Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajuaga km jamaa ana roho mbaya kiasi kile hv Wakwere ndo roho zao zilivyo kuanzia Leo ntakuwa nawaogopa sana.
Nasikia waandishi wengi leo wamenyong'onyea maana mgawo umeisha khe khe khe khe he khe kuna wengi leo mambo hayakwenda sawa. kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Bado nazingoja siku chache sana kwa baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi akiwemo Mwenyekiti wao kukutwa na aibu kubwa ambayo hawataweza kuizuia.
Ndugu zangu jambo hili halihitaji uwe na macho sita au vichwa viwili au kilo 100 za ubongo au uwe una kipaji maalum ndipo utambue kwani jibu lolote la UBAYA mwishowe huwa ni AIBU.
Kama kigezo cha URAIS ni USAFI na UADILIFU basi CCM hakuna hata mmoja ambaye angepita kati ya majina yote yale LAKINI kwakua viliwekwa vigezo vingine vingi saidizi nina imani Mzee Lowasa aliwazidi wengine wote na hilo limejidhihirisha jana mbele kabisa ya Halmashauri Kuu baada ya wajumbe wote kuimba kwa kumsifia Lowasa mbali na kuwa jina lake halikuteuliwa katika Tano Bora.
Dhambi hii ya usaliti wa Kikwete kwa rafiki zake itamtafuna daima kwa uoga wa kuwajibishwa kwa maovu yao mengi waliyoitendea nchi yetu pamoja na watanzania.
Nina Imani Safari ya Matumaini ya Mzee Lowasa haitakufa mpaka malengo yake yatimie na jambo hili ni wazi kwa sababu tayari mzee huyu alikwisha pokelewa na kukubaliwa na watanzania.
Hapa nayakumbuka maneno ya kiongozi mmoja wa dini alisema...."Mungu akitaka kumuangusha mti humtia uchizi ili asione pale anapokosea na mwishowe kuanguka"
Nami leo nimeuona uchizi uliowekwa ndani ya CC, Kamati ya Maadili na kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na kwa hiyo wataanguka tu mbele ya Lowasa siku si nyingi.
Kama malengo ya Lowasa ni kutatua shida za watanzania, kuwatumikia na kuwainulia maisha yao kwa kuongeza kasi ya kukua kwa Uchumi Mdogo na ule Mkubwa basi nia hii bado inaweza kutekelezeka ama ndani ya CCM ama nje ya CCM kisha akina Kikwete watakuja kutuambia kwanini walikua wanamuogopa Lowasa!
Ni jambo la kweli, Magufuli Urais alikua anajaribu tu na hakua amejiandaa kwa namna yeyote ile kuwa kiongozi wa juu wa Taifa na jambo hili litamfanya kuwa Rais atakayeburuzwa na maamuzi ya watu wengine kuliko hata Rais aliyekwisha mtangulia na hapa ndipo alipokua anasema Lowasa anahitajika Rais mwenye maamuzi magumu.
Kitu cha pili, Urais sio Chama, Urais ni MTU ndio mana hata Kikwete awamu ya kwanza alishinda kwa zaidi ya asilimia 80% kwa sababu watu walimpenda mtu na sio chama kadharika kwa jambo hili watu walimpenda Lowasa sio CCM.
Ndugu zangu, AIBU HII isiyokwepeka itamkuta kila unayemjua amepindisha na kumharibia aliyestahili kuwa mgombea kupitia CCM na kuwa Rais wa Tz kwa awamu ya Tano.
Hivi karibuni sana mambo haya yatajiri...
Rafiki Mnafiki na mwenye wivu ni hatari sana zaidi hata ya shetani.
Bado nazingoja siku chache sana kwa baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi akiwemo Mwenyekiti wao kukutwa na aibu kubwa ambayo hawataweza kuizuia.
Ndugu zangu jambo hili halihitaji uwe na macho sita au vichwa viwili au kilo 100 za ubongo au uwe una kipaji maalum ndipo utambue kwani jibu lolote la UBAYA mwishowe huwa ni AIBU.
Kama kigezo cha URAIS ni USAFI na UADILIFU basi CCM hakuna hata mmoja ambaye angepita kati ya majina yote yale LAKINI kwakua viliwekwa vigezo vingine vingi saidizi nina imani Mzee Lowasa aliwazidi wengine wote na hilo limejidhihirisha jana mbele kabisa ya Halmashauri Kuu baada ya wajumbe wote kuimba kwa kumsifia Lowasa mbali na kuwa jina lake halikuteuliwa katika Tano Bora.
Dhambi hii ya usaliti wa Kikwete kwa rafiki zake itamtafuna daima kwa uoga wa kuwajibishwa kwa maovu yao mengi waliyoitendea nchi yetu pamoja na watanzania.
Nina Imani Safari ya Matumaini ya Mzee Lowasa haitakufa mpaka malengo yake yatimie na jambo hili ni wazi kwa sababu tayari mzee huyu alikwisha pokelewa na kukubaliwa na watanzania.
