Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Jamii za kiafrika zamani ilikuwa nikwamba mababu zetu na bibi zetu wakioana kama wamependana vyakutosha walikuwa wanakunywa dawa maalumu ya kulinda upendo wao, ilikuwa nijambo lenye fahari na tunu imara kwa mwafrika wa kweli achana na kizazi hiki cha nyoka kilichobemendwa na ccm maslahi.
Dawa hiyo ilikuwa na nguvu kubwa mpaka ahera kabisa, ilikuwa ni ama Baba akifa ni lazima bibi afute siku hiyo hiyo au wiki hiyo hiyo, kwahakika msiba ulikuwa ni maajuza wawili utake usitake, hiyo ndio nguvu ya dawa hiyo ya kulinda penzi la wazee wetu.
Lowasa aliwahi kuuambia ulimwengu kuwa yeye kala nadhiri na Kikwete, kwamba wale wanaosema wanaugomvi nikuwa hawaelewi tu kuwa Lowasa na Kikwete hawakukutana barabarani. Kwa lugha nyingine nikuwa wawili hawa wamekunywa dawa ya u boys 11 Man, akifa Kikwete basi jiandaeni kuzika na Lowasa kabla hata ya kuanua matanga Musoga.
Hivi ndivyo ilivyo, Kikwete ameugua kansa ya kizazi alimaarufu tezi dume na kufanyiwa upasuaji mkubwa uliokwenda salama salmini,
Sasa Edward Lowasa yuko ujerumani kutibu kansa ya kibofu kwa upasuaji.
Hiyo ni kazi ya dawa hiyo, mambo ya viapo ya urafiki usiokufa hata mmoja aende kaburini basi na mwingine atamfuata huko huko. Viapo hivi hata Ibrahim aliwekeana viapo na Mungu, Musa pia aliwekeana viapo na Mungu alipokwenda kuwaokoa wana wa Israel.
Haijulikana kama Samweli Sitta nae aliwekeana viapo, lakini sasa anapanga kutangaza rasmi kuwania urahisi mara atakapo lamba nishani yake kesho siku ya uhuru.
Bila shaka ni nishani kwa kufanikisha katiba ya uchakachuaji.
Mambo ya viapo vya wanasiasa na gharama ya waendako.
Kwaviapo vyao aminini ccm hawana njia nyingine bali ni kutii viapo vya mabwana hawa wawili waliokula yamini kuachiana urais wa Wadanganyika.
Uhuru wa Tanzania upo chini ya Mtanzania mwenyewe.
CCM yatafuna nchi!!!
Dawa hiyo ilikuwa na nguvu kubwa mpaka ahera kabisa, ilikuwa ni ama Baba akifa ni lazima bibi afute siku hiyo hiyo au wiki hiyo hiyo, kwahakika msiba ulikuwa ni maajuza wawili utake usitake, hiyo ndio nguvu ya dawa hiyo ya kulinda penzi la wazee wetu.
Lowasa aliwahi kuuambia ulimwengu kuwa yeye kala nadhiri na Kikwete, kwamba wale wanaosema wanaugomvi nikuwa hawaelewi tu kuwa Lowasa na Kikwete hawakukutana barabarani. Kwa lugha nyingine nikuwa wawili hawa wamekunywa dawa ya u boys 11 Man, akifa Kikwete basi jiandaeni kuzika na Lowasa kabla hata ya kuanua matanga Musoga.
Hivi ndivyo ilivyo, Kikwete ameugua kansa ya kizazi alimaarufu tezi dume na kufanyiwa upasuaji mkubwa uliokwenda salama salmini,
Sasa Edward Lowasa yuko ujerumani kutibu kansa ya kibofu kwa upasuaji.
Hiyo ni kazi ya dawa hiyo, mambo ya viapo ya urafiki usiokufa hata mmoja aende kaburini basi na mwingine atamfuata huko huko. Viapo hivi hata Ibrahim aliwekeana viapo na Mungu, Musa pia aliwekeana viapo na Mungu alipokwenda kuwaokoa wana wa Israel.
Haijulikana kama Samweli Sitta nae aliwekeana viapo, lakini sasa anapanga kutangaza rasmi kuwania urahisi mara atakapo lamba nishani yake kesho siku ya uhuru.
Bila shaka ni nishani kwa kufanikisha katiba ya uchakachuaji.
Mambo ya viapo vya wanasiasa na gharama ya waendako.
Kwaviapo vyao aminini ccm hawana njia nyingine bali ni kutii viapo vya mabwana hawa wawili waliokula yamini kuachiana urais wa Wadanganyika.
Uhuru wa Tanzania upo chini ya Mtanzania mwenyewe.
CCM yatafuna nchi!!!