Mama Salma, Riz one na Nape vizazi vyao vitapata laana milele na milele kwa kuwatesa watanzania wa kawaida...
Nyie ndiyo mmelaaniwa kushabikia uongo. Mi nachopingana na nyie mbweha wa UKAWA ni ufinyu wenu wa akili. Tena mna ujiinga wa kijiinga. Dr. Jakaya ataendelea kuwa moja ya marais bora kabisa walioonesha utawala bora. Kakataa kuuza chama. Nyie leo mmenunuliwa kwa bil 10 mnajiona wamaana. Kitu hicho hicho mlichopigania leo hii mnakikumbatia? Shenziii sana ninyi.
mjiandae kuja kutueleza wananchi, mafisadi ni nani?
Mkuu video imetoka tangu jana usiku hujaiona tu? Ndugai analalamika jamaa "anampiga" makamera.
Masikini CCM inasubiri kuzikwa kutokana na viongozi kudharau matakwa ya wananchi.Wazee ni Hazina na kuwatukana na Laana. Ndio walioweka Misingi iliyowawezesha kikwete na wengine kuwa madarakani na walitumia rasilimali zao na za taifa kwa uadilifu kuwezesha chama kufikia kilipo sasa. Kikwete alianzana kuwaondoa kwenye maamuzi ya chama huku akisingizia kuwa walitaka wenyewe but Wazee hawa ndio walipaswa kuwa washauri na waamuzi kuendana na uzoefu wao ktk siasa na sio kwa watu kama nape. Kikwete Aliwakweka walugaluga NEC na Mkwewe Meghi kuwepo kwenye watoa maamuzi ya Taifa. Ameacha uadui mkubwa miongoni mwa waliomsaidia na walioamini wako naye at the end akawatosa. Huwezi mfanya mtu kama Maghufuli kuwa Raisi kwa kuwa anajulikana alivyo na maamuzi yake ya mihemuko. Yetu M