Elections 2010 Kikwete ni rais wa kwanza duniani kufanya mambo haya!

Ndibalema

JF-Expert Member
Apr 26, 2008
10,956
4,648
1.Rais wa kwanza duniani kudanganywa vibaya mno na wasaidizi wake
2.Rais wa kwanza kuwa na rekodi ya kuanguka anguka mbele ya kadamnasi
3.Rais wa kwanza duniani kufanya safari nyingi za nje ya nchi ndani ya mwaka mmoja tangu aingie madarakaini
4.Rais wa kwanza duniani kutamka hadharani kwamba hajui umaskini wa watu wake unatokana na nini.
5. Rais wa kwanza duniani kuchakachuliwa mafuta kwenye gari yake ikazima barabarani
6. Rais wa kwanza anaechukulia wingi wa magari kama kipimo cha maisha bora!

7. Rais wa kwanza duniani anaepata ulinzi wa nguvu za Giza.(mnajimu)
8. Rais wa kwanza aliyesema watoto wadogo wa shule kupata mimba ni kiherehere chao....
9. Rais wa kwanza anayeogopa mafisadi.
10.Rais wa kwanza duniani aliyetumia mabango yote ya biashara nchini kwake kujinadi wakati wa kampeni mpaka picha za kampeni


Swali langu: Kuna ukweli juu ya haya yote au wanampakazia tu mkuu wetu?

Kuna mengine specific ambayo hayajafanywa na rais mwingine yeyote duniani zaidi ya JK?
 
9. Rais wa kwanza anayeogopa mafisadi.

Hili lirekebishwe. Ni kipenzi cha mafisadiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
* Rais wa kwanza duniani kucheza kiduku!
*Rais wa kwanza kutolewa kwenye zeutamu site!
 
umesahau moja,raisi wa kwanza duniani kuwatukana wafanyakazi wa serikali ambao ndio nguzo kuu ya pato la taifa kupitia kodi wanazokatwa kwenye mshahara
 
Wandugu nimetumiwa maswali yafuatayo na jamaa yangu mmoja ili nimsaidie lakini binafsi yamenishinda, nadhani atakuwa kapewa asignment katika hii kozi fupi ya maandalizi ya uchaguzi. Plz mchango wenu utanisaidia kumjibu.

1. Ni rais gani duniani anayeamini kwamba kukaa madarakani miaka mitano ni kujifunza ili baadaye ukipewa fursa ya miaka mingine tena aweze kuwa mfanisi?

2.Rais wa kwanza Duniani kuwa na rekodi ya kuanguka anguka mbele ya kadamnasi ni.....

3.Ni Rais gani duniani anaye amini kwamba suala la urais ni la kifamilia zaidi na siyo la kitaifa?

4.Rais wa kwanza duniani kutamka hadharani kwamba hajui umaskini wa watu
wake unatokana na nini, ni................


5. Rais wa kwanza anaechukulia wingi wa magari kama kipimo cha maisha
bora! ni.............

6. Rais wa kwanza duniani anaepata ulinzi wa nguvu za Giza.(mnajimu) ni..........

7. Rais wa kwanza Duniani aliyesema watoto wadogo wa shule kupata mimba ni
kiherehere chao ni...........

8. Rais wa kwanza anayeogopa kuwaburuza mahakamani mafisadi ila ana uwezo mkubwa wa kumuwekea fitina mwizi wa mke wa mtu ni.........

9.Rais wa kwanza duniani aliyetumia 60% ya mabango yote ya biashara nchini
kwake kujinadi wakati wa kampeni ni..........

10. Ni Rais gani Duniani ambaye kwa mtazamo wake anahisi kafanya kazi kubwa nchini kwake kiasi cha kujisikia fahari kubwa kumuandaa mwanaye ili naye siku moja afuate nyayo zake...............

