Kikwete ndani ya KLHnews?

Sam GM

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
535
28
Kwa vile JK kaamua kutokuwa na press conference kwa miezi miwili sasa na hata press yenyewe anapokuwa akiongea nayo inaonekana wapo ku-m-praise na sio kumuuliza maswali ya mwelekeo wan chi na hali halisi ilivyo kisiasa.

Katika kutafuta majibu ya maswali mengi na kumpata rais wetu atupe majibu ya maswali mengi kama ya Richmond, Epa, BOT na mengineyo, na kwa vile KLHnews imeweza kufanya majadiliano na mahojiano na wanasiasa wengine kama vile Zitto, Cheyo, Anna Kilango, Chacha Wangwe nk. Je kuna uwezekano KLHnews kufanya mahojiano/majadiliano ya moja kwa moja na mheshimiwa rais kupata majibu ya moja kwa moja?
 
Kwa vile JK kaamua kutokuwa na press conference kwa miezi miwili sasa na hata press yenyewe anapokuwa akiongea nayo inaonekana wapo ku-m-praise na sio kumuuliza maswali ya mwelekeo wan chi na hali halisi ilivyo kisiasa.

Katika kutafuta majibu ya maswali mengi na kumpata rais wetu atupe majibu ya maswali mengi kama ya Richmond, Epa, BOT na mengineyo, na kwa vile KLHnews imeweza kufanya majadiliano na mahojiano na wanasiasa wengine kama vile Zitto, Cheyo, Anna Kilango, Chacha Wangwe nk. Je kuna uwezekano KLHnews kufanya mahojiano/majadiliano ya moja kwa moja na mheshimiwa rais kupata majibu ya moja kwa moja?

kwa mujibu wa Mwanakijiji kwenye mada ya Wangwe asimamishwa Chadema ameandika kuwa JK amewahi kuzungumza na KLH NEWS.
 
kwa mujibu wa Mwanakijiji kwenye mada ya Wangwe asimamishwa Chadema ameandika kuwa JK amewahi kuzungumza na KLH NEWS.

Mgagagigikoko,

Hata kama Jk ameishaongea KLHnews sidhani kama amejibu maswala ya ufisadi
 
Back
Top Bottom