Kikwete: Ni bora Slaa awe Rais kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge

naikumbuka sana
ilikuwa kauli ya JK singida.......
sjui kwa nini JK alimhofia LISSU mtu ambaye uwezo wake unasaidia kutetea maslahi ya watz
 
Nampongeza kwa moyo wa dhati kabisa mwanachama mwenzangu na mbunge mhe Tundu Lissu kwa mchango wake Bungeni kiukweli ninapata hamasa ya kumshawishi mwanangu akikuwa aje asomee sheria Hongera sana Mhe Lissu
 
Kumbe hii mada bado ipo? Jana tarehe 01/4/2015 Tundu na Mnyika walikua ni public servant and the rest were CCM Servant
 
Kwa wale waliobahatika kusoma gazeti la ----------- la leo kwenye kichwa cha habari nanukuu" Askofu huyu katumwa na nani?" mwaandishi kaandika kuwa kikwete alinukuliwa kwenye mikutano yake ya kampeni huko Singida kuwa

"Ni bora Dr Slaa kuwa raisi kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge" hii hofu ya Muungwa kwa Tundu Lissu inatokana na nini?

Slaa akiwa rais , Tundu L. awe AG. hapo vipi? JK UNASEMAJE tupitishe hiyo
 
JK was right aloo

Kumbe anaona nae siyo eh? Kuna mwezi na mwaka sikumbuki yaani hotuba ya mwisho wa mwezi ya JK ilikuwa full kumsema tundu lissu
 
Mzee Kikwete anaona mbali sana.Wengi alipotoa kauli hii bado hamkujua lissu vizuri.Sasa ndio kauli ya JK inaonyesha alichomaanisha.

JK aliwahi kusema".Kuliko Tundu Lissu aachwe aingie bungeni.Afadhali Dr slaa awe Rais.
Haraka haraka watu hawakuelewa JK alimanisha nini.Ila leo hii wameanza kuelewa.

Tundu lissu kawa mwiba mkuu kwa serekali.Tundu lissu kaifanya TLS imekuwa maarufu.Mzee JK anayo maono.CCM muwe mnamsikiliza msimpuze maoni ya mzee JK yana tochi kali sana.
 
Mzee kikwete anaona mbali sana.Wengi alipotoa kauli hii bado hamkujua lissu vizuri.Sasa ndio kauli ya JK inaonyesha alichomaanisha.
JK aliwahi kusema".Kuliko Tundu Lissu aachwe aingie bungeni.Afadhali awe rais.
Haraka haraka watu hawakuelewa JK alimanisha nini.Ila leo hii wameanza kuelewa.
Tundu lissu kawa mwiba mkuu kwa serekali.Tundu lissu kaifanya TLS imekuwa maarufu.Mzee JK anayo maono.Ccm muwe mnamsikiliza msimpuze maoni ya mzee JK yana tochi kali sana.
Huoni pogba kila akilala anamuota lissu hku waziri wke anakuja na mikwara ya kyela ambayo kwa mjini haina chochote
 
BAVICHA kwa kujifariji hawajambo!

Eti Jk alisema Bora Slaa awe Rais kuliko Lissu kuwa Mbunge

Ukiwauliza waweke ushahidi watakwambia ushahidi anao Gwajima na Mange Kimambi
Hawa vijana wanafurahisha na kushangaza sana!

Kwa sasa wamesahau kama wana Edward Lowassa waliyekuwa wanamzungushia mikono wakisema, Lowassa Mabadiliko, Mabadiliko Lowassa.

Kumbuka pia siyo muda mrefu walikuwa wanaimba na kutuambia Dkt. Slaa ni Rais wa mioyo yao.
 
Hawa vijana wanafurahisha na kushangaza sana!

Kwa sasa wamesahau kama wana Lowassa waliyekuwa wanamzungushia mikono wakisema, Lowassa Mabadiliko, Mabadiliko Lowassa.

Kumbuka pia siyo muda mrefu walikuwa wanaimba na kutuambia Dkt. Slaa ni Rais wa mioyo yao.
Kwa Hiyo Lowassa nae anagombea TLS sio ?
 
Hawa vijana wanafurahisha na kushangaza sana!

Kwa sasa wamesahau kama wana Edward Lowassa waliyekuwa wanamzungushia mikono wakisema, Lowassa Mabadiliko, Mabadiliko Lowassa.

Kumbuka pia siyo muda mrefu walikuwa wanaimba na kutuambia Dkt. Slaa ni Rais wa mioyo yao.
Kumbe nyie ni wababu
 
Hawa vijana wanafurahisha na kushangaza sana!

Kwa sasa wamesahau kama wana Edward Lowassa waliyekuwa wanamzungushia mikono wakisema, Lowassa Mabadiliko, Mabadiliko Lowassa.

Kumbuka pia siyo muda mrefu walikuwa wanaimba na kutuambia Dkt. Slaa ni Rais wa mioyo yao.

Maneno mengi Break mkisikia Lissubasi wote mbio chooni
 
Hawa vijana wanafurahisha na kushangaza sana!

Kwa sasa wamesahau kama wana Edward Lowassa waliyekuwa wanamzungushia mikono wakisema, Lowassa Mabadiliko, Mabadiliko Lowassa.

Kumbuka pia siyo muda mrefu walikuwa wanaimba na kutuambia Dkt. Slaa ni Rais wa mioyo yao.
Lowasa anaingiaje hapa au ndo zimwi linalotesa ccm
 
Back
Top Bottom