Kikwete: Kutokana na utoaji hafifu wa Elimu nchini, kuna hatari ya nusu ya ajira zilizopo kutoweka ifikapo mwaka 2050

Elimu haipo ku kufanya uwe Tajiri ama upate ajira nzuri tu,

Anaweza akachonga milango ndio, ila akachonga milango mizuri ambayo mwanzo haikuepo,

Elimu huondoa ujinga na kukupa maarifa mapya, huondoa wasiwasi usio na maana na kukupa maisha yenye Amani,
Sio suala la kupata ajira nzuri au kuwa tajiri!

Suala ni UDANGANYIFU unaoendelea kufanyika pale NECTA!

Udanganyifu inakufanya kuwa DUNI KITAALUMA, na sio suala la kubeza!

UDANGANYIFU ni REPRESSION AND FALSIFICATION OF PUPILS AND STUDENTS ACADEMIC RESULTS kwa lugha ya kiingereza.

Na makosa ya UDANGANYIFU yanafanana kabisa na makosa ya PLAGIARISM.

Mtu anayefanya PLAGIARISM huwa anapewa SIFURI [ 0 ] kwenye kazi yake ya kitaaluma.

Kwahiyo unategemea nini kwa mtu anayedanganya matokeo kwenye vyeti vyake vya kuhitimu?

Matokeo yake ni KUTOAJIRIWA kabisa!

Ndio maana hawa wanafunzi wamepotea, yaani wanajishughulisha na shughuli nje ya TAALUMA zao walizosomea.
 
Si mmesikia wale jamaa wanaosinziaga kule mjengoni wanadai nyongeza ya mpunga?
Hiyo vision hawana na usimamizi wa Elimu upo Tamisemi
 
Si mmesikia wale jamaa wanaosinziaga kule mjengoni wanadai nyongeza ya mpunga?
Hiyo vision hawana na usimamizi wa Elimu upo Tamisemi
Sasa hivi TANZANIA imebadilika, sio kama zamani!

Kila mtu anaangalia masilahi yake.

Na wabunge pia wanaangalia masilahi yao kwanza. Halafu wananchi baadae.
 
Elimu haipo ku kufanya uwe Tajiri ama upate ajira nzuri tu,

Anaweza akachonga milango ndio, ila akachonga milango mizuri ambayo mwanzo haikuepo,

Elimu huondoa ujinga na kukupa maarifa mapya, huondoa wasiwasi usio na maana na kukupa maisha yenye Amani,
Halafu kitu kingine ambacho huwa hakizungumziwi sana, ni kuwa - WALIMU wa shule za msingi na sekondari wanafahamu kila kitu kinachofanyika pale NECTA na TAMISEMI.

Kwa sababu WALIMU ndio wadau na wahusika wakuu kwenye sekta ya ELIMU.

Vile vile, WALIMU ndio wanaoandaa mitaala ya masomo! WALIMU ndio wanaofundisha wanafunzi! Na WALIMU hao hao ndio wanaosahihisha mitihani ya taifa pamoja na kupanga matokeo ya wanafunzi.

Kwahiyo WALIMU hawaepukiki na madhaifu yanayojitokeza na yanayoshuhudiwa kwenye Baraza la Mitihani, yaani NECTA.

Waingereza huwa wana msemo unaosema hivi - "When you become a government official or a government employee, automatically you become a pro - government".

Yaani kwa lugha ya kiswahili tunaweza kusema hivi - "Unapokuwa mtumishi wa serikali au muajiriwa wa serikali, moja kwa moja unakuwa ni mfuasi wa serikali".

Na madudu yanayofanyika pale NECTA ni SERIKALI ndio inayohusika. Na WALIMU ni watumishi tu, ambao wamefanyika kuwa ni WAFUASI WA SERIKALI kwa namna moja ama nyingine.

Kwahiyo, kama mtu yuko vizuri kiuchumi ni vyema akatafuta ELIMU sehemu nyingine, ambayo itakuwa ni ELIMU BORA kuliko ELIMU inayotolewa na serikali ya TANZANIA 🇹🇿. Na ELIMU BORA kwa upande wa AFRIKA YA MASHARIKI inapatikana KENYA 🇰🇪.
 
Elimu haipo ku kufanya uwe Tajiri ama upate ajira nzuri tu,

Anaweza akachonga milango ndio, ila akachonga milango mizuri ambayo mwanzo haikuepo,

Elimu huondoa ujinga na kukupa maarifa mapya, huondoa wasiwasi usio na maana na kukupa maisha yenye Amani,
Hivi ukiulizwa ni mwanafunzi gani aliyeongoza kidato cha nne, mwaka 2007? Unaweza kutuwekea orodha?
 
This is pumbav! Akili inayokuja baada ya kutoka madarakani ni pumbav kabisa! Kikwete angewezaje kuanzisha ufundishaji wa mtandao wakati pesa yote ilikuwa inaibiwa on his watch? Mradi pekee mkubwa ulikuwa ni Mloganzila kwa miaka 10 ya utawala, averaging a total budget of over TZS 170 trilioni in 10 years. Nchi ambayo watu walikuwa wanabeba pesa za escrow yeye anasema siyo za umma, ni za watu binfasi. Hopeless!

Shame upon his shameless face.
Yaani huyu JK huwa namuona yajielewi uswahili tu usiokuwa na maana. Huyu ndiye Rais pekee ambaye alikuwa na wakati mzuri sana wa kufanya vitu vizuri badala yake ujinga kila kona ndo uliofanyika.
 
Sio suala la kupata ajira nzuri au kuwa tajiri!

