RayB
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 2,752
- 196
Ni kwa taarifa tu natambua kuwa leo MUHAS wanafanya mahafali yao ya nne na JK akiwa mgeni rasmi. I will not be surprised if they will 'offer' him another the so called 'honourable doctorate' lakini najaribu kuangalia napata taabu kwa Muhumbili ni kwa nyanja ipi labda afya ya jamii (Public Health) kwa campaign zake dhidi ya malaria na ukimwi.
Assumption hizi zinatokana na ukweli sasa kuwa kila chuo kinatamani tu kimtundike udaktari.
Assumption hizi zinatokana na ukweli sasa kuwa kila chuo kinatamani tu kimtundike udaktari.