11. Rais wa kwanza Africa kudanganywa vibaya mno na wasaidizi wake ni........

12. Rais wa kwanza kusini mwa jangwa la sahara kufanya safari nyingi za nje ya nchi ndani ya mwaka mmoja tangu aingie madarakaini ni..............

13. Ni rais gani duniani ambaye akiwa madarakani ndani ya miaka mitatu kaoa mabint wawili wenye umri sawa na wanawe, lakini hapendi ifahamike japo dini yake ina mruhusu?

14. Ni rahisi gani Duniani ambaye anaamini katika utawala wa sheria na amesaini sheria ya uchaguzi wa Taifa lake, kwa bahati mbaya amekuwa wa kwanza kuzikiuka?
 
1.Rais wa kwanza duniani kudanganywa vibaya mno na wasaidizi wake
2.Rais wa kwanza kuwa na rekodi ya kuanguka anguka mbele ya kadamnasi
3.Rais wa kwanza duniani kufanya safari nyingi za nje ya nchi ndani ya mwaka mmoja tangu aingie madarakaini
4.Rais wa kwanza duniani kutamka hadharani kwamba hajui umaskini wa watu wake unatokana na nini.
5. Rais wa kwanza duniani kuchakachuliwa mafuta kwenye gari yake ikazima barabarani
6. Rais wa kwanza anaechukulia wingi wa magari kama kipimo cha maisha bora!

7. Rais wa kwanza duniani anaepata ulinzi wa nguvu za Giza.(mnajimu)
8. Rais wa kwanza aliyesema watoto wadogo wa shule kupata mimba ni kiherehere chao....
9. Rais wa kwanza anayeogopa mafisadi.
10.Rais wa kwanza duniani aliyetumia mabango yote ya biashara nchini kwake kujinadi wakati wa kampeni mpaka picha za kampeni


Swali langu: Kuna ukweli juu ya haya yote au wanampakazia tu mkuu wetu?
Kuna mengine specific ambayo hayajafanywa na rais mwingine yeyote duniani zaidi ya JK?

Na unafikiri watanzania ni wajinga kiasi hicho kuamini upuuzi huo?
 
wandugu nimetumiwa maswali yafuatayo na jamaa yangu mmoja ili nimsaidie lakini binafsi yamenishinda, nadhani atakuwa kapewa asignment katika hii kozi fupi ya maandalizi ya uchaguzi. Plz mchango wenu utanisaidia kumjibu.

1. Ni rais gani duniani anayeamini kwamba kukaa madarakani miaka mitano ni kujifunza ili baadaye ukipewa fursa ya miaka mingine tena aweze kuwa mfanisi?

2.rais wa kwanza duniani kuwa na rekodi ya kuanguka anguka mbele ya kadamnasi ni.....

3.ni rais gani duniani anaye amini kwamba suala la urais ni la kifamilia zaidi na siyo la kitaifa?

4.rais wa kwanza duniani kutamka hadharani kwamba hajui umaskini wa watu
wake unatokana na nini, ni................


5. Rais wa kwanza anaechukulia wingi wa magari kama kipimo cha maisha
bora! Ni.............

6. Rais wa kwanza duniani anaepata ulinzi wa nguvu za giza.(mnajimu) ni..........

7. Rais wa kwanza duniani aliyesema watoto wadogo wa shule kupata mimba ni
kiherehere chao ni...........

8. Rais wa kwanza anayeogopa kuwaburuza mahakamani mafisadi ila ana uwezo mkubwa wa kumuwekea fitina mwizi wa mke wa mtu ni.........

9.rais wa kwanza duniani aliyetumia 60% ya mabango yote ya biashara nchini
kwake kujinadi wakati wa kampeni ni..........

10. Ni rais gani duniani ambaye kwa mtazamo wake anahisi kafanya kazi kubwa nchini kwake kiasi cha kujisikia fahari kubwa kumuandaa mwanaye ili naye siku moja afuate nyayo zake...............

