Kikwete: Naondoka nikiwa naacha Uhusiano wa Kenya na Tanzania ukiwa bora. Na hautabadilika!


Hakika kama Rais Kikwete angejua yatakayo tokea baada ya kuondoka madarakani kuhusu uhusiano wa Kenya na Tanzania asingesubutu aslani kutamka haya aliyo yasema.
Sikilizeni wenyewe kisha mtoe maoni. Na ingekuwa vizuri kama wale waandishi nguli wamuulize sasa nini msimamo wake kwa sasa kuhusu haya malumbano ya kidplomasia?

Mahusiano yalikuwa mazuri kwasababu tulikuwa tunasuasua ki maendeleo. Ukianza kujikwamua ki uchumi lazima jirani akuchukie.
 
JK was a leader, JK was a diplomat.

JK alikuwa anawapiga Chadema na Chadema wanampiga siku ya mwisho wanakaa ikulu kunywa chai. Hakuna kama JK wewe.

Huyu angeendelea hata miaka 5 tu Tanzania kiuchumi tungekuwa mbali sana. Kwa JK ajira zilionekana, uwekezaji ulionekana na uchumi ulionekana.

Hahahhaa CCM oyeeeee
 
Ukigundua unashughulika na kichaa then unapaswa kutumia lugha ambayo anaielewa vizuri.

Na ukiona majirani hamzinguani kwa lolote jua mmoja wenu ni zoba.

Kikwete huyohuyo ndo alipelekea ikawepo COW ndani ya EAC!

Maslahi ya taifa kwanza,ujirani baadae!

Enrique Peña Nieto (
Rais mstaafu Mexico) alimjibu Trump kwamba,"We aren't going to pay for that fvcking wall".
 
Sawasawa. Najua unaongea huku nafsi yako inakushtaki
sasa mkuu wewe umekaa apo ufipa kazi yako ninkunsubili Lissu ashuke airport ukampokee ma kumshangilia barabarani.

Hata wananchi wa mkuranga wamekushinda kifikra za maendeleo wenzio wameomba pori lifutiwe hati wapewe walime ili waliendeleze.
 
Back
Top Bottom