Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,037
- 18,379
Shida yao wampoteze mh rais Samia kwa kujifanya washauri kumbe Wana lao JamboRais mstaafu wa awamu ya nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete ameonya tusipobadilika namna tunavyofundisha watoto wetu basi ajira zote zitatoweka ifikapo mwaka 2050.
My take.
Hii elimu yetu ya kuwafanya chadema washangilie kila baya linaloipata nchi yetu ikiwemo kukamatwa ndege, miradi kukwama , tutashitakiwa MIGA etc bora ifutwe kabisa tuanzishe elimu mpya itakayowafanya chadema wajitambue.
Kikwete aonya ajira kutoweka mwaka 2050, aeleza nini kifanyike
Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema kutokana na utoaji hafifu wa elimu nchini kuna hatari ya nusu ya ajira zilizopo kutoweka ifikapo mwaka 2050.www.mwananchi.co.tz
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app