11. Rais wa kwanza africa kudanganywa vibaya mno na wasaidizi wake ni........

12. Rais wa kwanza kusini mwa jangwa la sahara kufanya safari nyingi za nje ya nchi ndani ya mwaka mmoja tangu aingie madarakaini ni..............

13. Ni rais gani duniani ambaye akiwa madarakani ndani ya miaka mitatu kaoa mabint wawili wenye umri sawa na wanawe, lakini hapendi ifahamike japo dini yake ina mruhusu?

14. Ni rahisi gani duniani ambaye anaamini katika utawala wa sheria na amesaini sheria ya uchaguzi wa taifa lake, kwa bahati mbaya amekuwa wa kwanza kuzikiuka?

majibu kama ifuatavyo . J.............................,jibu moja linawakilisha yote
 
Wandugu nimetumiwa maswali yafuatayo na jamaa yangu mmoja ili nimsaidie lakini binafsi yamenishinda, nadhani atakuwa kapewa asignment katika hii kozi fupi ya maandalizi ya uchaguzi. Plz mchango wenu utanisaidia kumjibu.

1. Ni rais gani duniani anayeamini kwamba kukaa madarakani miaka mitano ni kujifunza ili baadaye ukipewa fursa ya miaka mingine tena aweze kuwa mfanisi?

2.Rais wa kwanza Duniani kuwa na rekodi ya kuanguka anguka mbele ya kadamnasi ni.....

3.Ni Rais gani duniani anaye amini kwamba suala la urais ni la kifamilia zaidi na siyo la kitaifa?

4.Rais wa kwanza duniani kutamka hadharani kwamba hajui umaskini wa watu
wake unatokana na nini, ni................


5. Rais wa kwanza anaechukulia wingi wa magari kama kipimo cha maisha
bora! ni.............

6. Rais wa kwanza duniani anaepata ulinzi wa nguvu za Giza.(mnajimu) ni..........

7. Rais wa kwanza Duniani aliyesema watoto wadogo wa shule kupata mimba ni
kiherehere chao ni...........

8. Rais wa kwanza anayeogopa kuwaburuza mahakamani mafisadi ila ana uwezo mkubwa wa kumuwekea fitina mwizi wa mke wa mtu ni.........

9.Rais wa kwanza duniani aliyetumia 60% ya mabango yote ya biashara nchini
kwake kujinadi wakati wa kampeni ni..........

10. Ni Rais gani Duniani ambaye kwa mtazamo wake anahisi kafanya kazi kubwa nchini kwake kiasi cha kujisikia fahari kubwa kumuandaa mwanaye ili naye siku moja afuate nyayo zake...............

11. Rais wa kwanza Africa kudanganywa vibaya mno na wasaidizi wake ni........

12. Rais wa kwanza kusini mwa jangwa la sahara kufanya safari nyingi za nje ya nchi ndani ya mwaka mmoja tangu aingie madarakaini ni..............

13. Ni rais gani duniani ambaye akiwa madarakani ndani ya miaka mitatu kaoa mabint wawili wenye umri sawa na wanawe, lakini hapendi ifahamike japo dini yake ina mruhusu?

14. Ni rahisi gani Duniani ambaye anaamini katika utawala wa sheria na amesaini sheria ya uchaguzi wa Taifa lake, kwa bahati mbaya amekuwa wa kwanza kuzikiuka?

Energy used to prepare these writtings could be used to produce enough funds to send at least one kid to school. You are no different than FISADI's wasting lots of resources for no good reason.
 
Wandugu nimetumiwa maswali yafuatayo na jamaa yangu mmoja ili nimsaidie lakini binafsi yamenishinda, nadhani atakuwa kapewa asignment katika hii kozi fupi ya maandalizi ya uchaguzi. Plz mchango wenu utanisaidia kumjibu.

