Kikwete na familia yako na Kamati ya Maadili hamtaikimbia aibu hii mliyoitengeneza

Hahaha bado wapo tu?hawajakatwa kichwa nn bado...maana ukitaka kumuua nyoka kata kichwa kabisa...
 
Sijajuaga km jamaa ana roho mbaya kiasi kile hv Wakwere ndo roho zao zilivyo kuanzia Leo ntakuwa nawaogopa sana.

mkuu yule mkwere ni hatareee sana,na yeye na lowassa walikuwa marafiki wa kitambo na hadi lowassa anakubali kujiuzulu uwaziri mkuu ilikuwa ni agenda ya kumsave jakaya ile,hivyo lowassa sio mhusika wa lile swala la RICHMOND,ila tuanze kuconnect matukio yaliyomfanya kikwete kumchukia lowassa....ni hivi jamaa alimchukia lowassa kwenye kikao cha kujivua "GAMBA LA UFISADI" kile,maana lowassa alitema cheche sana kwa kuwaeleza watu wote waliokuwepo pale akiwa jukwaani kuongea baada ya chenge kumaliza,alisema mikataba yote ya Richmond rais anaijua na ndo aloweka sahihii yake kwenye kila mkataba na lowassa alitaja siku na saa rais aliyoweka sahihii pia akamaliza kwa kusema "SASA NASHANGAA ASCHOKIJUA JAKAYA NI NINI HAPA?"... kwa kweli kikwete alinywea sana ile siku na baada ya hayo maneno rais mstaafu.mkapa na mzee kingunge walivunja kikao faster...sasa inavyoonekana kikwete alihifadhi kinyongo na atakuja kummaliza mahali fulani ambapo ndo ile jana mkuu,ukija kuunganisha na ile KAULI yake aliyokuwa anaisema akihutubia kwamba "MSICHAGUE MTU ANAYELETA SIASA KWENYE NYUMBA ZA IBADA" ambapo alimlenga lowassa bila kificho maana jamaa ndo alikuwa anatabia ya kutoa misaada ya kifedha kwaajili ya utekelezaji wa miradi husika akialikwa kwenye sherehe za makanisa na miskiti ili linafahamika,pia kwanini kwenye hotuba yake ya kuvunja bunge juzi katoa shukrani zake kwa lowassa mwishoni wakati ilitakiwa aanze kumshukuru lowassa maana ndo alianza kufanya nae kazi alafu aje uyo pinda aliyempokea lowassa mwaka 2008,kwa hayo machache unapata picha ya harakaharaka tatizo la huyu mkwere kwa lowassa liko wapi mkuu!!!
 
Nasikia waandishi wengi leo wamenyong'onyea maana mgawo umeisha khe khe khe khe he khe kuna wengi leo mambo hayakwenda sawa. kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Bahasha Za kaki hakuna tenaa.. Hehehe
 
Bado nazingoja siku chache sana kwa baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi akiwemo Mwenyekiti wao kukutwa na aibu kubwa ambayo hawataweza kuizuia.

Ndugu zangu jambo hili halihitaji uwe na macho sita au vichwa viwili au kilo 100 za ubongo au uwe una kipaji maalum ndipo utambue kwani jibu lolote la UBAYA mwishowe huwa ni AIBU.

Kama kigezo cha URAIS ni USAFI na UADILIFU basi CCM hakuna hata mmoja ambaye angepita kati ya majina yote yale LAKINI kwakua viliwekwa vigezo vingine vingi saidizi nina imani Mzee Lowasa aliwazidi wengine wote na hilo limejidhihirisha jana mbele kabisa ya Halmashauri Kuu baada ya wajumbe wote kuimba kwa kumsifia Lowasa mbali na kuwa jina lake halikuteuliwa katika Tano Bora.

Dhambi hii ya usaliti wa Kikwete kwa rafiki zake itamtafuna daima kwa uoga wa kuwajibishwa kwa maovu yao mengi waliyoitendea nchi yetu pamoja na watanzania.

Nina Imani Safari ya Matumaini ya Mzee Lowasa haitakufa mpaka malengo yake yatimie na jambo hili ni wazi kwa sababu tayari mzee huyu alikwisha pokelewa na kukubaliwa na watanzania.

Hapa nayakumbuka maneno ya kiongozi mmoja wa dini alisema...."Mungu akitaka kumuangusha mti humtia uchizi ili asione pale anapokosea na mwishowe kuanguka"

Nami leo nimeuona uchizi uliowekwa ndani ya CC, Kamati ya Maadili na kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na kwa hiyo wataanguka tu mbele ya Lowasa siku si nyingi.