Hapa nayakumbuka maneno ya kiongozi mmoja wa dini alisema...."Mungu akitaka kumuangusha mti humtia uchizi ili asione pale anapokosea na mwishowe kuanguka"
Nami leo nimeuona uchizi uliowekwa ndani ya CC, Kamati ya Maadili na kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na kwa hiyo wataanguka tu mbele ya Lowasa siku si nyingi.
Kama malengo ya Lowasa ni kutatua shida za watanzania, kuwatumikia na kuwainulia maisha yao kwa kuongeza kasi ya kukua kwa Uchumi Mdogo na ule Mkubwa basi nia hii bado inaweza kutekelezeka ama ndani ya CCM ama nje ya CCM kisha akina Kikwete watakuja kutuambia kwanini walikua wanamuogopa Lowasa!
Ni jambo la kweli, Magufuli Urais alikua anajaribu tu na hakua amejiandaa kwa namna yeyote ile kuwa kiongozi wa juu wa Taifa na jambo hili litamfanya kuwa Rais atakayeburuzwa na maamuzi ya watu wengine kuliko hata Rais aliyekwisha mtangulia na hapa ndipo alipokua anasema Lowasa anahitajika Rais mwenye maamuzi magumu.
Kitu cha pili, Urais sio Chama, Urais ni MTU ndio mana hata Kikwete awamu ya kwanza alishinda kwa zaidi ya asilimia 80% kwa sababu watu walimpenda mtu na sio chama kadharika kwa jambo hili watu walimpenda Lowasa sio CCM.
Ndugu zangu, AIBU HII isiyokwepeka itamkuta kila unayemjua amepindisha na kumharibia aliyestahili kuwa mgombea kupitia CCM na kuwa Rais wa Tz kwa awamu ya Tano.
Hivi karibuni sana mambo haya yatajiri...
Rafiki Mnafiki na mwenye wivu ni hatari sana zaidi hata ya shetani.
Bado nazingoja siku chache sana kwa baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi akiwemo Mwenyekiti wao kukutwa na aibu kubwa ambayo hawataweza kuizuia.
Ndugu zangu jambo hili halihitaji uwe na macho sita au vichwa viwili au kilo 100 za ubongo au uwe una kipaji maalum ndipo utambue kwani jibu lolote la UBAYA mwishowe huwa ni AIBU.
Kama kigezo cha URAIS ni USAFI na UADILIFU basi CCM hakuna hata mmoja ambaye angepita kati ya majina yote yale LAKINI kwakua viliwekwa vigezo vingine vingi saidizi nina imani Mzee Lowasa aliwazidi wengine wote na hilo limejidhihirisha jana mbele kabisa ya Halmashauri Kuu baada ya wajumbe wote kuimba kwa kumsifia Lowasa mbali na kuwa jina lake halikuteuliwa katika Tano Bora.
Dhambi hii ya usaliti wa Kikwete kwa rafiki zake itamtafuna daima kwa uoga wa kuwajibishwa kwa maovu yao mengi waliyoitendea nchi yetu pamoja na watanzania.
Nina Imani Safari ya Matumaini ya Mzee Lowasa haitakufa mpaka malengo yake yatimie na jambo hili ni wazi kwa sababu tayari mzee huyu alikwisha pokelewa na kukubaliwa na watanzania.
Hapa nayakumbuka maneno ya kiongozi mmoja wa dini alisema...."Mungu akitaka kumuangusha mti humtia uchizi ili asione pale anapokosea na mwishowe kuanguka"
Nami leo nimeuona uchizi uliowekwa ndani ya CC, Kamati ya Maadili na kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na kwa hiyo wataanguka tu mbele ya Lowasa siku si nyingi.
Kama malengo ya Lowasa ni kutatua shida za watanzania, kuwatumikia na kuwainulia maisha yao kwa kuongeza kasi ya kukua kwa Uchumi Mdogo na ule Mkubwa basi nia hii bado inaweza kutekelezeka ama ndani ya CCM ama nje ya CCM kisha akina Kikwete watakuja kutuambia kwanini walikua wanamuogopa Lowasa!
Ni jambo la kweli, Magufuli Urais alikua anajaribu tu na hakua amejiandaa kwa namna yeyote ile kuwa kiongozi wa juu wa Taifa na jambo hili litamfanya kuwa Rais atakayeburuzwa na maamuzi ya watu wengine kuliko hata Rais aliyekwisha mtangulia na hapa ndipo alipokua anasema Lowasa anahitajika Rais mwenye maamuzi magumu.
Kitu cha pili, Urais sio Chama, Urais ni MTU ndio mana hata Kikwete awamu ya kwanza alishinda kwa zaidi ya asilimia 80% kwa sababu watu walimpenda mtu na sio chama kadharika kwa jambo hili watu walimpenda Lowasa sio CCM.
Ndugu zangu, AIBU HII isiyokwepeka itamkuta kila unayemjua amepindisha na kumharibia aliyestahili kuwa mgombea kupitia CCM na kuwa Rais wa Tz kwa awamu ya Tano.
Hivi karibuni sana mambo haya yatajiri...
Rafiki Mnafiki na mwenye wivu ni hatari sana zaidi hata ya shetani.