kikwete n mikhael gorbachev wa bongo kau ccm kavunja muungano

mdukuzi

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
16,017
35,789
Rais wa mwisho wa USSR Bwana Mikhael Gorbachev inasemekana yeye alikuwa pandikizi la Marekani katika kulivunja Shirikisho la Soviet sasa huyu Profesa TD katumwa na nani maana muungano unavunjika soon na ccm ndio inaanguka
 
Mleta Mada naunga mkono bandiko lako, kwakwel tunashukru huyu rais alikotoka, wabongo kwa maneno ya kawaida hawaelewi dhana ya vyama vya upinzani, yan unatumia mpaka facts kuonyesha umuhm wa mabadilko lakn ngumbaru jingine halielewi kabsa, mzee wa vijcent, mkuu wa kaya, pigeni dili sana watz wajinga
 
Katusaidia kuitoa ccm madarakani bila kutumia nguvu wala kumwaga damu safi sana
 
Rais wa mwisho wa USSR Bwana Mikhael Gorbachev inasemekana yeye alikuwa pandikizi la marekani katika kulivunja shirikisho la Soviet sasa huyu Profesa TD katumwa na nani maana muungano unavunjika soon na ccm ndio inaanguka

Mabadiliko yanatokea pale ambapo jamii inapokuwa tayari kukubali mabadiliko na yenyewe pia kubadilika ili iendane na mabadiliko yenyewe. Haitakiwi jamii iwe "observer" wa kinachotokea ukategemea mabadiliko. Je jamii ya Tanzania ipo tiyari kushiriki na kuwa sehemu ya mabadiliko?
 
Mabadiliko yanatokea pale ambapo jamii inapokuwa tayari kukubali mabadiliko na yenyewe pia kubadilika ili iendane na mabadiliko yenyewe. Haitakiwi jamii iwe "observer" wa kinachotokea ukategemea mabadiliko. Je jamii ya Tanzania ipo tiyari kushiriki na kuwa sehemu ya mabadiliko?
sikuona tofauti ya lile bunge na kipindi naangalia mechi ya manchester na arsenal unaishia klalamikia wenger ,kuingia uwanjani huwezi kufanya sub huwezi kelele zako wala hazisikii na wala hakujui na humfanyi kitu,tubadilike badala ya kuangalia wanasiasa wetu kama wachezaji mpira na sisi tuwe makamisaa na marefa akizingua apewe red card
 
Back
Top Bottom