Uchaguzi 2020 Kikwete, Mizengo Pinda na Kassim Majaliwa hamna ushawishi wowote kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, huko kwenye kampeni mlikojiingiza mnachorwa tu

Kuna jambo moja linasemwa sana, na wewe hapa umelisema, 'mtu wa visasi'. Kisasi ni malipizi kwa mtu aliyekuumiza. Sasa hebu niambie akina nani hao walianza kukuumiza yeye kabla na walimuumizaje mpaka awafanyie visasi'? Kwanza tupunguze blanketi statement na mambo yanaodhaniwa kufahamika wakati hayafahamiki.
unajua kuna watu wengine hata kama ulichukua demu wake mkiwa O'LEVEL , au labda ulimnyima pafu ya bangi maskani basi akipata madaraka atalipiza kisasi
 
Mnafurahisha mnaposhambulia mtu binafsi badala ya Sera za Chama zao mkidhani wanayotekeleza ni kwa matakwa yao kama ilivyo CHADEMA SACCOS ya Mbowe.

Kwa vitendo vyenu vya kuwashambulia viongozi wa CCM, walioheshimika na wanachama, hakija mnajijengea chuki. Hao wanachama (>milioni 12) watawaadhibu kwa kura. Hata wachache ambao hakupendezwa na uongozi wa hao, hawatapiga kura za chuki.

Je, CHADEMA ina wanachama wangapi watiifu wa kuwapigia kuea wagombea, ikizingatiwa:-
1) Mgombea, kweye kampeni zake hadi sasa, Sera yake ni kuchochea chuki dhidi ya Magufuli. Hili linamtenga na jamii iliyostaarabika (milioni 5 ya wapiga wasio wanachama wa CCM;
2) Sera ya "haki, uhuru na maendeleo ya watu" ni nadharia ya kisomi ambayo hata Mgombea wa Urais ameshindwa kuielezea, sembuse wabunge na madiwani. Kwa ushahidi, hao wagombea wa CHADEMA, kama hawatukani kwenye kampeni, wamesikika wakitoa ahadi za "maendeleo ya vitu".
3) Viongozi wa CHADEMA wameshindwa kuwapa imani wanachama wao kwa matumizi yasioeleweka ya ruzuku kiasi cha kupitisha bakuli la kuchangia gharama za kampeni.
4) Tuhuma za ulevi wa M/Kiti, Mbowe, na matumizi mabaya ya fedha za chama, ikiwemo rukuzu, kushindwa kujenga ofisi, ni kigugumizi kuzijibu.

Katika mazingira hayo, CHADEMA yenye wanachama, wasiozidi milioni 4, kutegemea ushindi ni ndoto za alinacha. Wasio na vyama nao wanasita kuamini viongozi wasiominika kwa wanachama wao.
Nani kakudanganya kwamba Magufuli anafuata sera za ccm ?
 
Nani kakudanganya kwamba Magufuli anafuata sera za ccm ?
Weka lolote lililofanywa kinyume na Ilani kama unaijua? Najua hujui hata maana ya Ilani kwa kuwa hicho chama hakina kama kinayo viongozi hawaifuati kitendo cha kufisadi fedha ya wabunge waliochangia kwa ajili ya uchaguzi, sasa bakuli la ombaomba linatembezwa

Wewe unamdanganya nani nyuma ya "keyboard". Unachoweza ni kuwatukana viongozi tu.
 
Weka lolote lililofanywa kinyume na Ilani kama unaijua? Najua hujui hata maana ya Ilani kwa kuwa hicho chama hakina kama kinayo viongozi hawaifuati kitendo cha kufisadi fedha ya wabunge waliochangia kwa ajili ya uchaguzi, sasa bakuli la ombaomba linatembezwa

Wewe unamdanganya nani nyuma ya "keyboard". Unachoweza ni kuwatukana viongozi tu.
Ndani ya Ilani ya ccm 2015 - 2020 kuliwekwa kipengere cha kuwarejesha masomoni watoto wa kike waliopata ujauzito , nadhani unakumbuka kilichosemwa na Magufuli kuhusu jambo hili , huyu anafuata ilani ya nani ?
 
Ndani ya Ilani ya ccm 2015 - 2020 kuliwekwa kipengere cha kuwarejesha masomoni watoto wa kike waliopata ujauzito , nadhani unakumbuka kilichosemwa na Magufuli kuhusu jambo hili , huyu anafuata ilani ya nani ?
Weka hicho kifungu cha Ilani ya CCM, 2015. CCM ni taasisi siyo mtu na ndiyo maana inaisimamia kikamilifu Serikali yake
 
Mmeanza kuweweseka....
Kuna mambo huwa yananichanga sana yaani sanaa

Kila uchaguzi kuna chama cha Kijani kinadai kinatuletea Tanzania Mpya.

