Kikwete n Bush in Tokyo: The Pictures

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,474
39,987

r4121149237.jpg


"This sucks! am a poddle eh..!?"

2008_07_07t082346_450x244_us_g8_zimbabwe.jpg


"Do you see those mafisadi? " - Bush
"What mafisadi?" - Kikwete

r2286317223.jpg

"Kamu hiya!" - Bush
"Sitaki" - Kikwete
 
r4121149237.jpg

"This sucks! am a poddle eh..!?"​

2008_07_07t082346_450x244_us_g8_zimbabwe.jpg

"Do you see those mafisadi? " - Bush
"What mafisadi?" - Kikwete​

r2286317223.jpg

"Kamu hiya!" - Bush
"Sitaki" - Kikwete

JK anaonekana mwenye mawazo mengi sana!

Hana raha kabisa na hata tabasam lake halionyeshi furaha ya kweli.
Sasa sijui ni mawazo tu ama uchovu wa safari na mikutano!

Tusubiri aje na kutoa maamuzi ya haki kwa MTANZANIA!
Kaazi kweli kweli!

Hiyo picha ya chini alikuwa ameng'ang'ania nini hapo dirishani?

Ama alidhani hapo ni mlangoni? Maana naona ni kama picha na at the same ni kama window! Ila for sure kwa nyuma yao ni mlango!

Huyo aliyepiga hiyo picha ana lake jambo kwani hiyo bendera yenyewe sijuwi jamaa alitaka asimame wapi kwenye pause ya picha na Bush naye naona hakuridhishwa na jamaa kung'ang'ana na dirisha huku kama hataki hata kupiga picha!

Inawezekana kuna mtu ama mwandishi alimlima swali bovu bovu!
 
JK anaonekana mwenye mawazo mengi sana!
Hana raha kabisa na hata tabasam lake halionyeshi furaha ya kweli.
Tusubiri aje na kutoa maamuzi ya haki kwa MTANZANI!
Kaazi kweli kweli!
Hiyo picha ya chini alikuwa ameng'ang'ania nini hapo dirishani?

hahaha!kutokana na datazi inasemekana muungwana alitaka kupitiliza seat yake sasa bush ndio akawa anamuonesha,jamaa kadata,yaani akirudi ndio sijuhi itakuwaje maana bush lazima atamzimua na mambo ya zimbambwe,nyumbani nako wabongo kila kukicha wanatalk about mafisadi,duh
 
Labda bush anambembeleza walete military base tanzania, ndio akanuna hata hamu nae na anatafuta jinsi ya kumkwepa.

Othe other hand anaogopa kutabasamu as ataambiwa kisura! lipi jema kutabasamu na kuitwa kisura au kununa na kuambiwa hana raha
 
hahaha!kutokana na datazi inasemekana muungwana alitaka kupitiliza seat yake sasa bush ndio akawa anamuonesha,jamaa kadata,yaani akirudi ndio sijuhi itakuwaje maana bush lazima atamzimua na mambo ya zimbambwe,nyumbani nako wabongo kila kukicha wanatalk about mafisadi,duh

Kiroboto nashukuru kwa dataz!
Lakini swali ni moja....

Hapo mbele yao ndio kwenye siti? Maana nyuma kuna mlango na Bush ni kama anamvuta ili wapate pause nzuri ya picha!

Hilo eneo linaonekana ni mahususi kwa upigaji wa picha!
Sasa siti ake aliipita na kwenda hadi dirishani?

Ama alitaka kwenda msalani kwa kuutumia mlango uliopo nyuma yao na ama dirisha na Bush akamwambia ngoja kwanza tupige picha ama nikuonyeshe siti yako?

Jamani...Hata CHENGE mwenyewe alijionyesha siti yake na huko UJEPU ni lazima siti ziko well organised kuliko za bunge letu lisilokuwa tukufu tena!
 
Hate him or like him, ila mimi GW Bush namkubali. He does what he believes in! watakao baki wanalia na international law na mengineyo watajijua...

I really like the guy! I might hate some of his policies, but as a human I just like the guy especially maconfidence yake akiwa anawachapa mkwara wale wanaojifanya wameshindikana! Huyu bwana kwake diplomatic language ni unique! Hajuagi kubembeleza kabisa.
 
kikwete karelax mwenzetu na anakwenda na fashion, hata jacket na suruali hazi mechi
 
What the hell is Kikwete wearing? This is the G8 summit for gods sake at least wear a full suit.
 
Maajabu ni kwamba..Kwenye hiyo G8 summitt...Kumbe hata pesa ambazo wameshatoa kwa makubaliano ya Afrika..Bado hazijafikia kiasi cha pesa ambazo mafisadi wameshakwapuwa!
Kwa mfano...Hadi sasa wameshatoa bilioni tatu za kimarekani na wakati pesa zaidi ya hizo zimekombwa na mafisadi chini ya miaka saba iliyopita!
Hivyo basi...Binafsi sitakubali msaada wowote uletwe Tanzania kabla ya mafisadi kukamatwa!
Nitapiga kelele sana tu!
 
