KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
kada una uhakika hauna undugu na Brazameni? nadhani watakufungulia tu.. vinginevyo inawezekana ni "kompyuta yako" ina matatizo..
heheee, yaani nilikasirika lakini sasa nimecheka ! brazamani simjui, na wala sijawahi kuongea nae, na never have i ever had contact with him ! computer yangu po fresh, sop sop nini, si ndio maana siku zote tulikuwa hapa baraza kuu !
one thing about me, ni kwamba am not afraid to say what i know, think, suggest hata kama watu hawapo kusikia, so kama mie ndio brazameni i would have declared that centuries ago !
halafu angalia pm yako !