Kama malengo ya Lowasa ni kutatua shida za watanzania, kuwatumikia na kuwainulia maisha yao kwa kuongeza kasi ya kukua kwa Uchumi Mdogo na ule Mkubwa basi nia hii bado inaweza kutekelezeka ama ndani ya CCM ama nje ya CCM kisha akina Kikwete watakuja kutuambia kwanini walikua wanamuogopa Lowasa!

Ni jambo la kweli, Magufuli Urais alikua anajaribu tu na hakua amejiandaa kwa namna yeyote ile kuwa kiongozi wa juu wa Taifa na jambo hili litamfanya kuwa Rais atakayeburuzwa na maamuzi ya watu wengine kuliko hata Rais aliyekwisha mtangulia na hapa ndipo alipokua anasema Lowasa anahitajika Rais mwenye maamuzi magumu.

Kitu cha pili, Urais sio Chama, Urais ni MTU ndio mana hata Kikwete awamu ya kwanza alishinda kwa zaidi ya asilimia 80% kwa sababu watu walimpenda mtu na sio chama kadharika kwa jambo hili watu walimpenda Lowasa sio CCM.

Ndugu zangu, AIBU HII isiyokwepeka itamkuta kila unayemjua amepindisha na kumharibia aliyestahili kuwa mgombea kupitia CCM na kuwa Rais wa Tz kwa awamu ya Tano.

Hivi karibuni sana mambo haya yatajiri...

Rafiki Mnafiki na mwenye wivu ni hatari sana zaidi hata ya shetani.

Lowassa anachukiwa sana na Nape na Jk
 
Bado nazingoja siku chache sana kwa baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi akiwemo Mwenyekiti wao kukutwa na aibu kubwa ambayo hawataweza kuizuia.

Ndugu zangu jambo hili halihitaji uwe na macho sita au vichwa viwili au kilo 100 za ubongo au uwe una kipaji maalum ndipo utambue kwani jibu lolote la UBAYA mwishowe huwa ni AIBU.

Kama kigezo cha URAIS ni USAFI na UADILIFU basi CCM hakuna hata mmoja ambaye angepita kati ya majina yote yale LAKINI kwakua viliwekwa vigezo vingine vingi saidizi nina imani Mzee Lowasa aliwazidi wengine wote na hilo limejidhihirisha jana mbele kabisa ya Halmashauri Kuu baada ya wajumbe wote kuimba kwa kumsifia Lowasa mbali na kuwa jina lake halikuteuliwa katika Tano Bora.

Dhambi hii ya usaliti wa Kikwete kwa rafiki zake itamtafuna daima kwa uoga wa kuwajibishwa kwa maovu yao mengi waliyoitendea nchi yetu pamoja na watanzania.

Nina Imani Safari ya Matumaini ya Mzee Lowasa haitakufa mpaka malengo yake yatimie na jambo hili ni wazi kwa sababu tayari mzee huyu alikwisha pokelewa na kukubaliwa na watanzania.

Hapa nayakumbuka maneno ya kiongozi mmoja wa dini alisema...."Mungu akitaka kumuangusha mti humtia uchizi ili asione pale anapokosea na mwishowe kuanguka"

Nami leo nimeuona uchizi uliowekwa ndani ya CC, Kamati ya Maadili na kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na kwa hiyo wataanguka tu mbele ya Lowasa siku si nyingi.

Kama malengo ya Lowasa ni kutatua shida za watanzania, kuwatumikia na kuwainulia maisha yao kwa kuongeza kasi ya kukua kwa Uchumi Mdogo na ule Mkubwa basi nia hii bado inaweza kutekelezeka ama ndani ya CCM ama nje ya CCM kisha akina Kikwete watakuja kutuambia kwanini walikua wanamuogopa Lowasa!

Ni jambo la kweli, Magufuli Urais alikua anajaribu tu na hakua amejiandaa kwa namna yeyote ile kuwa kiongozi wa juu wa Taifa na jambo hili litamfanya kuwa Rais atakayeburuzwa na maamuzi ya watu wengine kuliko hata Rais aliyekwisha mtangulia na hapa ndipo alipokua anasema Lowasa anahitajika Rais mwenye maamuzi magumu.

Kitu cha pili, Urais sio Chama, Urais ni MTU ndio mana hata Kikwete awamu ya kwanza alishinda kwa zaidi ya asilimia 80% kwa sababu watu walimpenda mtu na sio chama kadharika kwa jambo hili watu walimpenda Lowasa sio CCM.

