Kikwete- Msimamo wake kwa Omari Bashir hadi Kulaani Mapigano ya Israel – Gaza

Shadow

JF-Expert Member
May 19, 2008
2,897
671
Should we call this double standard? Wakati ICC walipotoa warrant ya kukamatwa kwa rais wa sudan kwa sababu ya mahujaji ya weusi yanayooongozwa na waarabu kule Darfur, Mh. JK alilaani kile kitendo. Sasa hivi kupigwa kwa Hamas kule Gaza, JK amelaani.
Kuuwawa kwa wakongo na wakina Laurent Nkunda, JK Kauchuna. Hivi inamaaminisha mtu mweusi hana thamani?
Africans, we need to wake up!!
 
Nchi zetu hizi zimekuwa zikiburuzwa kwenye maandamano yasiyo na maana yeyote kwenye bara letu.
Nchi kama Russia haiwezi kuilaani Israel kwa vitendo vyake huko GEORGIA,CHECHENYA.
Sudan hawawezi kuilaani Israel kwa vitendo vyao vya mauaji ya halaiki huko DARFUL
Tanzania hatuwezi kuilaani Israel kwa vitendo vilivyofanywa huko ZANZIBAR.
China nayo haiwezi kuilaani Israel kwa vitendo inavyovifanya kwa wananchi wake.
Hamas nayo haina haki ya kuilaani Israel maana wao ndio wamekuwa waanzilishi wa vurugu,hivyo kusababisha kipigo kinachoendelea sasa hivi,wamekuwa wakirusha makombola nchini Israel kwa kipindi kirefu licha ya Israel kuwaonya mara kadhaa.
Nchi nyingi zinalaani kutokana na UJUHA wetu maana wahenga walisema NYANI HAONI KUNDULE.
 
Nchi zetu hizi zimekuwa zikiburuzwa kwenye maandamano yasiyo na maana yeyote kwenye bara letu.
Nchi kama Russia haiwezi kuilaani Israel kwa vitendo vyake huko GEORGIA,CHECHENYA.
Sudan hawawezi kuilaani Israel kwa vitendo vyao vya mauaji ya halaiki huko DARFUL
Tanzania hatuwezi kuilaani Israel kwa vitendo vilivyofanywa huko ZANZIBAR.
China nayo haiwezi kuilaani Israel kwa vitendo inavyovifanya kwa wananchi wake.
Hamas nayo haina haki ya kuilaani Israel maana wao ndio wamekuwa waanzilishi wa vurugu,hivyo kusababisha kipigo kinachoendelea sasa hivi,wamekuwa wakirusha makombola nchini Israel kwa kipindi kirefu licha ya Israel kuwaonya mara kadhaa.
Nchi nyingi zinalaani kutokana na UJUHA wetu maana wahenga walisema NYANI HAONI KUNDULE.


Echolima kwa hiyo kuna double standard au ndo mambo ya sintofahamu?
 
Nchi zetu hizi zimekuwa zikiburuzwa kwenye maandamano yasiyo na maana yeyote kwenye bara letu.
Nchi kama Russia haiwezi kuilaani Israel kwa vitendo vyake huko GEORGIA,CHECHENYA.
Sudan hawawezi kuilaani Israel kwa vitendo vyao vya mauaji ya halaiki huko DARFUL
Tanzania hatuwezi kuilaani Israel kwa vitendo vilivyofanywa huko ZANZIBAR.
China nayo haiwezi kuilaani Israel kwa vitendo inavyovifanya kwa wananchi wake.
Hamas nayo haina haki ya kuilaani Israel maana wao ndio wamekuwa waanzilishi wa vurugu,hivyo kusababisha kipigo kinachoendelea sasa hivi,wamekuwa wakirusha makombola nchini Israel kwa kipindi kirefu licha ya Israel kuwaonya mara kadhaa.
Nchi nyingi zinalaani kutokana na UJUHA wetu maana wahenga walisema NYANI HAONI KUNDULE.

Check your facts properly before posting. It seems that you have fallen victim to Israeli propaganda. It were the Israelis who broke the ceasefire by continuously killing Palestinians. Palestinians have been living under a harsh occupation for years, some have even claimed it is worse than what the South African apartheid was. The Palestinians have the right to liberate themselves.
 
Check your facts properly before posting. It seems that you have fallen victim to Israeli propaganda. It were the Israelis who broke the ceasefire by continuously killing Palestinians. Palestinians have been living under a harsh occupation for years, some have even claimed it is worse than what the South African apartheid was. The Palestinians have the right to liberate themselves.

Kitia, bado swali langu alijapata jibu. Bado naona double standard hapa, mbona hatuandamani kulaani mauaji ya Wabantu wa Kongo na Sudan? au Janjaweed hawana tofauti na waisrael? au msiba wa waswahili hauna waliaji? au ndo mambo ya 'the animal farm' kwamba 'some animals are more equal than others!
 
Back
Top Bottom