kikwete na mkakati wa kuua magazeti

nyabhingi

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
15,515
20,005
rais ameombwa kuminya kiuchumi vyombo vya habari binafsi ili kuimarisha vijarida vitakavyoanzishwa na UVCCM.Mawasiliano kati ya viongozi wa umoja huo yanaonyesha kumwomba rais JK kumuagiza katibu mkuu kiongozi kuelekeza taasisi na mashirika ya umma kutoa kipaumbele cha matangazo kwa vijarida vya uvccm
MWANAHALISI:6/4/2011..read more
 
Hatumshangai, ni zee la visasi na fitna. Apite mtaa kwa mtaa afunge na watu midomo.
 
Lipi zuri alilowahi kufanya JK kwa mtazamo wa Mwanahalisi? Ukuwadi huwa una mwisho wake!
 
Lipi zuri alilowahi kufanya JK kwa mtazamo wa Mwanahalisi? Ukuwadi huwa una mwisho wake!

Lipi JK alilowafanyia Watanzania, hii mikakati yao ya kipuuzi ina mwisho. Wakiingia wanamapinduzi kila kitu kitafunuliwa
 
Mkakati wa kuyauwa magazeti huru kwa kuwanyima matangazo ya serikali uliasisiwa wakati ule wa Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi ya Richmond, Edward Lowassa, akishirikiana na mkurugenzi wa mawasiliano wa Ikulu, Salva Rweyemamu. Way back in 2008, mwandishi wa habari mahiri, Adam Lusekelo, aliyefariki tarehe 1 Aprili, 2011, aliandika makala hii:


<EYE SPY>

Strangling the private media in style

FEW governments in the world like to be criticised. Most like to be slavishly praised. They think the media is a photo studio and a modelling session. Journalists are supposed to be praise singers. Which is a load of nonsense, of course.

Now in lawless countries, like Somalia, they simply shoot journalists who are not praise singers. They blast them with SMGs or they bomb them.

Other countries use intimidation. Like Bongo, when they threw acid at Saeed Kubenea and slashed Ndimara Tegambwage of &#8216;MwanaHalisi' with machetes. Their paper has been saying the truth and most government honchos hate the truth.

Other countries are more subtle. They simply bribe journalists with cushy jobs and the guys are suddenly gagged (I have kids, you know!). Subtleness does not end there. You see the media needs advertising. That's how the show is run. Now in most countries, including Tanzania, the government is the biggest advertiser.

While the government says it is strictly for a free media, it advertises in the media which says the &#8216;right' things about the rulers, their friends and wives. Those who say the wrong things, like exposing government thieves, find themselves attacked physically. Or the government targets them by strangling them off. The government refuses to advertise in these magazines. All you have to do is check out MwanaHalisi's pages.

No government advertising! Check out the pages of THISDAY. No advertising! This is no accident. The idea is to strangle them in favour of PR style media.

Stuff like some ruler saying that he won't tolerate corruption or some other ruler saying that people should work till they drop while he and his buddies are having fun. A totally warped misconception of what the media is all about.

The Prez, Jack Mrisho has just told his 32 ambassadors meeting in Zanzibar to show off abroad on how pretty we are: democracy, human rights and good governance, including observing and fighting corruption. Sure. But is the deliberate withholding advertising from the sections of media which expose government corruption or have a different opinion, good governance? Me thinks not. That is also a kind of intimidation. The ambassadors should also know those shortcomings. I buy and read these papers because they have something to say about our beloved Bongo.

If some government honcho does not like what these papers write they can always go to the courts if the writings are a pack of lies. Or go and jump into the nearest lake. You see there is a dictator in a lot of us. If you want to see who someone really is, just give him or her some power.

You will be really surprised. Few remain modest, most become monsters.

So there are some monsters out there in government who would love to strangle those papers and see them die. But those times are now gone forever. Lies from anyone will be called just that, lies! Robbery in the government or anywhere will be called just like it is robbery! Good governance? Then let's stop intimidating each other and play fair!

Source: THISDAY
 
Lipi zuri alilowahi kufanya JK kwa mtazamo wa Mwanahalisi? Ukuwadi huwa una mwisho wake!

kwa mtizamo wako?,je ni nani kati ya mwanahalisi na kikwete anayeonekana kuwadi(wa soko huria).mara nyingi wale wachache mnaonufaika na system huwa mna upofu na dharau kwa jamii ya walio wengi.OLE WENU iko siku si mbali ukweli utajitenga.
 
Back
Top Bottom