Kikwete mteue Rostam kuwa Waziri, Yes I dare you!

Kinacho nishangza Kwa mwanakijiji mara nyingine post zake huwa hazina maana kwa mtazamo wangu.

Lakini yeye mwenyewe amethibitisha kuwa katika tuhuma zote hizi RA jina lake halipo hivi unataka Rais atumie sheria ya kuweka watu kizuizini ambayo ilifutwa hapa nchini.

Unataka RA afikishwe mahakamani kwa tuhuma ambazo atashinda. Lawama bila uthibitisho ni zilezile anazotoa mzee Mengi. Anapotakiwa atoe ushahidi na vyombo vya Dola anadai anasakamwa.

Unajua watu wa aina ya Mengi wanaweza kuwa na mambo mawili. Moja kutaka kuitenganisha serikali na wananchi kwa maslahi yake hakuna asiyejua kwamba mengi anataka U-rais lakini hajui njia ya kuitumia. Pili inawezekana anamatatizo ya akili. You never know, kwa sababu wimbo wa mafisadi amekuwa akiuimba bila kuonyesha ushahidi. Achukue hatua kwanza aeleze ushahidi, anaweza hata kuchukua hatua ya kuwashitaki mafisadi. Kwa kutumia haki ya yeye kuwa mwananchi.

Vinginevyo tutaiangamiza nchii kwa manufaa ya mafisadi au madiktea wangine. Watanzania lazima tuwe waangalifu watu aina ya Mengi. Hivi toka lini tajiri akawa msafi? Hivi toka lini mtu anayefanya biashara ya kawaida akawa na fedha za kumwaga hovyo kwa kisingizio cha kusaidia wananchi.

Mwanakijiji hebu chunguza wote waliomwaga faedha zao kwa mambo ya mpira utajiri wao uko wapi? Ambao hadi sasa matajiri wachunguze kama walilipa kodi kihalali. Kama hawana uhusiano wowote na mihadarati kisha uje na post tuijadili.


Mkuu Saidsabke,

Nimekusikia na nimekupata vizuri lakini nafikiri ama uwezo wako wa kupambanua mambo ni mdogo au umeandika kwa kutetea tu maslahi ya waliokutuma kwani kwa sasa inaeleweka forum ina vimeo kibao.

Hivi wewe unaamini kwamba Mengi ni mpumbavu kiasi hicho? Ni vyombo gani hivyo ambavyo ulitaka Mengi apeleke ushahidi wake? Takukuru, Polisi, au wapi? Hivyo vyote ni vyombo vya serikali na serikali ni ya kifisadi. Hakuna mtu mwenye akili Tanzania ya leo anayeweza kupeleka eti ushahidi wa ufisadi kwa Mwema au Hosea. Jambo la msingi ungewashauri hao waliotajwa hadharani kwamba ni mafisadi waende mahakamani wamshitaki Mengi kwa kuwakashfu and then Mengi angepeleka ushahidi mahakamani wakati wa kujitetea na si vinginevyo.

Endelea kula hizo pesa za ufisadi lakini mwisho wake hauko mbali. Tumechoka!!!!!!
 
Rostam Aziz now said to be `damaging` CCM reputation
-Ruling party stalwarts asking more and more questions

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

CORRUPTION allegations surrounding business tycoon Rostam Abdulrasul Aziz, who holds senior leadership positions in Chama Cha Mapinduzi (CCM), are ’’damaging the reputation of the ruling party ahead of the 2010 general elections,’’ according to ruling party insiders.

The businessman-cum-politician currently serves as member of parliament for Igunga Constituency and member of the powerful CCM central committee, and was the party’s national treasurer for a lengthy period in the not-so-distant past.

It has however, now come to light that Rostam’s status is steadily dropping in the eyes of an increasing number of senior CCM leaders, who believe he is becoming more of an ’’electoral liability’’ for the ruling party.

’’He mainly gained influence in the ruling party because of his various fund-raising abilities during election time. But he has now actually become an electoral liability for us, especially since he still occupies top leadership positions,’’ an official close to the CCM top leadership hierarchy told THISDAY.

’’It is no secret that Rostam has been thoroughly tarnished by allegations of corruption mounting up against him. In fact, he is now damaging the reputation of the ruling party ahead of the 2010 general elections,’’ the official said.

