Elections 2010 Kikwete na hofu ya miaka 5 ijayo !!!

Supervisor

JF-Expert Member
Oct 29, 2010
559
207
Leo Mh Jk anatangazwa mshindi wa urasi 2010-2015 na Jaji Lewis Makame! Lakn wakati yakitangazwa matokeo Jk alionekana fika hana furaha na muda wote wa uongozi wake. Kwanza anajua watu hawampendi na ametumia nguvu kumalizia miaka 5 iliyobaki. Swali lake kubwa ni!! Hivi Dr Slaa atachukua uamzi gani na utakuwa na effect gani na utawala wake. Miaka 5 isiyo na lepe la furaha kwa Jk. Alitegemea 85% leo kakomea 61.17% ni fedheha kwake.
 
Yec na kakili mwenyewe uchaguzi huu uliwabana na inabidi waende wakajipange.hongera dr slaa kwa kuwanyima usingizi.
 
Back
Top Bottom