni Timing TuIlikua Lumumba hiyo ha ha ha hatari sana
Wewe una hamu ya kunyeshewa mvua ya matuc alafu useme kuwa wana JF ni watu wabaya!Acheni upuuzi wenu.... mwenye macho haambiwi tazama....huo unafiki wenu pelekeni huko huko.....
Ww unaweza mtukana nani??? jiangalie angalia records zangu za ban ...kama una ham ya kupapaswa..ukuje...Wewe una hamu ya kunyeshewa mvua ya matuc alafu useme kuwa wana JF ni watu wabaya!
Kwasababu ni JK ni msanii mwenzao.Wasanii wanampenda kweli huyu baba,kwanini hawaendagi kwa mkapa?,au mwinyi?
Yaani ambariki kwa kutuachia jiwe madarakani au ? Kutuachia jiwe ni kosa linaltafuna mazuri yake yote yaliyokuwa yana mstahikiKikwete huwa hazeeki. Ila huyu baba, Mungu ambariki sana...