DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
..seems like ugomvi wa zamani unaendelezwa kwa sura mpya!
..seems like ugomvi wa zamani unaendelezwa kwa sura mpya!
Wacha utoto ndugu!! When are you finally gonna grow up?! Hebu tuambie lengo ya mada ya uchochezi na kejeli dhidi ya mheshimiwa rais kama hii? Unategemea ku-achieve kitu kama cha msingi with such far-fetched, speculative utumbo kama huu? You've gone way overboard ndugu! Heckling and demeaning the president in this uncouth fashion won't contribute to anything positive. Hii ni kubomoa na ku-demoralize na wala si kujenga.
Sasa hao akina Chad, Kenya, Dafur, Somali wakimdharau tutasemaje?
..wana muda wa kumdharau? mi nadhani wamezama kwenye matatizo yao hadi vichwa vyao havitofautiani na vya vichaa. talking about kenya,that is!
Hivi Tanzania hatuoni ni neema kupata uongozi wa Afrika na UN kwa pamoja
Tell me about it!
Watabadilisha sana majina, watatumia ID lukuki, watafanya kila wawezalo kuididimiza JF, but as long as niko hai na JF iko hewani basi hapa mafisadi hawakatizi...
tik tak tik tak tik ..............
Ewe Primadonna wa bodi hii! What a pathetically silly and vulgar female you must be! Umefanya kujiunga kwa hiari na kuchangia mawazo huru kwenye hii bodi kuwa ULAJI! Nobody cares kama JF ni bodi ya buzi lako, kaka yako au babako. Nachojua ni kwamba ushindwapo hoja au kupingwa unaishia ktoa vitisho vya kufungiwa wachangiaji.
By the way, hadi hivi sasa sijaona mahali umejibu hoja yangu kuhusu lengo la kuanzisha hii mada. Au labda ilkuwa ni kutafuta sifa na "thanks" zaidi kutoka kwa Wapambe wako waliozagaa humu ndani?