Ustaadh
JF-Expert Member
- Oct 25, 2009
- 413
- 19
Kumezuka wimbi la baadhi ya viongozi wa CCM na jumuia zake kutaka Kikwete awe mgombea pekee wa urais kupitia CCM......hivi kuna tatizo gani kumpambanisha na wana-CCM wengine wenye nia ya kugombea urais? Je, kwa mtindo huu, tunakuza au kudumaza demokrasia ndani ya CCM?