Mimi namlaumu kikwete kwa kumleta Jiwe
Sio Kweli JIWE alipata URAIS by default; hakuwa chaguo la Kikwete!! Kikwete aliweka kete zake kwa Membe, Asha Rose Mtengeti na January. Lowassa alimzidi Kete kwa wafuasi wake kumuunga mkono Jiwe!!
Mimi namlaumu kikwete kwa kumleta Jiwe
Yaani akatumia pesa za wananchi maskini kukusanya maoni ya katiba. Yakapatikana.
Akatumia mabilioni ya pesa za Maskini kuliitisha Bunge la Katiba....likakaa...wakalipana mapesa mengi.
Kisha akavuruga mchakato. Akakaa pembeni akicheka mchezo aliofanya....watanzania ni wasahaulifu sana.
Leo wameshasahau kabisa ufisadi huo mkubwa wa Kikwete. Wamesahau kabisa.
Huwa nikikumbuka naumia sana akilini. Kwa nini awatendee hivi watanzania hawa maskini.
Leo kuna watu wengine tena wanaenda kulipwa kwa ajili ya Tume ya Uchaguzi.... Wanalipa pesa hizi hizi za watanzania maskini.
Na aliyemleta Kikwete?Mimi namlaumu kikwete kwa kumleta Jiwe
Magu yule yule fisi! Akafanane na JK? Kweli kila mtu ana zakeJK alikuwa rais mbovu hajapata kutokea anaingia kwa Magu ×1000
Umesahau wafanyakazi hewa elfu 16....Pitia michango yangu ya nyuma utaelewa ninacho kisema Magu alikiwa best kwangu mimi hapana mfano
Ila ndo ivo tena wa tz tunasahau mapema enzi za JK ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwajibikaji watumishibwa uma, wanafunzi kukosa madarasa na kusoma wameka chini, wanyamapori kubebwa kwenye ma-box kwenda ulaya na asia n.k Magu vyote alizibiti kwa muda machache sana
Ukute wewe ni mkwepa Kodi mahiri,unajifanya una uchungu na hela za nchi
Mungu atusaidie tuwe nakumbukumbu vijana hawezi elewaUmesahau wafanyakazi hewa elfu 16....
Fisi mwenye tamaa nyingi alikuwa JK alikiwa mzee wa bata juu ya bataMagu yule yule fisi! Akafanane na JK? Kweli kila mtu ana zake
Tungeamini kulikuwa na wafanyakazi hewa endapo kungekuwa na replacement za hao hewa. Vinginevyo ni misifa ya Jiwe. Kwanini haku replace kwa ajili ya efficiency ya kazi na kutoa ajira kwa wananchi, Kama walikuwepo hawazidi 100. Sana sana alitumia nafasi hizo kuingiza ndugu zake. Hapo tusichanganye hewa na vyeti feki.Umesahau wafanyakazi hewa elfu 16....
Fisi ni muoga alijaza kila aina ya ulinzi, huku alitamani wanawake weupe hadharani.Fisi mwenye tamaa nyingi alikuwa JK alikiwa mzee wa bata juu ya bata
Soma nukuu, nini kilianza kati ya maamuzi ya kuruhusu Katiba au hiyo Home shopping "tabula rasa"Mbona hueleweki? Alikuja kumbuka baadae nini wewe Mbwiga?
Nimewaza mambo mengiiiii nikaishia kujihurumia tu! Hii familia kwa namna mambo yanavyoenda( siasa za tz) hata wajukuu wa riz1 watakuwa na uwezo wa mali kunipita mimi.Haiwezekanai Kikwete asiwe na Nyumba yake mwenyewe pale Dodoma. Mkewe anakaa kwenye nyumba yao akiwa bungeni!
Nimewaza mambo mengiiiii nikaishia kujihurumia tu! Hii familia kwa namna mambo yanavyoenda( siasa za tz) hata wajukuu wa riz1 watakuwa na uwezo wa mali kunipita mimi