Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 989
kuwa wapinzani haimaanishi ni maadui, kwenye kazi za kutumikia taifa lazma wawe kitu kimoja
leo kumejaa vi post vingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii vya kutaka kutusahaulisha dhulma za mkwere na ccm yake