Kuna uzi wako wewe ulitaka Lowasa afe kabisa sijui nini bodaboda ,huo haukua unafki ??Unafiki wa wanaccm ni balaa, tulipompokea Chadema, wamegeuka tena wanasema ni fisadi
100% ukweli mtupuKuna uzi wako wewe ulitaka Lowasa afe kabisa sijui nini bodaboda ,huo haukua unafki ??
Kipindi hiko Role modal wa Ben ni Dr.Wilbroad na Fisadi Mkuu kwako ni Edward!!!Kwa Sababu wameamua kufukua makaburi na sisi ni wafukuaji maahiri.
Mbowe angejua kuwa Msingi wa Chama ni Itikadi asingempokea Lowassa hata kama alikuwa anasingiziwa.Nije nisikie fyoko fyoko kutoka kwa mwanaccm ooh sijui fisadi, mara sijui Chadema walimsafisha! Kumbe mwenye nchi wakati huo na baba yao ccm ukweli alikuwa anaujua!
Hahaha..leo umenivunja mbavu Ben, sometimes unavituko sana, kwa hiyo ngoma dro enh? najua unaandika tu ila mwenyewe hapo ulipo huna mbavu, nikikumbuka mwaka jana na leo...sina mbavu.Huu uzi huu......!