trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Nimemnukuu hotuba yake ya May Day leo....
Ameelezea alivyoempower taasisi ya Ukaguzi wa Mahesabu ya Serikali (CAG). Kisha akatoa maneno hayo akimwelekeza CAG,atakapowaface Mawaziri,na Makatibu wao,na pale alipoitisha mkutano na Wakurugenzi na Wenyeviti wa H'shauri/Manispaa..
My take:
Bado anasound vile vile.. "Hana lawama,asilaumiwe yeye.."
Ameelezea alivyoempower taasisi ya Ukaguzi wa Mahesabu ya Serikali (CAG). Kisha akatoa maneno hayo akimwelekeza CAG,atakapowaface Mawaziri,na Makatibu wao,na pale alipoitisha mkutano na Wakurugenzi na Wenyeviti wa H'shauri/Manispaa..
My take:
Bado anasound vile vile.. "Hana lawama,asilaumiwe yeye.."