Kikwete: Ni bora Slaa awe Rais kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge

Sawa Mkuu all the best, but it's crystal clear that kwa mazingira ya sasa ni vigumu sana kwa upinzani kushinda uchaguzi.

Huwezi kulinganisha siasa za Malawi na Tanzania. Ni tume ipi ya uchaguzi au mahakama iliyo na udhubutu wa kubatilisha matokeo ya urais wa CCM kwa mfano?
Uliwahi kujiuliz kwanini huyu Lissu anakutana na vizingiti km hivi mpk kushambuliwa na wasiojulikana?


Je Lissu sio mtu wa kusimamia kauli zake kupigania haki yake?

Tukipata majibu basi tutaona kua uchaguzi wa mwaka huu utakua mgumu kweli km Lissu anavyosema. Na tumuombe sn Mungu tuvuke salama....
 
Kama majirani zetu Kenya waliamua kukataa na kutoa majibu ambayo yaliwapeleka yalipowapeleka lakini matokeo yake wakajikuta majibu yale yamewaletea ustaarabu na kuheshimiana na kuvumiliana.

Agreed. Kenya waliamua b'se they wanted a change. Changes come with risks. You have to take risk kama unataka mabadiliko ya kweli. Kenya went through a tough time, but in the end walipata walichokitaka. Sasa sie Watanzania tunataka change bila ku-take risks.

Usije ukashangaa Mungu akiwapatia watanzania fursa hiyo adimu

Mungu atawapatia hiyo fursa only if they work off their arses. Wakikaa kimya tuu huku wakimwomba Mungu awaletee mabadiliko, that will never happen. Hukunaga ushindi wa mezani.

The biggest problem Tanzanians do not want to make positive changes in their lives is fear. Fear of the unknown, fear of persecution, fear of alienation and so on. Ndo maana wanamtegemea Mungu. Tena yaliyomtokea Lissu na wengine yameongeza woga kwa wengi.

Halafu kuna kundi la watu ambao wako so comfortable na maisha yao. They don't want to take the risk even if change could be positive. Pia nilishawahi kuandika hapa kuwa sie wabongo tumekuwa programmed. Nyerere alifanya mengi mzuri lakini pia alitufanya tuwategemee sana wanasiasa. Tumewafanya wanasiasa wajione kama miungu vile.

Halafu tuna watu walioelimishwa au kulazimishwa kuamini kuwa their negative belief systems are correct and do not need to be changed. These people are known as delusional or brainwashed. They don't entertain a second opinion.

Then, we have people with ego who believe that they are beyond the need for any change whatsoever.

It's sad that kila baada ya miaka mitano tuna-recyle hoja za upinzani kushinda but nothing happens b'se wapiga kura wenyewe hawajabadilika. They still have the same mentality and level of thinking. But they are expected to bring political change. How?

Mfano, tafuta threads za nyuma kama ile ya mwaka 2010/11 aliyoanzisha Masanilo inayosema: Mapinduzi yaja Tanzania. Wengi walisema kuwa upinzani ungeshinda. They didn't. Thread iliendelea mpaka 2015 still wakasema upinzani watashinda. They didn't.

Leo 2020 bado wanadhani upinzani utashinda. It's like doing the same thing and expecting different results. Lissu atachangamsha uchaguzi kama alivyofanya Dr Slaa na Lowassa but mazingira ya kisiasa nchini bado ni yale yale or probably worse for the opposition to win a presidential election.
 
Uliwahi kujiuliz kwanini huyu Lissu anakutana na vizingiti km hivi mpk kushambuliwa na wasiojulikana? Je Lissu sio mtu wa kusimamia kauli zake kupigania haki yake? Tukipata majibu basi tutaona kua uchaguzi wa mwaka huu utakua mgumu kweli km Lissu anavyosema.

I am not sure kama nimekuelewa au umejibu point yangu. Sina lolote baya dhidi ya Lissu professionally au kisiasa. I think he is a strong person given what he went through. Maana wapo waliopigwa mkwara wa maneno tuu wakahamia CCM.

My point is that pamoja na mazuri yote ya Lissu and what he brings to the table, mazingira ya kisiasa kwa sasa hayawezeshi upinzani kushinda uchaguzi wa urais. Hata kama Magufuli angehamia upinzani leo na kugombea asingeweza kumshinda yoyote atakayesimamishwa na CCM. Huu ni uhalisia ila mchungu.

Na tumuombe sn Mungu tuvuke salama....

Utavuka salama kwa kuchukua hatua za kujilinda mwenyewe. Tuache kumbebesha Mungu matatizo yetu.
 
