Kikwete kuzileta Barcelona na Real Madrid kuwaburudisha Walalahoi

Shame on mr dhaifu,he think to entertains tanzanians while they are tired with his admnistration-he cheated himself
 
Ombi zuri lakini kwa mwaka huu haiwezekani tena kwani msimu wa La Liga ambao unaanza kesho tarehe 18/8 hadi tarehe 01/06/2013.

Ikumbukwe kuwa muda pekee timu za ligi ya Spain na Ulaya kwa jumla zinakuwa na ratiba iliyobanana sana wakati msimu unaanza kwani mbali na mechi za ndani, kunakuwa na mashindano ya Ulaya. Wakati pekee timu zinapokuwa huru kidogo ni pale wanapomaliza msimu.

Mhe. Raisi afuatilie ili ikiwezekana ziara hizo ziweze kufanyika baada ya msimu huu kumalizika.

Huyu mkuu wa nchi king'ang'anizi! toka enzi za zidane!
 
hizo mapesa ya kuteketea kuzilipa klabu hizo yangetumika kujenga academi za michezo kwa kanda kama tano hivi
kanda ya ziwa-mpira,uogeleaji na makasia
kanda ya nyanda za juu kusini -mpira na ngumi
kanda ya kati na kaskazini -riadha
kanda ya Pwani na Mashariki-Basketball,Mpira,bao,uogeleaji na makasia
kanda ya kaskazini magharibi-shabaha nk
 
Ombi zuri lakini kwa mwaka huu haiwezekani tena kwani msimu wa La Liga ambao unaanza kesho tarehe 18/8 hadi tarehe 01/06/2013.

Ikumbukwe kuwa muda pekee timu za ligi ya Spain na Ulaya kwa jumla zinakuwa na ratiba iliyobanana sana wakati msimu unaanza kwani mbali na mechi za ndani, kunakuwa na mashindano ya Ulaya. Wakati pekee timu zinapokuwa huru kidogo ni pale wanapomaliza msimu.

Mhe. Raisi afuatilie ili ikiwezekana ziara hizo ziweze kufanyika baada ya msimu huu kumalizika.
Nani atawalipia gharama ata kama ingekua ligi haijaanza?
Yani walimu wanalialia yeye prezidar analeta ungesengese hapa!
 
Nani atawalipia gharama ata kama ingekua ligi haijaanza?
Yani walimu wanalialia yeye prezidar analeta ungesengese hapa!
Hilo la juu, neno; kwani sio gharama ya kuwaleta tu bali hata kuwalipa. Nakumbuka mwaka jana Barca ilikwenda nchi moja ya Kiarabu, mapesa waliyolipa ni bajeti yetu ya mwaka (nimetia chumvi kidogo), na sidhani kama watakuja kufanya kazi ya ukweni.

Hilo la chini, umepitiliza kidogo. Kama kiongozi wa nchi, pamoja na mapungufu yake yote, anastahiki heshima.
 
pamoja na matatizo tuliyonayo hapa nchini JK anafikiria kuileta Barca au Real? Huyu JK hata uwezo wa kufikiria umepungua toka Sheikh Yahya amekufa
 
Kweli jamaa ni Janga la Taifa!! Hizo fedha si wangeongeza mosquito nets,mashuka na vitanda kwenye hospital zetu? Kama lengo ni utalii kwani TTB wanafanya kazi gani?

Talking of utalii,that could be a good move. The world knows about Real Madrid an Barcelona. But very few are familiar with our national parks,taking one of the teams to the parks,all the major media houses will be there hence the world will knw where Ngorongoro is and what they should expect. As a result, more and more tourists vising Tanzania!
 
Mmetujengea heshima kubwa Olimpiki, miaka ya nyuma wanamichezo wetu waliokuwa wakituwakilisha ,baada ya mashindano wanazamia uko lakini nyinyi hakufanya hivyo" alisema Thadeo.

Kweli kuna wachovu wa fikra nchi hii.

Na huyu Thadeo, sijui Video analipwa kwa kutoa hii verbal diarrhoea. Hawa ndio wa kufukuzwa kazi
 
Back
Top Bottom