Another ruling party insider remarked: ’’CCM can never dare ask him (Rostam) to address public rallies during election campaigns outside his Igunga Constituency. We know it would be a disaster because he is widely seen as lacking the moral authority to do so.’’

A growing number of established CCM cadres seem to agree that the Igunga legislator has managed to maintain his leadership positions within the ruling party largely thanks to his strong influence among key members of the party’s secretariat and other crucial party departments.

They point to the fact that while at least three ’heavyweight’ political heads tumbled as a result of the Richmond energy generation scandal, Rostam was left largely unscathed despite also being heavily implicated.

The scathing Richmond report led to the resignations of former prime minister Edward Lowassa, and cabinet ministers Nazir Karamagi and Dr Ibrahim Msabaha.

But despite being linked alongside them in the report, Rostam has continued to hold on to his ruling party posts regardless of National Assembly-approved recommendations that all individuals implicated in the scandal should be dropped by both party and government.

’’He became an MP in 1994 at the age of just 25. Some people now even describe him as a ’king maker’ due to the influence he apparently wields in the ruling party,’’ said another political observer.

However, his available public records are scant. According to the National Assembly website, he was born on December 31, 1969, and holds a BA degree in economics. The name of the university he attended is missing.

On Rostam’s employment history, the Bunge website says he worked at unspecified periods in the following companies:

Research on Business (managing director), Africa Trade Development (director), Africa Tanneries Limited (director), Tanzania Leather Industries Limited (director), and Caspian Construction Limited (director).

Although his official CV links him to the above-mentioned companies only, Rostam has also been associated with more than a dozen other companies with little-specified business dealings.

Allegations of his involvement in some especially shadowy companies started to emerge after he was associated with proven fraudulent companies such as Richmond Development Company and Kagoda Agriculture Limited.

Though the infamous Kagoda company was used to loot more than 40bn/- from the Bank of Tanzania’s external payment arrears (EPA) account, its owners have so far escaped indictment and prosecution by government organs.

Karatu member of parliament Dr Wilbrod Slaa, from the opposition CHADEMA party, first linked Rostam to Kagoda in 2007 when publicly unveiling the infamous ’’List of Shame.’’

And although the businessman-cum-politician denied any links with the EPA fraud, it has since been established that the contact numbers of two other companies linked to Rostam were identical to that used by Kagoda.

Afritainer Limited and Africa Trade Development, both of which are associated with Rostam, used the same Dar es Salaam-listed telephone number (2861371) and fax number (2861372) as those used by Kagoda.

Similarly, Dowans Holdings company - which inherited the dubious Richmond company - used an email address similar to Caspian Construction, yet another Rostam stronghold.

According to official government records, African Trade Development (T) Limited lists its directors as Rostom A. Sakarri, Rostam Sakarri, Rustom Aziz Sakarri, Rustam Sakarri and Rustam Sakaari.

Another name associated with Rostam, Gulam Chaka alias Gulam Chakar, also appears as one of the shareholders in the controversial Tanzania International Container Terminal Services (TICTS).

It has also emerged that while Rostam has publicly acknowledged that he is proprietor of media house New Habari Corporation which publishes Rai, Mtanzania, The African and other newspapers, his name does not appear in the company’s official shareholders’ records.

’’It is quite clear that this fellow likes to operate in a shadowy manner. Everything about him is a mystery - his birthplace, his true nationality, his education background, the number of legitimate businesses he owns, etcetera,’’ said the CCM insider.

source:ThisDay
 
Last edited:
Licha ya tuhuma zilizomzunguka Basil Mramba, Kikwete alimteua kuwa Waziri wake. Licha ya tuhuma zilizomkabili Andrew Chenge, Kikwete alimteua mara mbili kuwa Waziri wake. Kama vile mtu asiyejali tuhuma zinazowakabili watu mbalimbali ndani ya serikali yake (Masha mfano mzuri) Kikwete ameendelea kuwazawadia na kutenda kana kwamba yote yanayozungumzwa yanatokea katika nchi ya kufikirika.

Sasa, mimi ninapendekeza ili yote haya yaishe tujue moja, Rais Kikwete amteue rafiki yake wa karibu na anayesadikiwa kuwa ni mshirika wake pia wa kibiashara na kuwadi wa madeal yake ya kibiashara Mbunge wa Igunga Mhe. Rostam Aziz kuwa Waziri wa Fedha.

