Kikwete na familia yako na Kamati ya Maadili hamtaikimbia aibu hii mliyoitengeneza

Bado nazingoja siku chache sana kwa baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi akiwemo Mwenyekiti wao kukutwa na aibu kubwa ambayo hawataweza kuizuia.

Ndugu zangu jambo hili halihitaji uwe na macho sita au vichwa viwili au kilo 100 za ubongo au uwe una kipaji maalum ndipo utambue kwani jibu lolote la UBAYA mwishowe huwa ni AIBU.

Kama kigezo cha URAIS ni USAFI na UADILIFU basi CCM hakuna hata mmoja ambaye angepita kati ya majina yote yale LAKINI kwakua viliwekwa vigezo vingine vingi saidizi nina imani Mzee Lowasa aliwazidi wengine wote na hilo limejidhihirisha jana mbele kabisa ya Halmashauri Kuu baada ya wajumbe wote kuimba kwa kumsifia Lowasa mbali na kuwa jina lake halikuteuliwa katika Tano Bora.

Dhambi hii ya usaliti wa Kikwete kwa rafiki zake itamtafuna daima kwa uoga wa kuwajibishwa kwa maovu yao mengi waliyoitendea nchi yetu pamoja na watanzania.

Nina Imani Safari ya Matumaini ya Mzee Lowasa haitakufa mpaka malengo yake yatimie na jambo hili ni wazi kwa sababu tayari mzee huyu alikwisha pokelewa na kukubaliwa na watanzania.

Hapa nayakumbuka maneno ya kiongozi mmoja wa dini alisema...."Mungu akitaka kumuangusha mti humtia uchizi ili asione pale anapokosea na mwishowe kuanguka"
Nami leo nimeuona uchizi uliowekwa ndani ya CC, Kamati ya Maadili na kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na kwa hiyo wataanguka tu mbele ya Lowasa siku si nyingi.

Kama malengo ya Lowasa ni kutatua shida za watanzania, kuwatumikia na kuwainulia maisha yao kwa kuongeza kasi ya kukua kwa Uchumi Mdogo na ule Mkubwa basi nia hii bado inaweza kutekelezeka ama ndani ya CCM ama nje ya CCM kisha akina Kikwete watakuja kutuambia kwanini walikua wanamuogopa Lowasa!

Ni jambo la kweli, Magufuli Urais alikua anajaribu tu na hakua amejiandaa kwa namna yeyote ile kuwa kiongozi wa juu wa Taifa na jambo hili litamfanya kuwa Rais atakayeburuzwa na maamuzi ya watu wengine kuliko hata Rais aliyekwisha mtangulia na hapa ndipo alipokua anasema Lowasa anahitajika Rais mwenye maamuzi magumu.

Kitu cha pili, Urais sio Chama, Urais ni MTU ndio mana hata Kikwete awamu ya kwanza alishinda kwa zaidi ya asilimia 80% kwa sababu watu walimpenda mtu na sio chama kadharika kwa jambo hili watu walimpenda Lowasa sio CCM.

Ndugu zangu, AIBU HII isiyokwepeka itamkuta kila unayemjua amepindisha na kumharibia aliyestahili kuwa mgombea kupitia CCM na kuwa Rais wa Tz kwa awamu ya Tano.

Hivi karibuni sana mambo haya yatajiri...

Rafiki Mnafiki na mwenye wivu ni hatari sana zaidi hata ya shetani.

Deal with it...he is rightfully gone!!!...

God has spoken,who are you to change?...Lowassa,Lowassa,we are tired of u bandwagoners!....Anastahili,wengine ndio hawastahili?...I wish I k.ill all of u Lowassa dickriders,he is done,nendeni mkalime!
 
Itakuwa kosa kubwa sana Lowassa kwenda ACT.., the best move is for him to support the strongest party or to support UKAWA ..., ili aweze kupata pia sympathy ya watanzania wa kawaida na kulindwa na opposition...

Well said mkuu, binafis mimi siyo staunch supporter of this fisadi lakini namhitaji mno wakati huu ili akimalizie mbali CCM. Kwanza in my wishful thinking and understanding, this part died Friday night. Kwa rekodi yake mbaya politically asahahu kugombea urais, badala yake macho yake aelekeze kwenye ubunge wake ambao ni 100% wamasai watampa - ila nje ya CCM kwani SINTOSHANGAA JINA LAKE LIKICHINJWA KWENYE CC AKIOMBA UBUNGE KUPITIA CCM.
It's high time for this fisadi to realize that he'll be more safe politically -to retain his MP seat and commercially (as long as he adhere to the laid down principles) with another party than CCM. Rafiki yake mkwere ni mnafiki mno, yeye na familia yake wamegeuza chama kuwa mali yao na wanataka kuhakikisha EL anatoweka au anafilisika kisiasa na kibiashara.
Lowasa atoke CCM na wafuasi wake, halafu tuone kwenye uchaguzi watapata nini, kuanzia udiwani, ubunge na urais.

The writings are clerly on the wall: TANZANIANS ARE TIRED WITH CCM POLITICS, EVERYBODY NEED CHANGES. Hawataki tena rais wa kuendeshwa kwa remote...........
 
Acha kujidanganya wewe, unajua mfa maji haachi kutapatapa. Mlituambia Lowassa ni mafuriko na hayazuiliki na mbona CC imezuia hayo mafuriko??? Ndugu yangu nikuambie kitu, Lowassa hawezi kushindana na Magufuli. Kama unataka kuaibika kwa mara ya pili, Lowassa aende upinzani kisha agombee urais, tuone kama atafurukuta mbele ya "Jembe" la ukweli Magufuli. Nani kakuambia Lowassa anakubalika na Watanzania wote?? Mimi kama Mtanzania namfahamu Lowassa kama Fisadi namba moja hapa Tanzania na Magufuli namfahamu kama Waziri mchapakazi namba moja hapa Tanzania. Amini nakuambia, tunaoamini hivyo tuko wengi sana hapa Tanzania kuliko unavyofikiria wewe. Lile kundi la wahuni waliokuwa wanaimba wanaimani na Lowassa, ni kundi dogo tu lililonunuliwa kwa fedha.

Nikuambie kitu kaka, Lowassa arudi Monduli, atulie afanye biashara zake, afurahie uzee wake, achaane na siasa, sababu heri ya nusu shari kuliko shari kamili. Pia nikuambie kitu kingine, hata Magufuli asipofanya kampeni za urais, ataingia tu Ikulu. Hakuna Mtanzania asiyejua uchapa kazi wa Dr. Magufuli, uliza hata watoto wadogo wa darasa la 3 watakuambia.

Kukatwa inauma sana, tena kukatwa bila taarifa kuwa sasa unakatwa inauma sana, lakini mtafanyaje sasa?? Hamna ujanja, kuweni wapole tu. Wazungu wanasema "if you can't fight them, join them". Jiungeni na Magufuli na maisha yaendeleee. Acheni ujinga!!
 
Slogan nyingine nuksi tupu! Safari ya matumaini....yaani kwamba kuna kufika au kutokufika, halafu kwa nn Safari na sio Castle lager, Ndovu, Balimi, Serengeti,Kilimanjaro basi hata angetumia Konyagi ya matumaini
 
Bado nazingoja siku chache sana kwa baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi akiwemo Mwenyekiti wao kukutwa na aibu kubwa ambayo hawataweza kuizuia.

Ni jambo la kweli, Magufuli Urais alikua anajaribu tu na hakua amejiandaa kwa namna yeyote ile kuwa kiongozi wa juu wa Taifa na jambo hili litamfanya kuwa Rais atakayeburuzwa na maamuzi ya watu wengine kuliko hata Rais aliyekwisha mtangulia na hapa ndipo alipokua anasema Lowasa anahitajika Rais mwenye maamuzi magumu.



Rafiki Mnafiki na mwenye wivu ni hatari sana zaidi hata ya shetani.


''Halija alimselema Halija alimselema'' Dr Magufuli.

''Wasioweza kulipa wakapige Mbizi'' Dr.Magufuli

Ukiacha kuburuzwa Magufuli hana Busara wala Staha hata kidogo na ukitaka kugundua aina ya kiongozi Mnafiki angalia hutuba yake ya kuomba Kura dakika za mwisho kabisa kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu.
Ni heri hata wangempatia Dr.Migiro pamoja na kuwa alikuwa mtu wake JK kuliko Magufuli asiye na tone la suburi na Utawala wa Sheria.


 
Tatizo la mtu wenu Lowassa ni kujisafisha Tuhuma za Richmonduli kwa kutumia pesa na uongo wa kuonewa huruma.
Yeye si mchafu kuliko wachafu ndani ya CCM, lakini pia hawekeki akakaa kwenye kundi la wasafi.
Hii ni mara ya pili anapigwa CHINI ndani ya CCM.
Sijui apigwe mara ngapi ili mkubali kwamba nyota ya uerais kupitia CCM si yake?

Tatizo jingine ni kuamini mno kwamba Pesa ndo kila kitu.
Pesa huwa inaongea pia huwa inasikia na kuona.
Lakini mlisahau kwamba pesa vilevile huweza kuwa Bubu na kipofu.

Ujumbe umefika.
Chaguo ni lenu
Kusuka, kuweka kalikiti au kupiga zungu.
 
Well said mkuu, binafis mimi siyo staunch supporter of this fisadi lakini namhitaji mno wakati huu ili akimalizie mbali CCM. Kwanza in my wishful thinking and understanding, this part died Friday night. Kwa rekodi yake mbaya politically asahahu kugombea urais, badala yake macho yake aelekeze kwenye ubunge wake ambao ni 100% wamasai watampa - ila nje ya CCM kwani SINTOSHANGAA JINA LAKE LIKICHINJWA KWENYE CC AKIOMBA UBUNGE KUPITIA CCM.
It's high time for this fisadi to realize that he'll be more safe politically -to retain his MP seat and commercially (as long as he adhere to the laid down principles) with another party than CCM. Rafiki yake mkwere ni mnafiki mno, yeye na familia yake wamegeuza chama kuwa mali yao na wanataka kuhakikisha EL anatoweka au anafilisika kisiasa na kibiashara.
Lowasa atoke CCM na wafuasi wake, halafu tuone kwenye uchaguzi watapata nini, kuanzia udiwani, ubunge na urais.

The writings are clerly on the wall: TANZANIANS ARE TIRED WITH CCM POLITICS, EVERYBODY NEED CHANGES. Hawataki tena rais wa kuendeshwa kwa remote...........

Mkuu, umesema sawa kabisaaa...
 
Nilitaka lowasa awe raisi nione ataifanyia nini familia ya kikwete
 
lowasa mwenyewe kashakubaliana na hali halisi ya kilichotokea jamani

mkuu pale kwasasa hawezi onyesha mipango yake inayofuata lakini nakuhakikishia miezi mitatu ni mingi sana hadi kufika uchaguzi mkuu lazima yatatokea mengi sana apa katikati.
 
Bado nazingoja siku chache sana kwa baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi akiwemo Mwenyekiti wao kukutwa na aibu kubwa ambayo hawataweza kuizuia.

Ndugu zangu jambo hili halihitaji uwe na macho sita au vichwa viwili au kilo 100 za ubongo au uwe una kipaji maalum ndipo utambue kwani jibu lolote la UBAYA mwishowe huwa ni AIBU.

Kama kigezo cha URAIS ni USAFI na UADILIFU basi CCM hakuna hata mmoja ambaye angepita kati ya majina yote yale LAKINI kwakua viliwekwa vigezo vingine vingi saidizi nina imani Mzee Lowasa aliwazidi wengine wote na hilo limejidhihirisha jana mbele kabisa ya Halmashauri Kuu baada ya wajumbe wote kuimba kwa kumsifia Lowasa mbali na kuwa jina lake halikuteuliwa katika Tano Bora.

Dhambi hii ya usaliti wa Kikwete kwa rafiki zake itamtafuna daima kwa uoga wa kuwajibishwa kwa maovu yao mengi waliyoitendea nchi yetu pamoja na watanzania.

Nina Imani Safari ya Matumaini ya Mzee Lowasa haitakufa mpaka malengo yake yatimie na jambo hili ni wazi kwa sababu tayari mzee huyu alikwisha pokelewa na kukubaliwa na watanzania.

Hapa nayakumbuka maneno ya kiongozi mmoja wa dini alisema...."Mungu akitaka kumuangusha mti humtia uchizi ili asione pale anapokosea na mwishowe kuanguka"
Nami leo nimeuona uchizi uliowekwa ndani ya CC, Kamati ya Maadili na kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na kwa hiyo wataanguka tu mbele ya Lowasa siku si nyingi.

Kama malengo ya Lowasa ni kutatua shida za watanzania, kuwatumikia na kuwainulia maisha yao kwa kuongeza kasi ya kukua kwa Uchumi Mdogo na ule Mkubwa basi nia hii bado inaweza kutekelezeka ama ndani ya CCM ama nje ya CCM kisha akina Kikwete watakuja kutuambia kwanini walikua wanamuogopa Lowasa!

Ni jambo la kweli, Magufuli Urais alikua anajaribu tu na hakua amejiandaa kwa namna yeyote ile kuwa kiongozi wa juu wa Taifa na jambo hili litamfanya kuwa Rais atakayeburuzwa na maamuzi ya watu wengine kuliko hata Rais aliyekwisha mtangulia na hapa ndipo alipokua anasema Lowasa anahitajika Rais mwenye maamuzi magumu.

Kitu cha pili, Urais sio Chama, Urais ni MTU ndio mana hata Kikwete awamu ya kwanza alishinda kwa zaidi ya asilimia 80% kwa sababu watu walimpenda mtu na sio chama kadharika kwa jambo hili watu walimpenda Lowasa sio CCM.

Ndugu zangu, AIBU HII isiyokwepeka itamkuta kila unayemjua amepindisha na kumharibia aliyestahili kuwa mgombea kupitia CCM na kuwa Rais wa Tz kwa awamu ya Tano.

Hivi karibuni sana mambo haya yatajiri...

Rafiki Mnafiki na mwenye wivu ni hatari sana zaidi hata ya shetani.

We jamaa ni mjinga sana
 
Watu walikuwa wanapigia kelele kipeana uongozi wa nchi kirafiki na bado yupo mtanzania bila aibu analizungumzia hili tena ktk karne hii, bora waingie aibu kuliko kutuwekea watu wenye minong'ono ya ubaya na umaarufu wa kupandikizwa na wapambe wake, msikate tamaa kuna namna nyingine ya kupata kiongoz bora kupitia upinzani kama nao wayatuletea mzalendo.
 
Back
Top Bottom