1. Ni rais gani duniani anayeamini kwamba kukaa madarakani miaka mitano ni kujifunza ili baadaye ukipewa fursa ya miaka mingine tena aweze kuwa mfanisi?

2.Rais wa kwanza Duniani kuwa na rekodi ya kuanguka anguka mbele ya kadamnasi ni.....

3.Ni Rais gani duniani anaye amini kwamba suala la urais ni la kifamilia zaidi na siyo la kitaifa?

4.Rais wa kwanza duniani kutamka hadharani kwamba hajui umaskini wa watu
wake unatokana na nini, ni................


5. Rais wa kwanza anaechukulia wingi wa magari kama kipimo cha maisha
bora! ni.............

6. Rais wa kwanza duniani anaepata ulinzi wa nguvu za Giza.(mnajimu) ni..........

7. Rais wa kwanza Duniani aliyesema watoto wadogo wa shule kupata mimba ni
kiherehere chao ni...........

8. Rais wa kwanza anayeogopa kuwaburuza mahakamani mafisadi ila ana uwezo mkubwa wa kumuwekea fitina mwizi wa mke wa mtu ni.........

9.Rais wa kwanza duniani aliyetumia 60% ya mabango yote ya biashara nchini
kwake kujinadi wakati wa kampeni ni..........

10. Ni Rais gani Duniani ambaye kwa mtazamo wake anahisi kafanya kazi kubwa nchini kwake kiasi cha kujisikia fahari kubwa kumuandaa mwanaye ili naye siku moja afuate nyayo zake...............

11. Rais wa kwanza Africa kudanganywa vibaya mno na wasaidizi wake ni........

12. Rais wa kwanza kusini mwa jangwa la sahara kufanya safari nyingi za nje ya nchi ndani ya mwaka mmoja tangu aingie madarakaini ni..............

13. Ni rais gani duniani ambaye akiwa madarakani ndani ya miaka mitatu kaoa mabint wawili wenye umri sawa na wanawe, lakini hapendi ifahamike japo dini yake ina mruhusu?

14. Ni rahisi gani Duniani ambaye anaamini katika utawala wa sheria na amesaini sheria ya uchaguzi wa Taifa lake, kwa bahati mbaya amekuwa wa kwanza kuzikiuka?



1. Ni rais gani duniani anayeamini kwamba kukaa madarakani miaka mitano ni kujifunza ili baadaye ukipewa fursa ya miaka mingine tena aweze kuwa mfanisi? KIKWETE

2.Rais wa kwanza Duniani kuwa na rekodi ya kuanguka anguka mbele ya kadamnasi ni..... KIWETE

3.Ni Rais gani duniani anaye amini kwamba suala la urais ni la kifamilia zaidi na siyo la kitaifa? KIKWETE NA KIM JONG IL

4.Rais wa kwanza duniani kutamka hadharani kwamba hajui umaskini wa watu
wake unatokana na nini, ni................KIKWETE PEKEE


5. Rais wa kwanza anaechukulia wingi wa magari kama kipimo cha maisha
bora! ni.............KIKWETE

6. Rais wa kwanza duniani anaepata ulinzi wa nguvu za Giza.(mnajimu) ni.......... KIKWETE

7. Rais wa kwanza Duniani aliyesema watoto wadogo wa shule kupata mimba ni
kiherehere chao ni...........KIKWETE

8. Rais wa kwanza anayeogopa kuwaburuza mahakamani mafisadi ila ana uwezo mkubwa wa kumuwekea fitina mwizi wa mke wa mtu (rekebisha usemi wako. Shemeji alimkimbia jamaa baada ya kuona yu functionless) ni.........KIKWETE

9.Rais wa kwanza duniani aliyetumia 60% ya mabango yote ya biashara nchini
kwake kujinadi wakati wa kampeni ni..........KIKWETE

10. Ni Rais gani Duniani ambaye kwa mtazamo wake anahisi kafanya kazi kubwa nchini kwake kiasi cha kujisikia fahari kubwa kumuandaa mwanaye ili naye siku moja afuate nyayo zake...............KIKWETE

11. Rais wa kwanza Africa kudanganywa vibaya mno na wasaidizi wake ni........
KIKWETE

12. Rais wa kwanza kusini mwa jangwa la sahara kufanya safari nyingi za nje ya nchi ndani ya mwaka mmoja tangu aingie madarakaini ni..............

