Kikwete ni mmoja ya Marais ambao miaka Ijayo watoto wetu watatushangaa sana kuwa ilikuaje....

Mimi namlaumu kikwete kwa kumleta Jiwe

Sio Kweli JIWE alipata URAIS by default; hakuwa chaguo la Kikwete!! Kikwete aliweka kete zake kwa Membe, Asha Rose Mtengeti na January. Lowassa alimzidi Kete kwa wafuasi wake kumuunga mkono Jiwe!!
 
Yaani akatumia pesa za wananchi maskini kukusanya maoni ya katiba. Yakapatikana.

Akatumia mabilioni ya pesa za Maskini kuliitisha Bunge la Katiba....likakaa...wakalipana mapesa mengi.

Kisha akavuruga mchakato. Akakaa pembeni akicheka mchezo aliofanya....watanzania ni wasahaulifu sana.

Leo wameshasahau kabisa ufisadi huo mkubwa wa Kikwete. Wamesahau kabisa.

Huwa nikikumbuka naumia sana akilini. Kwa nini awatendee hivi watanzania hawa maskini.

Leo kuna watu wengine tena wanaenda kulipwa kwa ajili ya Tume ya Uchaguzi.... Wanalipa pesa hizi hizi za watanzania maskini.
 
Tatizo halikuwa kwa kikwete,tatizo lilikuwa kwa wale waliokuwa wanajiita wazee wa ccm,ndo walimshitua kwamba atakiua chama
 
Pitia michango yangu ya nyuma utaelewa ninacho kisema Magu alikiwa best kwangu mimi hapana mfano
Ila ndo ivo tena wa tz tunasahau mapema enzi za JK ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwajibikaji watumishibwa uma, wanafunzi kukosa madarasa na kusoma wameka chini, wanyamapori kubebwa kwenye ma-box kwenda ulaya na asia n.k Magu vyote alizibiti kwa muda machache sana
Umesahau wafanyakazi hewa elfu 16....
 
Umesahau wafanyakazi hewa elfu 16....
Tungeamini kulikuwa na wafanyakazi hewa endapo kungekuwa na replacement za hao hewa. Vinginevyo ni misifa ya Jiwe. Kwanini haku replace kwa ajili ya efficiency ya kazi na kutoa ajira kwa wananchi, Kama walikuwepo hawazidi 100. Sana sana alitumia nafasi hizo kuingiza ndugu zake. Hapo tusichanganye hewa na vyeti feki.
 
Haiwezekanai Kikwete asiwe na Nyumba yake mwenyewe pale Dodoma. Mkewe anakaa kwenye nyumba yao akiwa bungeni!
Nimewaza mambo mengiiiii nikaishia kujihurumia tu! Hii familia kwa namna mambo yanavyoenda( siasa za tz) hata wajukuu wa riz1 watakuwa na uwezo wa mali kunipita mimi.
 
Nimewaza mambo mengiiiii nikaishia kujihurumia tu! Hii familia kwa namna mambo yanavyoenda( siasa za tz) hata wajukuu wa riz1 watakuwa na uwezo wa mali kunipita mimi

Uwe na Amani, tu hawawezi kuwa na Furaha na Amani kwa hela ya wizi hata ikiwa inawaliwa na wajukuu zao!!
 
JK yawezekana alikuwa na nia nzuri ya kutupa katiba mpya,lakini alituacha kwenye mataa.

Sababu zilizomsukuma atugeuzie kibao hatujui,japo wengine wanasema ni vigogo ndani ya chama chake wasiotaka mabadiliko.
Na wengine walidai alitaka Membe awe ndio mrithi wake,kwa kutumia katiba mpya ingekuwa vigumu.
 
Back
Top Bottom