Nafikiri huwa wanamaanisha upya wa matatizo, ujinga na umaskini.

Fikiria kwa miaka 55+ sasa - wanasema tusichague wengine kwa kuwa wataondoa amani lakini wakati chini ya utawala wao wa kiimla tuna WASIOJULIKANA,VIROBA FUKWENI, Disapperance of Azory , kutapeliwa korosho zetu, Kuvunjwa haki za binadamu na sheria mbaya za ovyo ovyo
 
Naunga hoja...hawana umaana wowote. Wamekosa mvuto sio wa kijamii au kisiasa...watupishe na unafiki wao!


Nikianza na Kikwete, huyu mambo yote yalimvurugikia mwaka 2015 kutokana na kutokujiamini na uoga wake dhidi ya Lowassa, akaboronga na kupeleka nchi kushoto kwa kucheza kamari ya hatari sana na kumpa nchi mtu asiyestahili, katili na mwenye visasi vya hovyo sana ambavyo havijawahi kutokea kwenye nchi hii. Matokeo yake nchi yetu imerudi utumwani huku watu wakitekwa na kupotea katika mazingira ya hovyo sana yenye kuiletea nchi aibu duniani.

Hata hivyo Kikwete hajawahi kukemea unyama huu wa kishamba, na tangu hapo wananchi wamemdharau sana, japo ameonekana Lindi kwenye mkutano wa kampeni wa CCM, wengi hawakuguswa na uwepo wake na wanaamini alikuja mahususi kumpigia kampeni mkewe, ambaye alifikia kuwa first lady lakini sasa anaomba tena ubunge. Maajabu! Kwa kifupi Kikwete ndio aliyesababisha nchi hii kuwa hivi, wananchi hawatamsamehe.

Mizengo Pinda, huyu hana uwezo wa kumshawishi yeyote kuhusu siasa za Tanzania , hana uwezo na wala hajawahi kukemea maovu popote Tanzania, wananchi siyo Wajinga na wanazo kumbukumbu na akili timamu. Pinda alipokuwa Waziri Mkuu alimzuia Magufuli aliyekuwa Waziri wa Ujenzi kubomoa jengo la Tanesco Ubungo kwa kisingizio kwamba liko kwenye hifadhi ya barabara. Hata hivyo, baada ya Magufuli kuwa Rais akarudi tena Ubungo na kulibomoa jengo lile kiroho mbaya bila huruma na wala bila faida yoyote, Pinda aliona lakini akaufyata, mtu kama huyu anaweza kumshawishi mwananchi gani kuichagua CCM?

Kasimu Majaliwa, huyu ndio funga kazi kabisa! Hana ubunifu na wala hajawahi kuwa nao. Katika kipindi chake chote cha miaka mitano alichofanya ni kupandisha ligi kuu kimagumashi timu ya kwao inayoitwa Namungo na kutumia pesa ya umma kujenga uwanja wa soka kwao. Hana alilolifanya zaidi ya kusoma hotuba za kufunga ama kufungua bunge. Aliufyata alipoambiwa mashangazi zake watatandikwa makofi kwenye sakata la korosho, ndugu zake wakazama kwenye mafuriko huku yeye akijificha DSM.

Kwa kumbukumbu zangu huyu ndio Waziri Mkuu wa kiwango cha chini kabisa kuwahi kuwepo nchi hii, hana ubunifu wowote na kuna taarifa kwamba kwao hatakiwi kabisa na wananchi. Hii ndio sababu ya Wagombea ubunge Ruangwa wa vyama vingine kutekwa na kunyimwa fomu ili apitishwe bila kupingwa. Huyu hana uwezo wa kumshawishi mtu yeyote kuichagua CCM. Kampeni anazozifanya ni sawa na kupoteza muda tu.

Itaendelea...
 
unajua kuna watu wengine hata kama ulichukua demu wake mkiwa O'LEVEL , au labda ulimnyima pafu ya bangi maskani basi akipata madaraka atalipiza kisasi

Hujasema kitu. Unapomtaja mtu specifically ana visasi' ni lazima useme anamfanyia nani kisasi na huyo anayelipuziwa kisasi alimtendea jambo baya mlipizaji. La sivyo unabaki kuwa uongo tu mnaourudiarudia uwe ukweli lakini mnapoulizwa justification mnakuja na stori za kitoto, ooh, sijui demu O level. Hizi ni ishu za Taifa, uhai na ustawi wa mamilioni ya watu, msitumie ashki zenu kutengeneza uongo ambao unaweza kuja kuathiri vizazi na vizazi. Umefika wakati tuache uzushi kwa sababu ya ushabiki wa kijinga. Tuziulize nafsi zetu Kama hata zenyewe zinaamini huu uongo tunaotungatunga kila kukicha?
 