>>>KIKWETE (ALIKUWA AKIENDA KUCHEZA NGOMA WAKATI WA MAPOKEZI UWANJA WA NDEGE)

13. Ni rais gani duniani ambaye akiwa madarakani ndani ya miaka mitatu kaoa mabint wawili wenye umri sawa na wanawe, lakini hapendi ifahamike japo dini yake ina mruhusu? >>>ha! ha! ha! Jibu lake niiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii........................

14. Ni raisi gani Duniani ambaye anaamini katika utawala wa sheria na amesaini sheria ya uchaguzi wa Taifa lake, kwa bahati mbaya amekuwa wa kwanza kuzikiuka?
>>>KIKWETE (Bingwa wa kuluzi memore. alishawahi kushikishwa mfano wa hundi yenye thamani tofauti kati ya tarakimu na maneno na alikuwa akichekelea kama kawaida yake)
 
Safari hii mmeamua kula naye sahani moja huyu ndugu yangu kipenzi cha akina dada, tehe tehe.... :becky:
 
Energy used to prepare these writtings could be used to produce enough funds to send at least one kid to school. You are no different than FISADI's wasting lots of resources for no good reason.
kwa hiyo na wewe umepoteza kiasi gani kwa kusoma hayo pia wewe ni Fisadi tena mkubwa saana!
 
1.Rais wa kwanza duniani kudanganywa vibaya mno na wasaidizi wake
2.Rais wa kwanza kuwa na rekodi ya kuanguka anguka mbele ya kadamnasi
3.Rais wa kwanza duniani kufanya safari nyingi za nje ya nchi ndani ya mwaka mmoja tangu aingie madarakaini
4.Rais wa kwanza duniani kutamka hadharani kwamba hajui umaskini wa watu wake unatokana na nini.
5. Rais wa kwanza duniani kuchakachuliwa mafuta kwenye gari yake ikazima barabarani
6. Rais wa kwanza anaechukulia wingi wa magari kama kipimo cha maisha bora!

7. Rais wa kwanza duniani anaepata ulinzi wa nguvu za Giza.(mnajimu)
8. Rais wa kwanza aliyesema watoto wadogo wa shule kupata mimba ni kiherehere chao....
9. Rais wa kwanza anayeogopa mafisadi.
10.Rais wa kwanza duniani aliyetumia mabango yote ya biashara nchini kwake kujinadi wakati wa kampeni mpaka picha za kampeni


Swali langu: Kuna ukweli juu ya haya yote au wanampakazia tu mkuu wetu?

Kuna mengine specific ambayo hayajafanywa na rais mwingine yeyote duniani zaidi ya JK?
kweli ukistaajabu ya musa, utayaona ya firauni
 
Energy used to prepare these writtings could be used to produce enough funds to send at least one kid to school. You are no different than FISADI's wasting lots of resources for no good reason.

JIBu SWALI WOTE TUNAJUA KIZUNGU; KAMA HUJUI KAMA YEYE WAULIZE WANAOJUA KAMA ALIVYOFANYA
 
15. Ni rais wa kwanza duniani kutamka hadharani kwamba si vyema kuwaandama marais waliomtangulia kuhusu ufisadi waliofanya wakati wakiwa madarakani kwani kwa kufanya hivyo kunaweza kuwafanya baadhi yao wasiwe wanaachia madaraka kwa urahisi mihula yao inapomalizika!

(Ikulu Press Conference June 7, 2006).
 
Back
Top Bottom