Mtu wa Mungu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 444
- 19
Safari hii jasho litawatoka mawaziri na spika wa sisiemu mjengoni!!!!!!! Kabla hata miswada ya Tume Huru ya Kuchunguza matokeo ya Uchaguzi, Kuandika Katiba mpya, Tume Huru ya Uchaguzi (Kuwafukuza kama mbwa akina kiravu na makame wakafilie mbali!!!!!), na kutakiwa taarifa ya utekelezaji wa maazimio ya bunge la 9 kuhusu EPA na Richmond,hazijawasilishwa bungeni, tayari serikali ya Kikwete imepatwa na skandal nyingine ya Tanesco kutakiwa kuilipa Dowans Tshs bilioni184 au 5??,wakati si Richmond wala Dowans wamiliki wake hawajajulikana!!!!!! Kweli hili ni shamba la bibi-linatafunwa na wenye meno!!!!!!!
Safari hii mjengoni kutawaka moto!!!!!!!!-Tundu Lissu, Freeman, na lile jopo la vijana wa CDM mna haki ya kikatiba kuzuia upuuzi huu kupita bungeni!!!!!!!!!!Sijui kama yale magari ya maji ya kuwasha yataingia ndani ya mjengo kuzima moto wa nguvu za hoja zitakazowaacha spika Anna na naibu wake ndugai hoi na taabani!!!!!!
Tundu Lissu watanzania wanataka tuambiwe mmiliki wa Dowans, vinginevyo hizo hela hazitalipika!!!!!!!!!!!Vinginevyo tutaingia mitaani na kujipaka oil chafu kukabiliana vilivyo na magari ya maji makali!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Tutawambia wenye kufadhili mabakuli ya JK kwamba hizi ni hela za walipa kodi wao zinazokwenda kutafunwa na mafisadi hewa!!!!!!, halafu waone moto ukilipuka kwenye mitaa ya London, New York , Oslo, Paris,Tokyo, Stolkholm nk!!! Hili jukumu tunamwachia Dr PhD akamilishe!!!!!!!!!!!!!!!
Safari hii mjengoni kutawaka moto!!!!!!!!-Tundu Lissu, Freeman, na lile jopo la vijana wa CDM mna haki ya kikatiba kuzuia upuuzi huu kupita bungeni!!!!!!!!!!Sijui kama yale magari ya maji ya kuwasha yataingia ndani ya mjengo kuzima moto wa nguvu za hoja zitakazowaacha spika Anna na naibu wake ndugai hoi na taabani!!!!!!
Tundu Lissu watanzania wanataka tuambiwe mmiliki wa Dowans, vinginevyo hizo hela hazitalipika!!!!!!!!!!!Vinginevyo tutaingia mitaani na kujipaka oil chafu kukabiliana vilivyo na magari ya maji makali!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Tutawambia wenye kufadhili mabakuli ya JK kwamba hizi ni hela za walipa kodi wao zinazokwenda kutafunwa na mafisadi hewa!!!!!!, halafu waone moto ukilipuka kwenye mitaa ya London, New York , Oslo, Paris,Tokyo, Stolkholm nk!!! Hili jukumu tunamwachia Dr PhD akamilishe!!!!!!!!!!!!!!!