Hujasema kitu. Unapomtaja mtu specifically ana visasi' ni lazima useme anamfanyia nani kisasi na huyo anayelipuziwa kisasi alimtendea jambo baya mlipizaji. La sivyo unabaki kuwa uongo tu mnaourudiarudia uwe ukweli lakini mnapoulizwa justification mnakuja na stori za kitoto, ooh, sijui demu O level. Hizi ni ishu za Taifa, uhai na ustawi wa mamilioni ya watu, msitumie ashki zenu kutengeneza uongo ambao unaweza kuja kuathiri vizazi na vizazi. Umefika wakati tuache uzushi kwa sababu ya ushabiki wa kijinga. Tuziulize nafsi zetu Kama hata zenyewe zinaamini huu uongo tunaotungatunga kila kukicha?
Kama ujui kusoma hata picha huwezi elewa hasa mahaba yakiwa mbele.
Hao wangepewa haki ya kugawa pumzi wallahi hakuna angelibaki duniani,umeshawi sikia PhD ya visasi
 
Nikianza na Kikwete, huyu mambo yote yalimvurugikia mwaka 2015 kutokana na kutokujiamini na uoga wake dhidi ya Lowassa, akaboronga na kupeleka nchi kushoto kwa kucheza kamari ya hatari sana na kumpa nchi mtu asiyestahili, katili na mwenye visasi vya hovyo sana ambavyo havijawahi kutokea kwenye nchi hii. Matokeo yake nchi yetu imerudi utumwani huku watu wakitekwa na kupotea katika mazingira ya hovyo sana yenye kuiletea nchi aibu duniani.

Hata hivyo Kikwete hajawahi kukemea unyama huu wa kishamba, na tangu hapo wananchi wamemdharau sana, japo ameonekana Lindi kwenye mkutano wa kampeni wa CCM, wengi hawakuguswa na uwepo wake na wanaamini alikuja mahususi kumpigia kampeni mkewe, ambaye alifikia kuwa first lady lakini sasa anaomba tena ubunge. Maajabu! Kwa kifupi Kikwete ndio aliyesababisha nchi hii kuwa hivi, wananchi hawatamsamehe.

Mizengo Pinda, huyu hana uwezo wa kumshawishi yeyote kuhusu siasa za Tanzania , hana uwezo na wala hajawahi kukemea maovu popote Tanzania, wananchi siyo Wajinga na wanazo kumbukumbu na akili timamu. Pinda alipokuwa Waziri Mkuu alimzuia Magufuli aliyekuwa Waziri wa Ujenzi kubomoa jengo la Tanesco Ubungo kwa kisingizio kwamba liko kwenye hifadhi ya barabara. Hata hivyo, baada ya Magufuli kuwa Rais akarudi tena Ubungo na kulibomoa jengo lile kiroho mbaya bila huruma na wala bila faida yoyote, Pinda aliona lakini akaufyata, mtu kama huyu anaweza kumshawishi mwananchi gani kuichagua CCM?

Kasimu Majaliwa, huyu ndio funga kazi kabisa! Hana ubunifu na wala hajawahi kuwa nao. Katika kipindi chake chote cha miaka mitano alichofanya ni kupandisha ligi kuu kimagumashi timu ya kwao inayoitwa Namungo na kutumia pesa ya umma kujenga uwanja wa soka kwao. Hana alilolifanya zaidi ya kusoma hotuba za kufunga ama kufungua bunge. Aliufyata alipoambiwa mashangazi zake watatandikwa makofi kwenye sakata la korosho, ndugu zake wakazama kwenye mafuriko huku yeye akijificha DSM.

Kwa kumbukumbu zangu huyu ndio Waziri Mkuu wa kiwango cha chini kabisa kuwahi kuwepo nchi hii, hana ubunifu wowote na kuna taarifa kwamba kwao hatakiwi kabisa na wananchi. Hii ndio sababu ya Wagombea ubunge Ruangwa wa vyama vingine kutekwa na kunyimwa fomu ili apitishwe bila kupingwa. Huyu hana uwezo wa kumshawishi mtu yeyote kuichagua CCM. Kampeni anazozifanya ni sawa na kupoteza muda tu.

Itaendelea...
Wanatafuta per diem tu hawana kitu kabisa waachane na siasa.
 
Back
Top Bottom