Ombi zuri lakini kwa mwaka huu haiwezekani tena kwani msimu wa La Liga ambao unaanza kesho tarehe 18/8 hadi tarehe 01/06/2013.
Ikumbukwe kuwa muda pekee timu za ligi ya Spain na Ulaya kwa jumla zinakuwa na ratiba iliyobanana sana wakati msimu unaanza kwani mbali na mechi za ndani, kunakuwa na mashindano ya Ulaya. Wakati pekee timu zinapokuwa huru kidogo ni pale wanapomaliza msimu.
Mhe. Raisi afuatilie ili ikiwezekana ziara hizo ziweze kufanyika baada ya msimu huu kumalizika.
gooogle!!!!!!!!!!!!!!!ttb wanahusika na nini?
Nani atawalipia gharama ata kama ingekua ligi haijaanza?Ombi zuri lakini kwa mwaka huu haiwezekani tena kwani msimu wa La Liga ambao unaanza kesho tarehe 18/8 hadi tarehe 01/06/2013.
Ikumbukwe kuwa muda pekee timu za ligi ya Spain na Ulaya kwa jumla zinakuwa na ratiba iliyobanana sana wakati msimu unaanza kwani mbali na mechi za ndani, kunakuwa na mashindano ya Ulaya. Wakati pekee timu zinapokuwa huru kidogo ni pale wanapomaliza msimu.
Mhe. Raisi afuatilie ili ikiwezekana ziara hizo ziweze kufanyika baada ya msimu huu kumalizika.
Hilo la juu, neno; kwani sio gharama ya kuwaleta tu bali hata kuwalipa. Nakumbuka mwaka jana Barca ilikwenda nchi moja ya Kiarabu, mapesa waliyolipa ni bajeti yetu ya mwaka (nimetia chumvi kidogo), na sidhani kama watakuja kufanya kazi ya ukweni.Nani atawalipia gharama ata kama ingekua ligi haijaanza?
Yani walimu wanalialia yeye prezidar analeta ungesengese hapa!
Kweli jamaa ni Janga la Taifa!! Hizo fedha si wangeongeza mosquito nets,mashuka na vitanda kwenye hospital zetu? Kama lengo ni utalii kwani TTB wanafanya kazi gani?
Mmetujengea heshima kubwa Olimpiki, miaka ya nyuma wanamichezo wetu waliokuwa wakituwakilisha ,baada ya mashindano wanazamia uko lakini nyinyi hakufanya hivyo" alisema Thadeo.
Kweli kuna wachovu wa fikra nchi hii.