Suala ni UDANGANYIFU unaoendelea kufanyika pale NECTA!

Udanganyifu inakufanya kuwa DUNI KITAALUMA, na sio suala la kubeza!

UDANGANYIFU ni REPRESSION AND FALSIFICATION OF PUPILS AND STUDENTS ACADEMIC RESULTS kwa lugha ya kiingereza.

Na makosa ya UDANGANYIFU yanafanana kabisa na makosa ya PLAGIARISM.

Mtu anayefanya PLAGIARISM huwa anapewa SIFURI [ 0 ] kwenye kazi yake ya kitaaluma.

Kwahiyo unategemea nini kwa mtu anayedanganya matokeo kwenye vyeti vyake vya kuhitimu?

Matokeo yake ni KUTOAJIRIWA kabisa!

Ndio maana hawa wanafunzi wamepotea, yaani wanajishughulisha na shughuli nje ya TAALUMA zao walizosomea.
Ulishawahi kufanya kazi NECTA au unaongea tu ndugu?. NECTA ni chombo nyeti na mahsusi sana tofauti na unavyokidhania.
 
My take.
Hii elimu yetu ya kuwafanya chadema washangilie kila baya linaloipata nchi yetu ikiwemo kukamatwa ndege, miradi kukwama , tutashitakiwa MIGA etc bora ifutwe kabisa tuanzishe elimu mpya itakayowafanya chadema wajitambue.
Hivi kuna shule maalumu za CHADEMA?
 
Wewe ni walewale watoa siri nyeti za serikali. Unapewa kazi na serikali ukishashiba unaanza kubwabwaja kuwa walimu wanafanya hiki na kile. Kwa taarifa yako, wewe ni mwalimu kwa uandishi wako. Nakushari uende Uingereza au Kenya kutimiza matamanio yako.
 
Ulishawahi kufanya kazi NECTA au unaongea tu ndugu?.
Mimi sijawahi kufanya kazi NECTA | Home! Lakini mimi ni mhandisi ambaye vyeti vyangu vyote vya shule ya msingi na sekondari vimesailiwa na NECTA | Home.

NECTA | Home inanuka! NECTA | Home imevunda! NECTA | Home imeoza! NECTA | Home inataka mabadiliko! Kuna ukabila wa kutisha pale 😂😂😂
NECTA ni chombo nyeti na mahsusi sana tofauti na unavyokidhania.
Ndio! Hakuna anayekataa kuwa NECTA | Home ni chombo nyeti lakini hapa tunajadili madhaifu yanayojitokeza kwenye uwasilishaji wa matokeo ya wanafunzi pamoja na taarifa za awali za wanafunzi husika.

Hali ya kitaaluma nchini na nafasi ya elimu ya TANZANIA ukilinganisha na ubora wa elimu wa mataifa mengine.

Tuanze na wewe, maana unaonekana umetumwa kwa niaba ya NECTA | Home! Ni nani aliyeongoza kidato cha nne mwaka 2007? Je, tukihitaji orodha ya wanafunzi bora wa kidato cha nne, mwaka 2007, unaweza kutupatia?

Kama ipo! Naomba utuoneshe maana itakuwa ni jambo la busara sana tukijadili hivi vitu kwa ukweli na uwazi.
 
Hujamuelewa mzee
Mzee anamaanisha ukuaji wa Elimu yetu Ni lazima uendane na ukuaji wa Teknolojia. Hivyo vyote vinategemea bajeti imara.

Kama kasi ya ukuaji wa elimu yetu iko nyuma Sana dhidi ya kasi ya ukuaji wa teknolojia Basi wahitimu wa wa kiafrika watapokonywa ajira zao.

Itakapofikia hatua watu walioendelea kutengeneza maroboti madereva, Tiketi kukatwa kwa kadi, huduma kwa wateja Ni roboti, na kila kitu. Sisi Waafrika tutakuwa watazamaji na wahitimu watashindwa kuajirika maana Teknolojia imewatupa mkono kwa sababu hatutaweza kuendesha roboti Wala kuzitengeneza.
Hamna kitu kama hicho, kukata risiti kwa mtandao na vingine ulivyotaja ni elimu ya siku moja kwa mtu, bado nasisitiza, kazi zitakuwepo na zitafanywa na sisi regardless ya elimu, kwani hata huko ulaya bado kuna kazi zinafanywa na binadamu, sio zote hufanywa na roboti, kwanza Afrika kuna cheap labour, mfano viwandani.
 
Wewe ni walewale watoa siri nyeti za serikali.
Kuna SIRI gani hapo NECTA | Home?
Unapewa kazi na serikali ukishashiba unaanza kubwabwaja kuwa walimu wanafanya hiki na kile.
Kila mtu anao uhuru wa kujieleza! Kwahiyo, sio vyema kumpangia mtu cha kuandika wala kujadili kwa sababu JamiiForums ni jukwaa huru na kuna sheria zake.
Kwa taarifa yako, wewe ni mwalimu kwa uandishi wako.
Sio vyema kueleza kazi ya mtu hadharani bila ya idhini yake.
Nakushari uende Uingereza au Kenya kutimiza matamanio yako.
Mbona unapaniki? Hasira zinatoka wapi? Ukweli lazima usemwe.
 
Cha msingi ni serikali iangalie muelekeo mpya Eqaution ya elimu=Good life imesha prove failure na kwa vile hatukuwa tumejiandaa kisaikolojia mapema basi acha watoto wetu wawe Marioo na dada zao wadange!

Sahizi waangalie namna ingine ya kutatua hili lets think globally tunapambanaje na hili janga 😅
 
Back
Top Bottom