Na kama ikiwezekana anaweza kabisa kumpa Uwaziri Mkuu ili yaishe tu. Ni mara ngapi sasa anatuletea watu wale wa karibu ya Vodacom (72 hours) na kuendelea kutuzuga vichwa vyetu. Nianze tena kuhesabu watu wenye mahusiano na Rostam na Vodacom ambao Kikwete amewasogeza karibu na sekta nyeti kana kwamba ndio wale Yesu aliwazungumzia kwenye hotuba ya Mlimani?

I mean, pale aliposema "heri wanaohusiana na Vodacom, maana hao watairithi nchi (Tanzania)"!?

Sasa badala ya kuzugana na kuzungushana ni bora tu waifanye Vodacom kuwa kitengo cha serikali na Rostam kuwa Waziri wa Fedha (au Waziri Mkuu, chochote atachoamua RA).

Mwanzoni alipoingia madarakani tetesi zilikuwepo kuwa RA angeweza kupewa Uwaziri lakini yeye mwenyewe RA (au kwa ushauri wa wengine) ali decline. Sasa kwa vile muhula wa kwanza ndio huo unakwisha, ni bora kumpa Uwaziri wa Fedha.

May be not, Nadhani ampe Uwaziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa. Labda hiyo siyo nzuri sana. Pengine Uwaziri wa Biashara na Mipango. Siyo hilo? Vipi kuhusu Uwaziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora)?

Vyovyote vile, mimi nakupigia magoti mheshimiwa Rais mpe Uwaziri Rostam ili hatimaye binafsi nijue umeamua kututukana kwa jumla Watanzania kuliko huu mtindo wa reja reja. Mpe tu, tena ukipenda unaweza kumtengenezea cheo cha "Naibu Rais" or something flashy like "Deputy Prime Minister and Minister of Finance and Special Advisor to the President on Economic Affairs with Special Portfolios"!

very intresting umeeleza mawaziri sijui wafanyabiashara wote wahalifu aliowarudisha inaonekana unafuatilia karibu sana ufisadi nchini asante na umetufunza wengi au kutufanya tufuatilie mengi tuliokua atuyajui especially ambao atupo nyumbani. Majuzi tumekupongeza for your 15,000 post narudia tena asante. lakini after all the posts uoni kama mambo ni yale yale yanajirudia fake contracts, sly politicians, waste of government funds, unncessary purchases, the suffering of Tanznanians due to those problems, etc, etc, etc, lakini matatitizo ni yale yale yanajirudia tofauti ni maandishi yanayokuja "paka kala mchuzi", "mchuzi umelambwa na paka", "mboga imechukulia na paka" the message is the same au? kwa post zako ni majina tu yanabadiliki michezo ni ile ile.

kama utaniona naongea rubbish ebu soma paragraph yako ya kwanza again mambo ni yale yale repetitive stupidity. mi nadhani wengi tumeshajua what are the main problems so it wont be a schock tommorow if Lowassa was appointed the governor of BoT nor where RA is posted. because that's how things are at the moment, the problem believe me is not Kikwete its the system at the moment whoever becomes the Next president nothing is ever going to change msijidanganye kwa sababu rahisi ana soo much power at the moment nguvu zake anaweza pinga mjadala wowote bila ya mahakama, kumteua mtu yeyote asimamie kitu chochote bila chombo chochote kubisha.
Haya baraza la Bunge alina Upinzani wowote wa kusema kama wabunge awapeleki mahakamani sisi tutapeleka mahakamani, isitoshe wabunge wenyewe ndio tunaowashutumu wezi. Yaani the whole system at the moment is vulnarable to withstand embezzelment. ni mchezo tu, tena ni mchezo wa kuigiza kama atuendi kwenye Chanzo chenyewe, kinacho itajika ni katiba mpya kwanza before anything else. Vinginevyo ni kumpigia mbuzi gitaa.

Mungu Ibariki Tanznania
 
Last edited by a moderator:
Kilichomfanya JK aendelee kuteua anavyotaka ni BUNGE hili tulilonalo. Alipomteua Lowassa kuwa WM, Bunge likamuidhinisha kwa asilimia zaidi ya 99! Yalikuwa yanasemwa mambo mengi tu kuhusu EL tangu mwaka 1995. Baadaye ndipo wameanza kujitokeza hawa manabii tulionao Bungeni wanaohubiri kupinga ufisadi. Na hii ndio Tanzania zaidi ya tunavyoifahamu.
 
Back
Top Bottom