Agreed. Kenya waliamua b'se they wanted a change. Changes come with risks. You have to take risk kama unataka mabadiliko ya kweli. Kenya went through a tough time, but in the end walipata walichokitaka. Sasa sie Watanzania tunataka change bila ku-take risks.



Mungu atawapatia hiyo fursa only if they work off their arses. Wakikaa kimya tuu huku wakimwomba Mungu awaletee mabadiliko, that will never happen. Hukunaga ushindi wa mezani.

The biggest problem Tanzanians do not want to make positive changes in their lives is fear. Fear of the unknown, fear of persecution, fear of alienation and so on. Ndo maana wanamtegemea Mungu. Tena yaliyomtokea Lissu na wengine yameongeza woga kwa wengi.

Halafu kuna kundi la watu ambao wako so comfortable na maisha yao. They don't want to take the risk even if change could be positive. Pia nilishawahi kuandika hapa kuwa sie wabongo tumekuwa programmed. Nyerere alifanya mengi mzuri lakini pia alitufanya tuwategemee sana wanasiasa. Tumewafanya wanasiasa wajione kama miungu vile.

Halafu tuna watu walioelimishwa au kulazimishwa kuamini kuwa their negative belief systems are correct and do not need to be changed. These people are known as delusional or brainwashed. They don't entertain a second opinion.

Then, we have people with ego who believe that they are beyond the need for any change whatsoever.

It's sad that kila baada ya miaka mitano tuna-recyle hoja za upinzani kushinda but nothing happens b'se wapiga kura wenyewe hawajabadilika. They still have the same mentality and level of thinking. But they are expected to bring political change. How?

Mfano, tafuta threads za nyuma kama ile ya mwaka 2010/11 aliyoanzisha Masanilo inayosema: Mapinduzi yaja Tanzania. Wengi walisema kuwa upinzani ungeshinda. They didn't. Thread iliendelea mpaka 2015 still wakasema upinzani watashinda. They didn't.

Leo 2020 bado wanadhani upinzani utashinda. It's like doing the same thing and expecting different results. Lissu atachangamsha uchaguzi kama alivyofanya Dr Slaa na Lowassa but mazingira ya kisiasa nchini bado ni yale yale or probably worse for the opposition to win a presidential election.

Mkuu Wangu EMT kitambo sana
 
I am not sure kama nimekuelewa au umejibu point yangu. Sina lolote baya dhidi ya Lissu professionally au kisiasa. I think he is a strong person given what he went through. Maana wapo waliopigwa mkwara wa maneno tuu wakahamia CCM.

My point is that pamoja na mazuri yote ya Lissu and what he brings to the table, mazingira ya kisiasa kwa sasa hayawezeshi upinzani kushinda uchaguzi wa urais. Hata kama Magufuli angehamia upinzani leo na kugombea asingeweza kumshinda yoyote atakayesimamishwa na CCM. Huu ni uhalisia ila mchungu.



Utavuka salama kwa kuchukua hatua za kujilinda mwenyewe. Tuache kumbebesha Mungu matatizo yetu.
Uliwahi kujiuliza ni kwanini wapinzani wameamua kuingia ktk uchaguzi huku kukowa na tume ile ile ya uchaguzi? Na unapoongelea mazingira ya sasa Je kuna wakati mazingira ya siasa hasa ya uchaguzi yaliwahi kua fair kwa wapinzani?


Lissu anachechemea, na mwenyekiti wake anchechemea... Unafikiri hawa watu watakua wana subira na uvumilivu haki zao zikipokwa?
 
Lissu anaenda kusambalatisha ccm kwenye uchaguzi mwaka huu Lissu akishika dola ataongoza mika mitano tu kama Mandela atakua ametimiza malengo yake atamkabidhi kijiti mtu mwingine
Lissu amekuwa Mussa aliyewavusha wayahudi kuelekea nchi ya ahadi. Sio yule Mungu wa lugola
 
Atakuwa sio mtanzania, maana watz wengi hawana ujasiri kama alivyo Tundu Lisu.

Watz wengi waoga oga sana
Mshua wangu pia alikuwa mtu wa huko, hawa jamaa nadhani ndivyo walivyo. Mshua alikuwa naye design ya Lissu, alikosa mambo mengi sana sababu ya misimamo ila hakuwahi kupindisha mambo.

Huwa namshkuru coz he planted that spirit in me. Kazi nyingi nimeacha na kukosana na watu wengi sababu hiyo ila naishi kwa amani na uhuru wangu sijawahi kujuta.
 
