Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,665
- 3,524
Ha ha ha...ni swali la mtego sana!
Kwa kipindi kile cha kampeni alikuwa mwanasiasa uchwara lakini kwa mujibu wa taarifa za leo anaingia kwenye historia ya kuendeleza afya kitaifa.
Basi mpe shikamoo.