Kiroboto nashukuru kwa dataz!
Lakini swali ni moja....

Hapo mbele yao ndio kwenye siti? Maana nyuma kuna mlango na Bush ni kama anamvuta ili wapate pause nzuri ya picha!

Hilo eneo linaonekana ni mahususi kwa upigaji wa picha!
Sasa siti ake aliipita na kwenda hadi dirishani?

Ama alitaka kwenda msalani kwa kuutumia mlango uliopo nyuma yao na ama dirisha na Bush akamwambia ngoja kwanza tupige picha ama nikuonyeshe siti yako?

Jamani...Hata CHENGE mwenyewe alijionyesha siti yake na huko UJEPU ni lazima siti ziko well organised kuliko za bunge letu lisilokuwa tukufu tena!
yeah,hapo mbele kulikuwa na paparazi,kushoto kwa kisura kuna mlango ,kwa mbele zaidi u go to the seat,kisura alitaka kuikwepa hiyo picha wakati mzee bush alikuwa halijuhi hilo,so akamuona jamaa kama anataka toka nje,ikabidi ampull kiutu uzima.jamaa hataki aonekane kama yupo karibu sana na bush,si unajua waandishi wengi wa habari wapo kutaka kujua kinajiri nini kati ya kisura na bushi kuhusu issue ya zimbabwe.mie nakuambia kisura anajuta kupewa AU hasa katika kipindi hiki kigumu
 
Collectively, the G-8 has delivered just $3 billion of the $25 billion in additional aid pledged to Africa in 2005, according to DATA, which stands for Debt, AIDS and Trade in Africa, a group founded by U2 singer Bono and music producer Bob Geldof, both of whom are active in campaigns for Africa.
Germany, the U.S. and Britain were following through on commitments, while progress from Japan, France, Italy and Canada was either unclear or weak, DATA said.

Pesa kama hizo hapo kwenye highlights(BILIONI TATU ZA US) zimeshatolewa na wafadhili ndani ya miaka mitatu!

Na Wakati huo huo...pesa zaidi ya hizo zime kwapuliwa na MAFISADI CHINI YA MIAKA SABA!

Tena hizo ni zile tunazofahamu! Ukijumlisha na vile tusivyofahamu utagunduwa kuwa sisi ni MATAJIRI!

SASA MSAADA WA NINI?
 
Labda bush anambembeleza walete military base tanzania, ndio akanuna hata hamu nae na anatafuta jinsi ya kumkwepa.

Othe other hand anaogopa kutabasamu as ataambiwa kisura! lipi jema kutabasamu na kuitwa kisura au kununa na kuambiwa hana raha

...Mama kweli umepinda...Muungwana anaogopa kuitwa kisura tena??? Duh!!! hii kiboko....taratibu basi...
 
Naona kama kawaida ya viongozi wetu yupo anajipendekeza kwa wakubwa wake kwani hamjui? Si mmesikia walikuwa na press conference pamoja?
 
yeah,hapo mbele kulikuwa na paparazi,kushoto kwa kisura kuna mlango ,kwa mbele zaidi u go to the seat,kisura alitaka kuikwepa hiyo picha wakati mzee bush alikuwa halijuhi hilo,so akamuona jamaa kama anataka toka nje,ikabidi ampull kiutu uzima.jamaa hataki aonekane kama yupo karibu sana na bush,si unajua waandishi wengi wa habari wapo kutaka kujua kinajiri nini kati ya kisura na bushi kuhusu issue ya zimbabwe.mie nakuambia kisura anajuta kupewa AU hasa katika kipindi hiki kigumu

Mmhh!!! Gotcha!!! wewe Kiroboto hizo fine details na unavo-elaborate hiyo room kama vile nyumbani kwako? mbele kuna nini, nani alikuweko mbele? It brings me to one conclusion! You are one among the Presidential's entourage who were definately in the room! as a paparazi or Shushushu I think? Au unatufunga magoli? By the way ahsante kwa ufafanuzi !!!
 
Maajabu ni kwamba..Kwenye hiyo G8 summitt...Kumbe hata pesa ambazo wameshatoa kwa makubaliano ya Afrika..Bado hazijafikia kiasi cha pesa ambazo mafisadi wameshakwapuwa!
Kwa mfano...Hadi sasa wameshatoa bilioni tatu za kimarekani na wakati pesa zaidi ya hizo zimekombwa na mafisadi chini ya miaka saba iliyopita!
Hivyo basi...Binafsi sitakubali msaada wowote uletwe Tanzania kabla ya mafisadi kukamatwa!
Nitapiga kelele sana tu!

Tutakukamata na kukutia pilipili machoni.Too much kelele na mikwara kibao
 
Tutakukamata na kukutia pilipili machoni.Too much kelele na mikwara kibao

Mr Kiroboto...Na huyo hapo juu alikuwepo kwenye conference?
Maana naona Leo kweli kazimia na mpambe wake kakolezea!
 
hivi huyu raisi wetu ana ma-stylists wakumsaidia kuchagua na ku-match pamba anazovaa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom