Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Kiuhalisia Jakaya Kikwete sikumpigia kura, na hata kama atagombea tena kesho kwa kupambana na Dr. Slaa siwezi kumpa kura yangu. Kwa maoni yangu si mwanadamu anayefaa kuwa Rais Imara kwa kipindi hiki tulicho nacho.
Lakini Kikwete anayo sifa nyingine ambayo wengi wetu hatutaki kuiona. Tofauti yake na mtangulizi wake B. Mkapa katika kutumia mitulinga ya dola kulinda chama chake ni kubwa sana.
Wakati Mkapa alitumia Mitulinga ya dola komba kura za Kagasheki mwaka 2005 dhidi ya Lwakatare, Kikwete ametumia mbinu za medani kuzipata kura hizo. Hali ya joto la kisiasa lilivyokuwa mwaka huu sijui kama angekuwa Mkapa ndiye Rais ingekuwaje!?
Kwa kiasi fulani Kikwete ni mwanademokrasia zaidi kuliko mtangulizi wake.
Lakini Kikwete anayo sifa nyingine ambayo wengi wetu hatutaki kuiona. Tofauti yake na mtangulizi wake B. Mkapa katika kutumia mitulinga ya dola kulinda chama chake ni kubwa sana.
Wakati Mkapa alitumia Mitulinga ya dola komba kura za Kagasheki mwaka 2005 dhidi ya Lwakatare, Kikwete ametumia mbinu za medani kuzipata kura hizo. Hali ya joto la kisiasa lilivyokuwa mwaka huu sijui kama angekuwa Mkapa ndiye Rais ingekuwaje!?
Kwa kiasi fulani Kikwete ni mwanademokrasia zaidi kuliko mtangulizi wake.