Mshua wangu pia alikuwa mtu wa huko, hawa jamaa nadhani ndivyo walivyo. Mshua alikuwa naye design ya Lissu, alikosa mambo mengi sana sababu ya misimamo ila hakuwahi kupindisha mambo.

Huwa namshkuru coz he planted that spirit in me. Kazi nyingi nimeacha na kukosana na watu wengi sababu hiyo ila naishi kwa amani na uhuru wangu sijawahi kujuta.
Kuchagua Haki over unyanyasi ni jambo ambalo watz wachache mnooooo wanaliweza.

Ndani ya ccm ndio hakuna mpenda HAKI hata mmoja.
 
Mleta mada hata kwenye ugomvi wa Lissu na Jiwe mie nimeenda mbali zaidi kuuchukulia ni kama suala la Wafalme Sauli na Daudi Kama inavyoonekan kwenye Biblia!

Soma Hadithi ya Sauli na Daudi kwenye Biblia utakuwa umemaliza kila kitu kwenye tafakuri yako!!

Hakuna tofauti kati ya Sauli na Jiwe, na kati ya Mfalme Daudi na Tundu Lissu

1. Sauli aliteuliwa na Mungu kuwa Mfalme baada ya Watoto wa Eli na Baba yao kwenda kinyume na mapenzi ya Mungu na wana israel kudai sasa wanataka mfalme, rejea kipindi cha kampeni 2015 watanzania kudai diktekta, na Jiwe kuwa Raia namba 1

2. Sauli baada ya kupata ufalme akaanza kukengeuka. Rejea mambo aliyoanza kufanya Jiwe baada ya kuchukua uongozi

3. Mungu alivyoona Sauli nae anakengeuka akaamua kumnyanyua Daudi, Rejea kunyanyuka kwa nguvu kwa Tundu Lissu baada ya Jiwe kuanza udiktekta uchwara!

4. Sauli alipoona Daudi anataka kuwa mfalme akajaribu kumuua ila Mungu akamponya Daudi, Rejea jaribio la mauaji la Tundu Lissu na kuponywa kimiujiza kwenye risasi 16

5. Wana Israeli walianza kumpenda Daudi badala ya Sauli na Sauli alianza kuwatesa wana Israel, Rejea upendo wa watanzania ulivyozidi kuwa maradufu kwa Lissu na jinsi Jiwe anavyowatesa wakosoaji wake Mf. Erick Kabendera, Tito Magoti na Mdude Nyangali

6. Sauli kukimbilia kwa manabii wa uongo baada ya kuachwa na Mungu( Hadi mwisho kwenda kwa mganga wa kienyeji), Rejea jiwe anavyojiweka karibu na kuambatana na watu wanaojiita viongozi wa dini kumbe ni manabii wa uongo, Rejea pia Mganga wa Kienyeji I Sheikh Sharif Majini anavyomtabiria Jiwe na kujiweka karibu nae.

7. Mungu kumkataa Rasmi Sauli na kumfanya Daudi kuwa Mfalme!

Hili ndo jambo la mwisho linaloenda kutokea hapo October 2020. Sababu kuu aliyotumia Mungu ni kwa Sauli kutegemea nguvu zake pamoja na za waganga wa kienyeji, Kuna mtu anawategemea viongozi wa dini pamoja na waganga wa kienyeji kama Sheikh Sharif Majini ili wamfanye kuwa Raisi, Sasa Mungu hapendi hili na anaenda kujibu kwa hasira hapo October kwa kumthibitisha ikulu Tundu Antipas Lissu( Mfalme Daudi)

Tukutane October!!!
Unajuaje matakwa ya Mungu? Mfalme sauli na daudi wapo Leo? Au relevance yao ni hapa Tanzania na sio huko Israel
 
Kwambali Sana mkuu! Mkuu me Nina muogopa Sana mtu mwenye kumbukumbu kama TL
Huyu mtu kwenye kumbukumbu ni hatari, kwenye kesi iliyopinga ubunge wake alifanya submission masaa 4 (manne sijakosea) bila kusoma, hadi Jaji na Mawakili wa serikali na ccm walibaki kumshangaa jamaa.

Imagine kesi iliyokuwa na mashitaka 11, yenye mashahidi 21 upande wa walalamikaji na mashahidi 5 upande wa utetezi, anaeleza kila shahidi alichosema, cross examination, anarecall vidhibiti vyote, ananukuu vifungu vya sheria mbalimbali, anasite kesi zenye scenario kama hizo zilizowahi kuamuliwa bila kusoma popote.
 
Back
Top Bottom