Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
.............. but huu upuuzi wa huyu jamaa sijui utakwisha lini watu tunataka vitendo si maneno anazidi kujidhalilisha sana!
Mkuu sometime inabidi tuangalie level ya upuuzi kuna upuuzi mwingine uliopo sio wa rais ,wala waziri kuu wala waziri. Katika middle maanagement ambapo kwamtazamo wangu kuna vijana wengi pia kuna tatizo ten sugu
Mfano juzi juzi nimeona meya wa ilala anayeitwa J. silaa akiongea pumba . Sasa ukiona mawazo ya Pinda na jery silaha hayana hata chembe ya utofauti japo kidogo jua kuna tatizo kubwa . Na mwenye tatizo anakuwa sio pinda bali hi huyo kijana.
Au unaweza kujitahidi kumuelewa Msekwa akilaumu Jf lakini wanapokuja watu wenngine ambao ndio wanaonekana kama future ya CCM nao wakiwa na mawazo kama ya msekwa juu ya jf hiyo ni cancer ya taifa.