Ndugu zangu, AIBU HII isiyokwepeka itamkuta kila unayemjua amepindisha na kumharibia aliyestahili kuwa mgombea kupitia CCM na kuwa Rais wa Tz kwa awamu ya Tano.

Hivi karibuni sana mambo haya yatajiri...

Rafiki Mnafiki na mwenye wivu ni hatari sana zaidi hata ya shetani.

Aibu ni yenu na MANVI wenu kumbukeni kauli yake JK kuwa uraisi wake hauna MBIA aibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu, yen..... .. ...
 
Bado nazingoja siku chache sana kwa baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi akiwemo Mwenyekiti wao kukutwa na aibu kubwa ambayo hawataweza kuizuia.

Ndugu zangu jambo hili halihitaji uwe na macho sita au vichwa viwili au kilo 100 za ubongo au uwe una kipaji maalum ndipo utambue kwani jibu lolote la UBAYA mwishowe huwa ni AIBU.

Kama kigezo cha URAIS ni USAFI na UADILIFU basi CCM hakuna hata mmoja ambaye angepita kati ya majina yote yale LAKINI kwakua viliwekwa vigezo vingine vingi saidizi nina imani Mzee Lowasa aliwazidi wengine wote na hilo limejidhihirisha jana mbele kabisa ya Halmashauri Kuu baada ya wajumbe wote kuimba kwa kumsifia Lowasa mbali na kuwa jina lake halikuteuliwa katika Tano Bora.

Dhambi hii ya usaliti wa Kikwete kwa rafiki zake itamtafuna daima kwa uoga wa kuwajibishwa kwa maovu yao mengi waliyoitendea nchi yetu pamoja na watanzania.

Nina Imani Safari ya Matumaini ya Mzee Lowasa haitakufa mpaka malengo yake yatimie na jambo hili ni wazi kwa sababu tayari mzee huyu alikwisha pokelewa na kukubaliwa na watanzania.

Hapa nayakumbuka maneno ya kiongozi mmoja wa dini alisema...."Mungu akitaka kumuangusha mti humtia uchizi ili asione pale anapokosea na mwishowe kuanguka"

Nami leo nimeuona uchizi uliowekwa ndani ya CC, Kamati ya Maadili na kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na kwa hiyo wataanguka tu mbele ya Lowasa siku si nyingi.

Kama malengo ya Lowasa ni kutatua shida za watanzania, kuwatumikia na kuwainulia maisha yao kwa kuongeza kasi ya kukua kwa Uchumi Mdogo na ule Mkubwa basi nia hii bado inaweza kutekelezeka ama ndani ya CCM ama nje ya CCM kisha akina Kikwete watakuja kutuambia kwanini walikua wanamuogopa Lowasa!

Ni jambo la kweli, Magufuli Urais alikua anajaribu tu na hakua amejiandaa kwa namna yeyote ile kuwa kiongozi wa juu wa Taifa na jambo hili litamfanya kuwa Rais atakayeburuzwa na maamuzi ya watu wengine kuliko hata Rais aliyekwisha mtangulia na hapa ndipo alipokua anasema Lowasa anahitajika Rais mwenye maamuzi magumu.

Kitu cha pili, Urais sio Chama, Urais ni MTU ndio mana hata Kikwete awamu ya kwanza alishinda kwa zaidi ya asilimia 80% kwa sababu watu walimpenda mtu na sio chama kadharika kwa jambo hili watu walimpenda Lowasa sio CCM.

Ndugu zangu, AIBU HII isiyokwepeka itamkuta kila unayemjua amepindisha na kumharibia aliyestahili kuwa mgombea kupitia CCM na kuwa Rais wa Tz kwa awamu ya Tano.

Hivi karibuni sana mambo haya yatajiri...

Rafiki Mnafiki na mwenye wivu ni hatari sana zaidi hata ya shetani.

Maneno ya MFA maji hayo haishi kutapatapa. Unasema kuwa kikwete ni msaliti kwa marafiki zake? Ama kweli we siyo mzalendo wa nchi hii. Kwa mawazo yako ulitaka Kikwete afanye maamuzi ya upendeleo kea marafiki zake hats kama wanasifa mbaya ya wizi na ufisadi kama wa huyo unayompigia debe? Mambo ya uongozi wa nchi hayana urafiki Bali yanaangalia sifa na vigezo na uadilifu wa MTU. Acha kutapatapa ndugu
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom